Kuna ubaya wowote mtu kumpenda mke wa mtu? Mbona Daudi alimpenda mke wa Uria na akabarikiwa?

Kuna ubaya wowote mtu kumpenda mke wa mtu? Mbona Daudi alimpenda mke wa Uria na akabarikiwa?

nashangaa leo baby kabae anaponda koti na suti ya maalim seif nahuku siku mbatizaj aiposema anataman waje na familia zao pale 360 niliona aibu mm !koti alilovaa mumewe jaman khaaaaaa ! kuuubwaaaaaaaa na mwanaume mwembamba bas kafunikwa balaaaaaaaaa ova housboy wake !mhhh
Nimeachwa kwenye mataa sijaambulia kitu hapa umeongea kwa mafumbo sana Mkuu please I need more elaboration[emoji120]
 
Wana MMU,
Salaam.

Japo mimi sii member active sana humu MMU, ila ni mfuatiliaji mzuri wa mada za MMU.

Kwenye what's app group fulani kuna mjadala kuhusu jamaa fulani kampenda mke wa mtu.

Watu wanajifanya kushangaa sana iweje mtu ampende mke wa mtu?. Wengine hadi wakafikia kumlaani kuwa atalaaniwa!.

Hapa nauliza very objectively, kuna ubaya gani mtu kumpenda mke wa mtu?.

Jee Wake Wote wa Watu Wanapendwa na Waume Zao?.
Kuna wanawake wengi sana wanaishi kwenye ndoa za mateso, na kiukweli hawana mapenzi kabisa toka kwa waume zao, na kuna wengine wanapendwa lakini waume zao hawana uwezo wa kuwatimizia wakatosheka. Sasa kuna ubaya gani mtu baki, ukampenda mwanamke kama huyu na ukamtimizia akatosheka?

Jee Wake Wote wa Watu Wanatimiziwa?, Wanatoshelezwa?
Jibu ni hapana, sii wake wote wa watu wanatimiziwa, na wale wanaotimiziwa, sii lazima wanatoshelezwa. Sasa ikitokea mtu akampenda mke wa mtu asiyetimiziwa, ukamtimizia, au asiyetoshelezwa, ukamtosheleza, kuna ubaya gani?

True Story ya Ujana Maji ya Moto, Tulitimizia, Tukatosheleza na Kuwadumishia Ndoa.
This is a true
Ni uhalifu kama uhalifu mwingine, sasa ukitaka kuhua mke wa mtu hafai, kamatwa nae.
 
hahahha kwa kitu ambacho sina kwenye mishipa yangu shoga ni kufake 1ngj utaona malaika kwenye uzi huu kumbe wachafuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu pyeeeeeee! ndio wanajisahau !hw come hela ya mafuta ananitumia mshikaj tu tena ya maana bas wakubali tu kusaidiwa !tumechoka atii kujihudumia kwa kila kitu
kwahyo ww unagongwa nje kisa upate pesa ya kujikim sasa unatofauti gan na wale wanaojipanga sinza kujiuza ili wapate pesa????

utakuta umeolewa au kuna kijana ana fikiria kukuoa sie wanaume tunapata tabu sana
 
Raisi wa nchi huwa anamkulia wapi huyo mama? Kwa maana raisi wetu hatoki nje ya nchi, sasa raisi anawezaje tu kutembea na Waziri kirahisi rahisi hivi hivi? Mmemtafuuta koote raisi wetu mmemshindwa sasa mnaaza character assassination, ...
Hiviii . . , wee msukule . . , mbona sijaona popote Paskali alipomtaja Raisi . . ? !
Au kuna jambo unataka kutueleza . . ?!

Anyway . . , labda na wewe ulimaanisha Raisi wa tiefuefu . .
 
Mkuu Pascal Mayalla, hii mada yako ina kufru ndani yake unless unazungumzia kitabu tofauti na Biblia Takatifu. Si kweli kuwa Daudi Mfalme alibarikiwa na Mungu kwa uhuni aliofanya.

Na mke wa Uria akasikia kwamba Uria mume wake amekufa, naye akaanza kumlilia+ mume wake.+ 27 Kipindi cha kuomboleza+ kilipokuwa kimepita, mara moja Daudi akatuma watu na kumchukua yule mwanamke, akamleta katika nyumba yake, naye akawa mke wake.+ Baada ya muda akamzalia mwana, lakini lile jambo ambalo Daudi alikuwa amefanya likawa baya+ machoni pa Bwana.
2Samweli 11: 26-27


Na Mungu alimuadhibu Daudi kwa dhambi yake

Kwa nini umelidharau neno la Yehova kwa kufanya yaliyo mabaya+ machoni pake? Uria Mhiti umempiga kwa upanga,+ nawe ukamchukua mke wake awe mke wako,+ naye ukamuua kwa upanga wa wana wa Amoni. 10 Na sasa upanga+ hautaondoka nyumbani mwako mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa sababu ulinidharau mimi, ukamchukua mke wa Uria Mhiti, awe mke wako.’ 11 Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba juu yako kutoka katika nyumba yako mwenyewe;+ nami nitawachukua wake zako chini ya macho yako mwenyewe na kumpa mwanamume mwenzako,+ naye atalala na wake zako chini ya macho ya jua hili.+ 12 Ingawa wewe ulitenda katika siri,+ kwa upande wangu mimi, nitafanya jambo hili mbele ya Israeli+ wote na mbele ya jua.’”+ 13 Basi Daudi akamwambia+ Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Kwa hiyo Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye ameacha dhambi yako ipite.+ Hutakufa.+ 14 Ingawa hivyo, kwa kuwa bila shaka hukumheshimu Yehova+ kwa jambo hili, pia yule mwana, uliyemzaa, atakufa hakika.”
2Samweli 12:9-14
Kwa dhambi hii Daudi alitubu kwa kufunga na kuomboleza, na ndio tulipopata Zaburi ya 51. Mimi nimemaliza, huko kwenye kutoshelezana nakabidhi jukwaa kwa mafundi
 
MAYALA, USIDANGANYE WATU. TUSOME UPYA BIBLIA 2 Samweli 12:9-12 ''Kwa nini umelidharau neno la BWANA, na kufanya yaliyo mabaya machoni pake? Umempiga Uria, Mhiti kwa upanga, nawe umemtwaa mkewe awe mke wako...basi sasa, upanga hautaondoka nyumbani mwako,...BWANA asema hivi, Angalia, nitakuondokeshea uovu katika nyumba yako, nami nitatwaa wake zako mbele ya macho yako, na kumpa jirani yako, naye atalala na wake zako mbele ya jua hili (AKIMAANISHA MCHANA KWEUPEEEEE UNAONA MCHEPUKO WA MKE WAKO UNAMFUATA MUBASHARA MKEO BILA KUPEPESA MACHO)...wewe ulifanya jambo lile kwa siri; bali mimi nitalifanya jambo hili mbele ya Israeli wote na mbele ya jua''.
Naomba unijibu maswali haya kwa hoja (SIYO HOJA ZA CRITICAL THINKING AND ARGUMENTATION) namaanisha hoja za Kibiblia kwa kuwa umemega sehemu ya Biblia kujenga hoja yako:
1. Daudi alibarikiwaje?
2. Wapi Biblia imesema kuwa mkewe Uria alikuwa na mgogoro wa kindoa au kutotoshewa na mume wake?
3. Je, unaamini kuwa yule yule aliyesema USIZINI ndiye yule yule jana, leo na hata milele?
4. Unakumbuka kuwa wake zake Daudi wote waliwahi kuchukuliwa mateka na wakaenda kuvuliwa nguo na mtu mwingine tena Daudi akiwa mfalme? Je, hiyo kwako ndiyo baraka?
5. Unamkumbuka Amnoni mtoto wa Daudi alivyotimiza neno la BWANA (2 Sam 13:1-) kwa kuzini na dada yake (Tamari) tena kwa kumbaka? Je, Uhalisia wa kilichoendelea mara baada ya kubakwa kwa yule binti ndani ya familia ya mfalme Daudi ni mfano wa kuiga hata tutamani wake za watu? (rejea Absalomu mtoto mkubwa wa Daudi alivyomuua Amnoni miaka miwili baadae tangu binti abakwe)
6. Unazungumziaje jaribio la mapinduzi ya kijeshi alilofanya Absalomu kwa mfalme Daudi? Kosa la kutamani mke wa mtu halikuwahi kumwacha salama Daudi, aliapiwa na Mungu kuwa UPANGA hautaondoka nyumbani mwake, je na wewe waweza kuwa-precaution wazinzi wote kwa kufuata hoja hizi hapa juu???
OGOPA SKETI YA MKE WA MTU, NAKUHESHIMU MZEE.
7spirits . . [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sasa wewe hutaki Mungu amwadhibu mfalme Yohana wa Kolomije kwa kumjaza mke wa mtu mimba . . ?
 
Wana MMU,
Salaam.

Japo mimi sii member active sana humu MMU, ila ni mfuatiliaji mzuri wa mada za MMU.

Kwenye what's app group fulani kuna mjadala kuhusu jamaa fulani kampenda mke wa mtu.

Watu wanajifanya kushangaa sana iweje mtu ampende mke wa mtu?. Wengine hadi wakafikia kumlaani kuwa atalaaniwa!.

Hapa nauliza very objectively, kuna ubaya gani mtu kumpenda mke wa mtu?.

Jee Wake Wote wa Watu Wanapendwa na Waume Zao?.
Kuna wanawake wengi sana wanaishi kwenye ndoa za mateso, na kiukweli hawana mapenzi kabisa toka kwa waume zao, na kuna wengine wanapendwa lakini waume zao hawana uwezo wa kuwatimizia wakatosheka. Sasa kuna ubaya gani mtu baki, ukampenda mwanamke kama huyu na ukamtimizia akatosheka?

Jee Wake Wote wa Watu Wanatimiziwa?, Wanatoshelezwa?
Jibu ni hapana, sii wake wote wa watu wanatimiziwa, na wale wanaotimiziwa, sii lazima wanatoshelezwa. Sasa ikitokea mtu akampenda mke wa mtu asiyetimiziwa, ukamtimizia, au asiyetoshelezwa, ukamtosheleza, kuna ubaya gani?

True Story ya Ujana Maji ya Moto, Tulitimizia, Tukatosheleza na Kuwadumishia Ndoa.
This is a true
Noted! Meaning is internal and individual.
 
Mkuu Pascal Mayalla, hii mada yako ina kufru ndani yake unless unazungumzia kitabu tofauti na Biblia Takatifu. Si kweli kuwa Daudi Mfalme alibarikiwa na Mungu kwa uhuni aliofanya.

Na mke wa Uria akasikia kwamba Uria mume wake amekufa, naye akaanza kumlilia+ mume wake.+ 27 Kipindi cha kuomboleza+ kilipokuwa kimepita, mara moja Daudi akatuma watu na kumchukua yule mwanamke, akamleta katika nyumba yake, naye akawa mke wake.+ Baada ya muda akamzalia mwana, lakini lile jambo ambalo Daudi alikuwa amefanya likawa baya+ machoni pa Bwana.
2Samweli 11: 26-27


Na Mungu alimuadhibu Daudi kwa dhambi yake

Kwa nini umelidharau neno la Yehova kwa kufanya yaliyo mabaya+ machoni pake? Uria Mhiti umempiga kwa upanga,+ nawe ukamchukua mke wake awe mke wako,+ naye ukamuua kwa upanga wa wana wa Amoni. 10 Na sasa upanga+ hautaondoka nyumbani mwako mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa sababu ulinidharau mimi, ukamchukua mke wa Uria Mhiti, awe mke wako.’ 11 Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba juu yako kutoka katika nyumba yako mwenyewe;+ nami nitawachukua wake zako chini ya macho yako mwenyewe na kumpa mwanamume mwenzako,+ naye atalala na wake zako chini ya macho ya jua hili.+ 12 Ingawa wewe ulitenda katika siri,+ kwa upande wangu mimi, nitafanya jambo hili mbele ya Israeli+ wote na mbele ya jua.’”+ 13 Basi Daudi akamwambia+ Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Kwa hiyo Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye ameacha dhambi yako ipite.+ Hutakufa.+ 14 Ingawa hivyo, kwa kuwa bila shaka hukumheshimu Yehova+ kwa jambo hili, pia yule mwana, uliyemzaa, atakufa hakika.”
2Samweli 12:9-14
Kwa dhambi hii Daudi alitubu kwa kufunga na kuomboleza, na ndio tulipopata Zaburi ya 51. Mimi nimemaliza, huko kwenye kutoshelezana nakabidhi jukwaa kwa mafundi
Hasemi alibarikiwa baada ya kufanya ni kwamba pamoja na kufanya baraka ziliendelea kuwepo
 
Wana MMU,
Salaam.

Japo mimi sii member active sana humu MMU, ila ni mfuatiliaji mzuri wa mada za MMU.

Kwenye what's app group fulani kuna mjadala kuhusu jamaa fulani kampenda mke wa mtu.

Watu wanajifanya kushangaa sana iweje mtu ampende mke wa mtu?. Wengine hadi wakafikia kumlaani huyu mpendaji kuwa kitendo cha kumpenda mke wa mtu, atalaaniwa!.

Hii ni thread ya swali hypothetical tuu na naliuliza very objectively, kuna ubaya gani mtu kumpenda mke wa mtu?.

What is Love?.
Kupenda is love, ni kitu kinachotokea naturally for a reason au inaweza kutokea tuu for no reason at all!. Sasa ikitokea tuu naturally, mtu kumpenda mke wa mtu mwingine, jee kuna ubaya gani?. NB. Naomba lets underline, kupenda, love na kutoka na mke wa mtu!, hapa nazungumzia ku penda, just imagine wewe ni mwanamke mke wa watu, halafu umependwa na mwanaume mwingine, jee wewe una kosa kupendwa?, kwani ni wewe ndio umemwambia huyo mwanamume, akupende?.

Hitimisho.
Wanawake, ni mama zetu, dada zetu na wake zetu, wengi wao wanaishi kwenye ndoa za mateso, hawapendwi, hawatimiziwi, hawatoshelezwi, sasa katika safari ya kuelekea kwenye usawa wa kijinsia, kama sisi wanaume tulivyo na uhuru wa kupenda mtu zaidi ya mmoja na isinekane ni jambo la ajabu, its high time, tuwape uhuru huo wa kupenda na kupendwa, mama zetu, dada zetu, na wake zetu.
Namalizia kwa swali hili la msingi, Japo "The Forbidden Fruits the Sweetest", na "Vifunikavyo Vyaliwa, Vyaachwa Vilo Wazi", Jee ikitokea mtu kumpenda mke wa mtu mwingine, jee kuna ubaya gani?.

Paskali
Rejea
Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi ...
 
kwahyo ww unagongwa nje kisa upate pesa ya kujikim sasa unatofauti gan na wale wanaojipanga sinza kujiuza ili wapate pesa????

utakuta umeolewa au kuna kijana ana fikiria kukuoa sie wanaume tunapata tabu sana


ndg nina maisha yangu ! ukinisoma huenda ukanielewa acha kukurupuka dogo! nisome fresh
 
Nimeachwa kwenye mataa sijaambulia kitu hapa umeongea kwa mafumbo sana Mkuu please I need more elaboration[emoji120]


siku 1 mkulu aipiga simu 360clouds akasema anataman azifaham familia za watangazajwa 360! siku waiyokuja mume wa baby alikua amevaa suti kuubwa sana sana !sasa jana walikua wanamsema maalimu sief kuvaa suti oversize nikawa nashangaa
 
Back
Top Bottom