Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio tofauti dera linavyovaliwa uswazi na sehemu nyingine.
Ok.. okDera inavaliwa sio uswazi tu, ni vazi rahisi kwa wanawake haswa tusopenda kufunga khanga. Unakuwa comfortable na shughuli zako, alafu dera nyingi ni cotton hivyo haisumbui na joto.
jezi haipauki haraka tofauti na mashati au tshirt kwa hio inasave kununua nguo kila wakati...mtu anakuvalia jezi chini track Siku imeisha....!!Uswazi hatu-complicate maisha..simpo yani na Siku inasonga!!
Inawezekana kabisaHuenda hayo mavazi ni bei rahisi, nimewaza kwa sauti tu lkn
Nakubaliana na weweMasikini wengi wanavaa hizo nguo kwa vile ni bei rahisi sana , hizo jezi wanazovaa hakuna original hata moja , zote famba ! kuvaa jezi ya simba au yanga kwa sehemu kubwa kunaakisi uwezo mdogo wa mtu kichwani .
Wamevaa kujistiriNilikuwa naapita mitaaa ya uzwazi ya hapa Jijini.. Manzese na Magomeni. Ukikutana na wanawake 10.. lazima tisa wamevaa vazi la dera.. Ukikutana na vijana 10 lazima 9 wamezaa tshirt za timu(simba,yanga, madrid,Arsenal, Manchester etc)
Bado najiuliza kuna uhusiano gani ya haya mavazi na uswahilini?
Kote wanavaa madera tofauti ni kuwa huku kwetu uswazi watu full time wako kibarazani au wanapuyanga mtaani ndio maana unaona madera mengi na huko ushuani kwenu watu muda mwingi wako magetini akitoka kaingia kwenye gari na dera lake.
Hata kuona watu mtaani ni ngumu pia.Ushuan ngumu sana kuona mtu kavaa dela
Aisee....kuvaa jezi za simba na yanga kunaakisi nini? Haya maneno uyaseme humu humu JF.Masikini wengi wanavaa hizo nguo kwa vile ni bei rahisi sana , hizo jezi wanazovaa hakuna original hata moja , zote famba ! kuvaa jezi ya simba au yanga kwa sehemu kubwa kunaakisi uwezo mdogo wa mtu kichwani .
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimejisikia kucheka tu, sijui kwanini[emoji4]Huko uzunguni kwenu hamvai jezi au madera? Misiba kibao si ya uzunguni wala uswahili wamama wanashona sare madera.
Cheka uongeze siku.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimejisikia kucheka tu, sijui kwanini[emoji4]