Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Wana MMU,
Salaam.
Japo mimi sii member active sana humu MMU, ila ni mfuatiliaji mzuri wa mada za MMU.
Kwenye what's app group fulani kuna mjadala kuhusu jamaa fulani kampenda mke wa mtu.
Watu wanajifanya kushangaa sana iweje mtu ampende mke wa mtu?. Wengine hadi wakafikia kumlaani kuwa atalaaniwa!.
Hapa nauliza very objectively, kuna ubaya gani mtu kumpenda mke wa mtu?.
Jee Wake Wote wa Watu Wanapendwa na Waume Zao?.
Kuna wanawake wengi sana wanaishi kwenye ndoa za mateso, na kiukweli hawana mapenzi kabisa toka kwa waume zao, na kuna wengine wanapendwa lakini waume zao hawana uwezo wa kuwatimizia wakatosheka. Sasa kuna ubaya gani
mtu baki, ukampenda mwanamke
kama huyu na ukamtimizia akatosheka?.
Jee Wake Wote wa Watu Wanatimiziwa?, Wanatoshelezwa?.
Jibu ni hapana, sii wake wote wa watu wanatimiziwa, na wale wanaotimiziwa, sii lazima wanatoshelezwa. Sasa ikitokea mtu akampenda mke wa mtu asiyetimiziwa, ukamtimizia, au asiyetoshelezwa, ukamtosheleza, kuna ubaya gani?.
True Story ya Ujana Maji ya Moto, Tulitimizia, Tukatosheleza na Kuwadumishia Ndoa.
This is a true
Kuna mke wa jamaa umempenda sasa unataka kuhalalisha eeeh.
'Ukila lazima uliwe' Wako akipendwa usimaindi lakini.