Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
teh teh teh nilisikia sikia dera bila chura sawa na shule bila mwalimu hahahahaDera ndio naona nguo ambayo nakua nayo very comfortable,ayo ya uswazi ata sijui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
teh teh teh nilisikia sikia dera bila chura sawa na shule bila mwalimu hahahahaDera ndio naona nguo ambayo nakua nayo very comfortable,ayo ya uswazi ata sijui.
Yes.Its cheap cloth na inakubalika watu hawakushangai ila huko ushuani baada ya game watu huvua jezi na baada ya shughuli huweka dela pembeni ila uswazi ndo maisha ya kila siku! Karibu uswazi.
Umeeleweka mkuuYes.
Kama jezi ni cheap clothes, easy to handle, compatible to all weather. Haihitaji pasi, ukifua inawahi kukauka, inavalika usiku na mchana bila shida.
Unaweza pata rafiki popote. Kwenye joto au baridi unatinga tu fresh. Haichafuki haraka, uchafu unatereza.
Inakwenda na wakati muda wote. Unaweza valia jeans, pensi, msuli, suluali ya kushona, kadeti hata suluali ya askari jezi haina shida.
Unaweza vaa ukweni, msibani, club, baa, hata ofisini siku za ijumaa na jumamosi.
Unaweza endea kwenye kwaya au kaswida hamna atakaye kufukuza.
Bado kuna swali kuhusu jezi niendelee??
Labda kwa jezi lakini wanawake unakuta ana hayo 20 halafu bei kubwa tuPesa ya Nguo hakuna,maisha magumu...mtu anaburuza dera mwaka mzima...ama jezi ya yanga uhl mwaka mzima...wanazuga watu wa mpira!!
hata Mwananyamala kwa kisiwani nitayasema tuAisee....kuvaa jezi za simba na yanga kunaakisi nini? Haya maneno uyaseme humu humu JF.
Dar ni joto so dira ndio nyepesi bei ni rahisi so uswazi ndio wanapenda kuvaa ila sio uswazi tu mtu akiwa nyumbani ndio anapenda kuvaa hewa inaingia unavaa kibikini hapo walaa aukikitu kwa ndani chepesi juu dira lako mbona rahaaNilikuwa naapita mitaaa ya uzwazi ya hapa Jijini.. Manzese na Magomeni. Ukikutana na wanawake 10.. lazima tisa wamevaa vazi la dera.. Ukikutana na vijana 10 lazima 9 wamezaa tshirt za timu(simba,yanga, madrid,Arsenal, Manchester etc)
Bado najiuliza kuna uhusiano gani ya haya mavazi na uswahilini?
Tayari umeshasema,huo ndo uhusianoNilikuwa naapita mitaaa ya uzwazi ya hapa Jijini.. Manzese na Magomeni. Ukikutana na wanawake 10.. lazima tisa wamevaa vazi la dera.. Ukikutana na vijana 10 lazima 9 wamezaa tshirt za timu(simba,yanga, madrid,Arsenal, Manchester etc)
Bado najiuliza kuna uhusiano gani ya haya mavazi na uswahilini?
Hapo ni umasikini tu!
Kwanza wavaa jezi za mipira hapa bongo ndo maskni Wa kutupwa!
Wengi wao hawana dira yeyote kaz kubishana, kubet nk hopeless
ila kwa wale wamadela, kazi ya dela ni kuficha umaskni, ni aina ya wanawake wasio weza kubadilisha nguo Mara tatu kwa wiki
Kwa nin tena roho mbaya? Au nmesema uongo??Duh wewe una roho mbaya sana.
Mkuu, Ukivaa jezi za timu gani ndo inaakisi uwezo mkubwa wa mtu kichwani...?Masikini wengi wanavaa hizo nguo kwa vile ni bei rahisi sana , hizo jezi wanazovaa hakuna original hata moja , zote famba ! kuvaa jezi ya simba au yanga kwa sehemu kubwa kunaakisi uwezo mdogo wa mtu kichwani .