Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,380
- 31,566
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cheka uongeze siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cheka uongeze siku.
Vipi wewe unavaa dera?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Joto nazani linafanya watu wavae nguo nyepesi kama hizo, hata mm nikiwa Dar miezi ya 11,12,01,02 napenda kuvaa pensi na jezi siku za wkendNilikuwa naapita mitaaa ya uzwazi ya hapa Jijini.. Manzese na Magomeni. Ukikutana na wanawake 10.. lazima tisa wamevaa vazi la dera.. Ukikutana na vijana 10 lazima 9 wamezaa tshirt za timu(simba,yanga, madrid,Arsenal, Manchester etc)
Bado najiuliza kuna uhusiano gani ya haya mavazi na uswahilini?
Huku kwetu vijijini hatuvaagi madera bali tunafunga kanga na vitenge[emoji23]Vipi wewe unavaa dera?
Ugonjwa wangu huo...Huku kwetu vijijini hatuvaagi madera bali tunafunga kanga na vitenge[emoji23]
Karibu kijijini kwetu ujipe raha[emoji23]Ugonjwa wangu huo...
Nimepokea mwaliko nitakaribiaKaribu kijijini kwetu ujipe raha[emoji23]
Tatizo lako unazani maskini ndo wavaa jezi, Mimi wkend lazima nitupie Jezi ya Madrid OG dola 80, ninazo 3 za msimu huu, acha kukariri maisha hayako hivyo, hafu mm najamaa zangu wengi sana hata wakiwa makwao wanatupia jezi labda mtu kama anamtoko wa kwenda kusalimia ndugu au anaenda kazini au kwenye kikaoMasikini wengi wanavaa hizo nguo kwa vile ni bei rahisi sana , hizo jezi wanazovaa hakuna original hata moja , zote famba ! kuvaa jezi ya simba au yanga kwa sehemu kubwa kunaakisi uwezo mdogo wa mtu kichwani .
HahahhahaUlitaka wavae nguo gani?
wanawake wenyewe wana mizigo balaa.acha wavae madera watustiri na mifadhaiko.
Dar RAHA.
Kweli kabisa.. lkn hata hapa mjini kabla ya madera ilikuwa ni mwendo wa kijifunga khanga na vitenge.. ila sasa imepungua snaHuku kwetu vijijini hatuvaagi madera bali tunafunga kanga na vitenge[emoji23]
Nilimwambia mpenzi siku nikikuta kacomekea dera chupini yuko kitaa itakua ni sababu tosha kabisa ya kuyumbisha mahusiano na au kuyavunja kabisa!Wameyachomekea kwenye chupi?
Na unaishi migomigo pia?Mimi na vaa jezi ni mpenzi wa mpira ninvyo andika comment hii nimevaa jezi ya Manchester ila kuhusu dera sifaham
kuna mitaa dera ni kama sare yao mkuuHata kuona watu mtaani ni ngumu pia.