Kuna ubaya wowote mtu kumpenda mke wa mtu? Mbona Daudi alimpenda mke wa Uria na akabarikiwa?

Kuna ubaya wowote mtu kumpenda mke wa mtu? Mbona Daudi alimpenda mke wa Uria na akabarikiwa?

hahahha kwa kitu ambacho sina kwenye mishipa yangu shoga ni kufake 1ngj utaona malaika kwenye uzi huu kumbe wachafuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu pyeeeeeee! ndio wanajisahau !hw come hela ya mafuta ananitumia mshikaj tu tena ya maana bas wakubali tu kusaidiwa !tumechoka atii kujihudumia kwa kila kitu
Heri shetani unaemjua kuliko malaika usiyemjua, wakitueka ndani tunakuwa zilipendwa wakati tukitoka tunakutana na seduce me wenye maneno matam, dah nyie wanaume nyie
 
Wana MMU,
Salaam.

Japo mimi sii member active sana humu MMU, ila ni mfuatiliaji mzuri wa mada za MMU.

Kwenye what's app group fulani kuna mjadala kuhusu jamaa fulani kampenda mke wa mtu.

Watu wanajifanya kushangaa sana iweje mtu ampende mke wa mtu?. Wengine hadi wakafikia kumlaani kuwa atalaaniwa!.

Hapa nauliza very objectively, kuna ubaya gani mtu kumpenda mke wa mtu?.

Jee Wake Wote wa Watu Wanapendwa na Waume Zao?.
Kuna wanawake wengi sana wanaishi kwenye ndoa za mateso, na kiukweli hawana mapenzi kabisa toka kwa waume zao, na kuna wengine wanapendwa lakini waume zao hawana uwezo wa kuwatimizia wakatosheka. Sasa kuna ubaya gani mtu baki, ukampenda mwanamke kama huyu na ukamtimizia akatosheka?

Jee Wake Wote wa Watu Wanatimiziwa?, Wanatoshelezwa?
Jibu ni hapana, sii wake wote wa watu wanatimiziwa, na wale wanaotimiziwa, sii lazima wanatoshelezwa. Sasa ikitokea mtu akampenda mke wa mtu asiyetimiziwa, ukamtimizia, au asiyetoshelezwa, ukamtosheleza, kuna ubaya gani?

True Story ya Ujana Maji ya Moto, Tulitimizia, Tukatosheleza na Kuwadumishia Ndoa.
This is a true
hahaha mkuu naona unamchonokoa muheshimiwa sana. Imenibidi tuu niukoti tuu uzi huu [emoji23]
 
hahaha mkuu naona unamchonokoa muheshimiwa sana. Imenibidi tuu niukoti tuu uzi huu [emoji23]


hahahahhahahahahahha hakika wewe sasa ndo umeniamsha nw !haijawah tokea Pascal Mayalla asiandike kimafumbo kumhusu mbatuzaji ahahha nacheka sana jaman jkhaa!salute kaka
 
Wana MMU,
Salaam.

Japo mimi sii member active sana humu MMU, ila ni mfuatiliaji mzuri wa mada za MMU.

Kwenye what's app group fulani kuna mjadala kuhusu jamaa fulani kampenda mke wa mtu.

Watu wanajifanya kushangaa sana iweje mtu ampende mke wa mtu?. Wengine hadi wakafikia kumlaani kuwa atalaaniwa!.

Hapa nauliza very objectively, kuna ubaya gani mtu kumpenda mke wa mtu?.

Jee Wake Wote wa Watu Wanapendwa na Waume Zao?.
Kuna wanawake wengi sana wanaishi kwenye ndoa za mateso, na kiukweli hawana mapenzi kabisa toka kwa waume zao, na kuna wengine wanapendwa lakini waume zao hawana uwezo wa kuwatimizia wakatosheka. Sasa kuna ubaya gani mtu baki, ukampenda mwanamke kama huyu na ukamtimizia akatosheka?

Jee Wake Wote wa Watu Wanatimiziwa?, Wanatoshelezwa?
Jibu ni hapana, sii wake wote wa watu wanatimiziwa, na wale wanaotimiziwa, sii lazima wanatoshelezwa. Sasa ikitokea mtu akampenda mke wa mtu asiyetimiziwa, ukamtimizia, au asiyetoshelezwa, ukamtosheleza, kuna ubaya gani?

True Story ya Ujana Maji ya Moto, Tulitimizia, Tukatosheleza na Kuwadumishia Ndoa.
This is a true
Hakuna ubaya kumpenda mke wa mtu kama huyo mke wa mtu hapendwi na mumewe na kama wewe hupendwi na mkeo na wewe humpendi mkeo. DIVORCE pande zote itawaweka huru kufanya yenyu! Ni dhambi kumpenda mke wa mtu wakati uko ndani ya ndoa halafu hueleweki unalilia kuombewa
 
Hakuna ubaya kumpenda mke wa mtu kama huyo mke wa mtu hapendwi na mumewe na kama wewe hupendwi na mkeo na wewe humpendi mkeo. DIVORCE pande zote itawaweka huru kufanya yenyu! Ni dhambi kumpenda mke wa mtu wakati uko ndani ya ndoa halafu hueleweki unalilia kuombewa



hahahaahahaha alafu wwe mdada huwa nakupendaga sema unaonekana kwa nadra sana sana !hahah salute
 
Kupenda mke wa mtu sawa na kuvuta sigara unavuta ila unaambiwa ni hatari kwa afya yako na serikali inapata mapato.
 
Sidhani kama umelitumia neno stahiki kulingana na muktadha wa jambo ulilotaka kutuhabarisha...

Maadamu mwanamke ni mke halali wa mwanaume fulani, basi mwanaume yoyote yule mwingine akipata hisia za mapenzi na hata akizitekeleza hisia zake kamwe huwezi kutumia matamshi kuwa "mwanaume fulani kampenda mke wa fulani"...

Maneno au matamshi sahihi ni kuwa "mwanaume fulani kawaka tamaa juu ya mke wa mtu"...
 
Yaani umepoteza muda kuja kufungua thread yenye pumba namna hii, na wewe unajiita great thinker. Kama unakula mke wa mtu we endelea tu, usije humu kutafuta cheap justification
....Pasco haanzishi threads hivi hivi, sooner or later tutabaini lengo lake.
 
Back
Top Bottom