Kuna uhusiano gani kati ya kuwasili kwa aliens duniani na machafuko ya siku za mwisho

Duh sawa kwa kuwa umeleta vitabu vitakatifu siwezi kupinga uko sawa,VP kuhusu chapa ya mpinga kristu 666 na ONE ORDER mbona kam vitu vingi mda mchache bado cjazungumzia covid na Bitcoins ,ivi unawaamini NASA na theory zao.
 
Duh sawa kwa kuwa umeleta vitabu vitakatifu siwezi kupinga uko sawa,VP kuhusu chapa ya mpinga kristu 666 na ONE ORDER mbona kam vitu vingi mda mchache bado cjazungumzia covid na Bitcoins ,ivi unawaamini NASA na theory zao.
The way I see it, kujidhihirisha kwa anti-Christ ndo utakuwa mwanzo wa kuanza maovu mbalimbali na mateso dhidi ya binadamu ambao watakuwa wanapinga kujifungamanisha na utawala wa mpinga Kristo kwa kukaidi kupokea chapa yake, 666 na possibly ndo kipindi ambacho kutatokea hawa aliens kuingia duniani na kushiriki kwenye haya machafuko.....One World Order ndo utaratibu huo huo unaofanywa na devil worshipers kuelekea kwenye maandalizi ya kuanza utawala wa anti-Christ.
 
Baada ya kusoma hapa napata ujasiri wa kufungua Kilimanjaro nyingine hapa bar
 
Hao dinosaurs nani aliwasababishia jambo baya??
 
Hao dinosaurs nani aliwasababishia jambo baya??
Sio "nani" ni "kipi"
Kuna nadharia mbili, aidha active volcano, au mvua ya asteroid ( havina tofauti sana na vimondo)

Kwa vyovyote vile waliondoka kikatili, descended wao kwa sasa ivi ni kuku.
 
Mimi mwenyewe juzi usiku ni kama nimemuona ALIEN kaja geto hapa ndotoni sema alikuwa amekaa tu kwenye ndoo, sijui ndiyo alikuwa anajifikiria kwamba aniteke au aniache?πŸ™„πŸ™„πŸ˜Œ
Mi juzi nilikua na mmoja pale small planet
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…