Kuna ubaya wowote mtu kumpenda mke wa mtu? Mbona Daudi alimpenda mke wa Uria na akabarikiwa?

Kuna ubaya wowote mtu kumpenda mke wa mtu? Mbona Daudi alimpenda mke wa Uria na akabarikiwa?

Wana MMU,
Salaam.

Japo mimi sii member active sana humu MMU, ila ni mfuatiliaji mzuri wa mada za MMU.

Kwenye what's app group fulani kuna mjadala kuhusu jamaa fulani kampenda mke wa mtu.

Watu wanajifanya kushangaa sana iweje mtu ampende mke wa mtu?. Wengine hadi wakafikia kumlaani huyu mpendaji kuwa kitendo cha kumpenda mke wa mtu, atalaaniwa!.

Hii ni thread ya swali hypothetical tuu na naliuliza very objectively, kuna ubaya gani mtu kumpenda mke wa mtu?.

What is Love?.
Kupenda is love, ni kitu kinachotokea naturally for a reason au inaweza kutokea tuu for no reason at all!. Sasa ikitokea tuu naturally, mtu kumpenda mke wa mtu mwingine, jee kuna ubaya gani?. NB. Naomba lets underline, kupenda, love na kutoka na mke wa mtu!, hapa nazungumzia ku penda, just imagine wewe ni mwanamke mke wa watu, halafu umependwa na mwanaume mwingine, jee wewe una kosa kupendwa?, kwani ni wewe ndio umemwambia huyo mwanamume, akupende?.

Hitimisho.
Wanawake, ni mama zetu, dada zetu na wake zetu, wengi wao wanaishi kwenye ndoa za mateso, hawapendwi, hawatimiziwi, hawatoshelezwi, sasa katika safari ya kuelekea kwenye usawa wa kijinsia, kama sisi wanaume tulivyo na uhuru wa kupenda mtu zaidi ya mmoja na isinekane ni jambo la ajabu, its high time, tuwape uhuru huo wa kupenda na kupendwa, mama zetu, dada zetu, na wake zetu.
Namalizia kwa swali hili la msingi, Japo "The Forbidden Fruits the Sweetest", na "Vifunikavyo Vyaliwa, Vyaachwa Vilo Wazi", Jee ikitokea mtu kumpenda mke wa mtu mwingine, jee kuna ubaya gani?.

Ila pia pamoja na yote, mwisho wa yote ni hukumu ya haki iitwayo karma, ambayo kila binadamu atahukumiwa kwa kadri ya wema wake!, unaweza kumpenda mke wa mtu kwa lengo la kumsaidia yeye na familia yake, ukapata baraka kwa usaidizi huo, na unaweza kumpenda mke wa mtu, kwa dhambi ya matamanio ya mwili tuu, na hivyo kumuangamiza mume wake na kuisambaratisha familia yake, japo kidunia unaweza kufanikiwa sana, lakini mwisho wa siku lazima karma itakuhusu!.

Muongozo wa kuujadili uzi huu:
Nasisitiza uzi huu ni hypothetical situation, hivyo nawaombeni sana, msiingize jina la mtu yoyote, na pia isiiamini sana taarifa za umbeya wa mitandaoni kuhusu wake za watu!.
Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa ...

Nawatakia Jumatano Njema.
Paskali
Rejea
Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi ...
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya ... - JamiiForums

Duh
 
Wana MMU,
Salaam.

Japo mimi sii member active sana humu MMU, ila ni mfuatiliaji mzuri wa mada za MMU.

Kwenye what's app group fulani kuna mjadala kuhusu jamaa fulani kampenda mke wa mtu.

Watu wanajifanya kushangaa sana iweje mtu ampende mke wa mtu?. Wengine hadi wakafikia kumlaani huyu mpendaji kuwa kitendo cha kumpenda mke wa mtu, atalaaniwa!.

Hii ni thread ya swali hypothetical tuu na naliuliza very objectively, kuna ubaya gani mtu kumpenda mke wa mtu?.

What is Love?.
Kupenda is love, ni kitu kinachotokea naturally for a reason au inaweza kutokea tuu for no reason at all!. Sasa ikitokea tuu naturally, mtu kumpenda mke wa mtu mwingine, jee kuna ubaya gani?. NB. Naomba lets underline, kupenda, love na kutoka na mke wa mtu!, hapa nazungumzia ku penda, just imagine wewe ni mwanamke mke wa watu, halafu umependwa na mwanaume mwingine, jee wewe una kosa kupendwa?, kwani ni wewe ndio umemwambia huyo mwanamume, akupende?.

Hitimisho.
Wanawake, ni mama zetu, dada zetu na wake zetu, wengi wao wanaishi kwenye ndoa za mateso, hawapendwi, hawatimiziwi, hawatoshelezwi, sasa katika safari ya kuelekea kwenye usawa wa kijinsia, kama sisi wanaume tulivyo na uhuru wa kupenda mtu zaidi ya mmoja na isinekane ni jambo la ajabu, its high time, tuwape uhuru huo wa kupenda na kupendwa, mama zetu, dada zetu, na wake zetu.
Namalizia kwa swali hili la msingi, Japo "The Forbidden Fruits the Sweetest", na "Vifunikavyo Vyaliwa, Vyaachwa Vilo Wazi", Jee ikitokea mtu kumpenda mke wa mtu mwingine, jee kuna ubaya gani?.

Ila pia pamoja na yote, mwisho wa yote ni hukumu ya haki iitwayo karma, ambayo kila binadamu atahukumiwa kwa kadri ya wema wake!, unaweza kumpenda mke wa mtu kwa lengo la kumsaidia yeye na familia yake, ukapata baraka kwa usaidizi huo, na unaweza kumpenda mke wa mtu, kwa dhambi ya matamanio ya mwili tuu, na hivyo kumuangamiza mume wake na kuisambaratisha familia yake, japo kidunia unaweza kufanikiwa sana, lakini mwisho wa siku lazima karma itakuhusu!.

Muongozo wa kuujadili uzi huu:
Nasisitiza uzi huu ni hypothetical situation, hivyo nawaombeni sana, msiingize jina la mtu yoyote, na pia isiiamini sana taarifa za umbeya wa mitandaoni kuhusu wake za watu!.
Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa ...

Nawatakia Jumatano Njema.
Paskali
Rejea
Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi ...
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya ... - JamiiForums
Are you sure Daud did exist? Is Daud our standard? Is Daud our authority? au mastory ya kupumbaza watu?
 
Hasemi alibarikiwa baada ya kufanya ni kwamba pamoja na kufanya baraka ziliendelea kuwepo
[Kwa dhambi hii Daudi alitubu kwa kufunga na kuomboleza, na ndio tulipopata Zaburi ya 51. Mimi nimemaliza, huko kwenye kutoshelezana nakabidhi jukwaa kwa mafundi]

Nafikiri hiyo kwenye mabano ndio sentensi yangu ya hitimisho. DAUDI ALITUBU.


Kama ungejisumbua kidogo kusoma Biblia, ungeona ghadhabu ya Mungu ilifananiaje juu ya Daudi:
1. Mtoto aliyezaliwa ktk dhambi ile alikufa 2Samweli 12:14
2. Mungu alimlaani Daudi kwa damu ya Uria 2Samweli 12:10

Kwa hiyo bwana mkubwa fahamu kuwa Daudi alilaaniwa na huu haukuwa utani. Ukisoma 2Samweli 16:5-8 utaona laana ikianza kazi yake na ukisoma 2Samweli 16:10-11 yeye mwenyewe Daudi anakiri kuwa Shimei ameagizwa na Mungu kuyatamka mabaya juu yake.

Kama haitoshi, Absalom mwanaye Daudi aliwalala masuria wa Mfalme Daudi, ikatimia laana ya Mungu juu ya zinaa ya mfalme. Hizo ni baraka? Soma 2Samweli 16:22 na kuendelea uone hata upanga Mungu aliomlaani Daudi kuwa hautaondoka nyumbani mwake ukiamka. Absalom anautafuta uhai wa babaake.

Anyway, Pascal Mayalla ana utata mwingi wa 'kimaudhui' aandikapo. Sitashangaa kujikuta MMU - Siasa Branch nikisolve equation King David + Bath-Sheba = Bwana Yule + 'X' na mimi sijui hesabu
 
[Kwa dhambi hii Daudi alitubu kwa kufunga na kuomboleza, na ndio tulipopata Zaburi ya 51. Mimi nimemaliza, huko kwenye kutoshelezana nakabidhi jukwaa kwa mafundi]

Nafikiri hiyo kwenye mabano ndio sentensi yangu ya hitimisho. DAUDI ALITUBU.


Kama ungejisumbua kidogo kusoma Biblia, ungeona ghadhabu ya Mungu ilifananiaje juu ya Daudi:
1. Mtoto aliyezaliwa ktk dhambi ile alikufa 2Samweli 12:14
2. Mungu alimlaani Daudi kwa damu ya Uria 2Samweli 12:10

Kwa hiyo bwana mkubwa fahamu kuwa Daudi alilaaniwa na huu haukuwa utani. Ukisoma 2Samweli 16:5-8 utaona laana ikianza kazi yake na ukisoma 2Samweli 16:10-11 yeye mwenyewe Daudi anakiri kuwa Shimei ameagizwa na Mungu kuyatamka mabaya juu yake.

Kama haitoshi, Absalom mwanaye Daudi aliwalala masuria wa Mfalme Daudi, ikatimia laana ya Mungu juu ya zinaa ya mfalme. Hizo ni baraka? Soma 2Samweli 16:22 na kuendelea uone hata upanga Mungu aliomlaani Daudi kuwa hautaondoka nyumbani mwake ukiamka. Absalom anautafuta uhai wa babaake.

Anyway, Pascal Mayalla ana utata mwingi wa 'kimaudhui' aandikapo. Sitashangaa kujikuta MMU - Siasa Branch nikisolve equation King David + Bath-Sheba = Bwana Yule + 'X' na mimi sijui hesabu
Umetisha mkuu big up
 
Ndo nikupendeacho dada yangu wewe, hunaga unafiki in magu's voice, hakuna ubaya kumpenda mke wa mtu, wakituwowa wanatufanya kama kanyagio wanasahau na sie Bado tunachemka loh!!!
sasa lofa kama wewe ni huwezi kuolewa
 
Kwn huyo mtoa mada nayey amekuwa Daud?we mtoa mada mtaman tu mke wa MTU alafu kalale nae kW kuwa Daud alifanya hvyo hapo utajua kuw maharage ni mboga!!
 
Oukey my love, mke asiesikia la mumewe ni mke mpumbavu nami siko ivo, Addict ulisema siolewi umeona sasa ukisema cha nini wenzio wanalia kunipata lini
Datz y I love you Darling coz you never fail to understand !!!![emoji8] [emoji8] [emoji8] .

Maana nilitaka kushanga ,,my kapeace ,,a woman with pretty face and good head ,a woman with a beautiful heart ,, anawezaje kua ivo ?????.

Leave em baby ...
 
Wana MMU,
Salaam.

Japo mimi sii member active sana humu MMU, ila ni mfuatiliaji mzuri wa mada za MMU.

Kwenye what's app group fulani kuna mjadala kuhusu jamaa fulani kampenda mke wa mtu.

Watu wanajifanya kushangaa sana iweje mtu ampende mke wa mtu?. Wengine hadi wakafikia kumlaani huyu mpendaji kuwa kitendo cha kumpenda mke wa mtu, atalaaniwa!.

Hii ni thread ya swali hypothetical tuu na naliuliza very objectively, kuna ubaya gani mtu kumpenda mke wa mtu?.

What is Love?.
Kupenda is love, ni kitu kinachotokea naturally for a reason au inaweza kutokea tuu for no reason at all!. Sasa ikitokea tuu naturally, mtu kumpenda mke wa mtu mwingine, jee kuna ubaya gani?. NB. Naomba lets underline, kupenda, love na kutoka na mke wa mtu!, hapa nazungumzia ku penda, just imagine wewe ni mwanamke mke wa watu, halafu umependwa na mwanaume mwingine, jee wewe una kosa kupendwa?, kwani ni wewe ndio umemwambia huyo mwanamume, akupende?.

Hitimisho.
Wanawake, ni mama zetu, dada zetu na wake zetu, wengi wao wanaishi kwenye ndoa za mateso, hawapendwi, hawatimiziwi, hawatoshelezwi, sasa katika safari ya kuelekea kwenye usawa wa kijinsia, kama sisi wanaume tulivyo na uhuru wa kupenda mtu zaidi ya mmoja na isinekane ni jambo la ajabu, its high time, tuwape uhuru huo wa kupenda na kupendwa, mama zetu, dada zetu, na wake zetu.
Namalizia kwa swali hili la msingi, Japo "The Forbidden Fruits the Sweetest", na "Vifunikavyo Vyaliwa, Vyaachwa Vilo Wazi", Jee ikitokea mtu kumpenda mke wa mtu mwingine, jee kuna ubaya gani?.

Ila pia pamoja na yote, mwisho wa yote ni hukumu ya haki iitwayo karma, ambayo kila binadamu atahukumiwa kwa kadri ya wema wake!, unaweza kumpenda mke wa mtu kwa lengo la kumsaidia yeye na familia yake, ukapata baraka kwa usaidizi huo, na unaweza kumpenda mke wa mtu, kwa dhambi ya matamanio ya mwili tuu, na hivyo kumuangamiza mume wake na kuisambaratisha familia yake, japo kidunia unaweza kufanikiwa sana, lakini mwisho wa siku lazima karma itakuhusu!.

Muongozo wa kuujadili uzi huu:
Nasisitiza uzi huu ni hypothetical situation, hivyo nawaombeni sana, msiingize jina la mtu yoyote, na pia isiiamini sana taarifa za umbeya wa mitandaoni kuhusu wake za watu!.
Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa ...

Nawatakia Jumatano Njema.
Paskali
Rejea
Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi ...
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya ... - JamiiForums
tuambie umempenda mke wa nani, Daudi alikuwa mwazi
 
Kumpenda sio shida shida inakuja kama unataka kumgonga

Hapo ukidakwa utajua mifano yako ina tija maa lah

Mana nshashudia mtu anakaatwa vzri tuu
 
Back
Top Bottom