Kuna uhusiano gani wa CC za gari na ulaji mafuta?

Kuna uhusiano gani wa CC za gari na ulaji mafuta?

Mkuu ungefafanua technically kabisa ili tuelewe.
Hata mimi mwanzo nilikuwa sijui maana ya cc mpaka nilipokuja kusoma kwenye mtandao. Na baada ya kusoma sijaweza kurelate cc na ulaji wa mafta maana cc maana yake kumbe ni cubic centimetre na inapimwa kuanzia pale piston inapokuwa imecmama (dead) mpaka inapo rotate hadi mwisho.
Kwa mantiki hiyo ningependa mtu anielezee kuna uhusiano gani na utumiaji wa mafta
CC = cylinder capacity
 
Hizo gari zenye engine za kisasa zote km VVTI, D4-D, GDI n.k zina mfumo mzuri wa ulaji wa mafuta ambao ni electronic contlolled na hata kama ni petrol inatumia nozel na Petrol,air mixture inafanyika kwa ku optimize air ratio zaid kwenye combustion chamber tofauti na zile za zamani ambapo ilikuwa kwa Petrol mchanganyiko huo unafanyika ndani ya cylinder theni unakuwa ignited na spark plug.

nitatoa tofauti moja kuu ya Diesel na Petrol engines nayo ni Ignition point. kwa waliosoma Chemistry watakuwa wanajua hii kitu. sasa Deisel fuel ina low iginition point ndio maana engines zake huwa hewa inaingia kwenye cylinder then inakuwa compressed halafu inakuwa ignited na Diesel fuel moja kwa moja wakati Petrol Engine Petrol and air has to be mixed at a certain proportion then compressed before being ignited by the sparking plug. Hii inafanya Diesel kutumika kidogo kuliko Petrol

Sasa maboresho yaliyofanyika ni pamoja na kufanya mchanganyo uwe bora zaidi yaani premix kwa kuwa elecronic controlled with nozzels and sensors inside the manifold.

ndio maana kwa mafundi wetu tulionao wengi hawajajiendeleza na teknolojia hii ya kisasa badoa wako na zile za zamani gari hizi zinakuwa tabu kwao kutengeneza.
mkuu upo vizuri mechanical engineering..
kwa kaelim kangu ka basic mechanical engineering nilikokasomaga first year mwaka flan, nimekusoma vizuri.. umekaelezea vizuri hako katopic
 
Siyo kweli mkuu CC ni Cubic Centimeter
.mkuu samahani kwa kuchomekea mada ila naulizia hizi gari zenye push button start engine with smart key. Hivi zina faida na hasara gani? Ikiwa engine inazingua bongo wanaweza zitengeneza? Ukipoteza smart key inakuwaje?
 
.mkuu samahani kwa kuchomekea mada ila naulizia hizi gari zenye push button start engine with smart key. Hivi zina faida na hasara gani? Ikiwa engine inazingua bongo wanaweza zitengeneza? Ukipoteza smart key inakuwaje?
Hizo Gari ni za kisasa zaidi na kadri siku zinavyosonga teknolojia inaongezeka na kubadilika utakubaliana na Mimi kuwa magari ya miaka ya nyuma sio sawa na magari ya miaka hii ya sasa na yajayo. Lakini ni nadra sana kwa mafundi wetu kujionge na kujifunza teknolojia mpya ili kuendana na USASA was magari wengi wanabahatisha na wengineo wanasaidiwa na hizi machine Diagnosis.

Hivyo kuna changamoto lakini pia kuna fursa katika hili. Ukiwa na gari kama hill usipeleke kwa mafundi was mitaani utajuta
 
Hizo Gari ni za kisasa zaidi na kadri siku zinavyosonga teknolojia inaongezeka na kubadilika utakubaliana na Mimi kuwa magari ya miaka ya nyuma sio sawa na magari ya miaka hii ya sasa na yajayo. Lakini ni nadra sana kwa mafundi wetu kujionge na kujifunza teknolojia mpya ili kuendana na USASA was magari wengi wanabahatisha na wengineo wanasaidiwa na hizi machine Diagnosis.

Hivyo kuna changamoto lakini pia kuna fursa katika hili. Ukiwa na gari kama hill usipeleke kwa mafundi was mitaani utajuta
Nimenunua gari ya namna hiyo halafu niko mkoani Tanga. Sasa nina wasiwasi ikikorofisha
Halafu inaonekana mafundi zinawazingua sana. Coz nimefunga alarm system huko. Dar but fundi ilimsumbua sana besides that inaingiliana na smart key system
Sasa sijui nafanyaje?
 
Gari ikiwa na cc kubwa inaivuta hewa nyingi ill hewa ilipuke inaitaji mafuta mengi. Cc kidogo hewa kidogo mafuta kidogo. Karibu kwa maswali. AyoG Car Doctor. Simu 0784476245/759109880 niko Arusha
 
.mkuu samahani kwa kuchomekea mada ila naulizia hizi gari zenye push button start engine with smart key. Hivi zina faida na hasara gani? Ikiwa engine inazingua bongo wanaweza zitengeneza? Ukipoteza smart key inakuwaje?
Ni naweza kutengeneza kama unashida hiyo nipigie
Mkuu ungefafanua technically kabisa ili tuelewe.
Hata mimi mwanzo nilikuwa sijui maana ya cc mpaka nilipokuja kusoma kwenye mtandao. Na baada ya kusoma sijaweza kurelate cc na ulaji wa mafta maana cc maana yake kumbe ni cubic centimetre na inapimwa kuanzia pale piston inapokuwa imecmama (dead) mpaka inapo rotate hadi mwisho.
Kwa mantiki hiyo ningependa mtu anielezee kuna uhusiano gani na utumiaji wa mafta
 
Hizo gari zenye engine za kisasa zote km VVTI, D4-D, GDI n.k zina mfumo mzuri wa ulaji wa mafuta ambao ni electronic contlolled na hata kama ni petrol inatumia nozel na Petrol,air mixture inafanyika kwa ku optimize air ratio zaid kwenye combustion chamber tofauti na zile za zamani ambapo ilikuwa kwa Petrol mchanganyiko huo unafanyika ndani ya cylinder theni unakuwa ignited na spark plug.

nitatoa tofauti moja kuu ya Diesel na Petrol engines nayo ni Ignition point. kwa waliosoma Chemistry watakuwa wanajua hii kitu. sasa Deisel fuel ina low iginition point ndio maana engines zake huwa hewa inaingia kwenye cylinder then inakuwa compressed halafu inakuwa ignited na Diesel fuel moja kwa moja wakati Petrol Engine Petrol and air has to be mixed at a certain proportion then compressed before being ignited by the sparking plug. Hii inafanya Diesel kutumika kidogo kuliko Petrol

Sasa maboresho yaliyofanyika ni pamoja na kufanya mchanganyo uwe bora zaidi yaani premix kwa kuwa elecronic controlled with nozzels and sensors inside the manifold.

ndio maana kwa mafundi wetu tulionao wengi hawajajiendeleza na teknolojia hii ya kisasa badoa wako na zile za zamani gari hizi zinakuwa tabu kwao kutengeneza.

hadi nahisi kizunguzungu eeh my driving school teacher hakunifundisha hii....lol
 
Nimenunua gari ya namna hiyo halafu niko mkoani Tanga. Sasa nina wasiwasi ikikorofisha
Halafu inaonekana mafundi zinawazingua sana. Coz nimefunga alarm system huko. Dar but fundi ilimsumbua sana besides that inaingiliana na smart key system
Sasa sijui nafanyaje?
Gari lina immobilizer alitakubali allam moja lazima utumie zote mbili au utowe hiyo uliofunga
 
Gari lina immobilizer alitakubali allam moja lazima utumie zote mbili au utowe hiyo uliofunga
Immobilizer ndio nini na inafanyaje kazi mkuu?
Dah nmeifunga alarm gharama kilo mbili niitoe tena? Ninachofanya nafunga gari kwa kutumia alarm tu na si smart key. Inasaidia kiasi kwa kuwa gari ikisumbuliwa hasa upande wa mlango wa dereva inapiga kelele
 
.mkuu samahani kwa kuchomekea mada ila naulizia hizi gari zenye push button start engine with smart key. Hivi zina faida na hasara gani? Ikiwa engine inazingua bongo wanaweza zitengeneza? Ukipoteza smart key inakuwaje?
Ukipoteza smart key inabidi uagize smart key ingine[chasis number itatumika] ikija inabidi iwe programmed ndio itawasha gari.
 
Ukipoteza smart key inabidi uagize smart key ingine[chasis number itatumika] ikija inabidi iwe programmed ndio itawasha gari.
Unamaanisha unaagiza engine mpya kabisa ya gari? Hamna namna unaweza nunua funguo then ikawa programmed kwa hiyo gari?
 
Back
Top Bottom