Kuna uhaba mkubwa sana wa Serengeti lager maeneo ya Kimara na Mbezi Luis

Unakosea unapoandika kuhusu nchi nzima ilihali hauishi nchi nzima unaishi kaeneo kadogo tu katika hii nchi.

Bia zipo tena za kumwaga hizo lager ni kama uchafu zimeadimika mahala uliko tu hii ni sawa kabisa na issue ya soda kuwa kuna uhaba wake lakini nikiangalia mahala nilipo zipo kiiiibao (Dodoma)
 
Kumbe unafahamu kuwa naishi kaeneo kadogo tu katika hii nchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…