Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Kumbuka makata mavi, yakikata yanabaki na mavi, ili kuepuka kutembea na mavi kwenye nguo ya ndani, fanya hima uyaondoe ila angalia usijikate
 
Mods 2021 mjirekebishe tafadhari.

Jf Kama Facebook????

Hapana kwa kweli.
 
Mleta mada ana lake jambo nani kakushauri unyoe? ili aingie kirahisi? ameshaona kuna ugumu hapo ndo maana akakwambia umnyolee!?
 
Mbabe mmoja wa kivita aliniambia hilo vuzi la tako ni moja ya Vigezo vya kuingia jeshini mnakaguliwa kama huna huingii jeshi sijui ina ukweli kiasi gani.
 
Hivi vipaumbele vyetu kama taifa tunaendeleaje ?
Shule bado zimefungwa?
Vyuo je?
 
Watoto wa kike ndio wanazitoa,
Wewe dume zima unamnyolea nani sasa.😀
Yeye kuileta hii, anajuwa anamnyolea nani. Wewe kwa nini unataka kujuwa, au ulitaka akunyolee wewe.
 
Mbona wewe humshauri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…