alphonce.NET
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,703
- 6,046
CC = cylinder capacityMkuu ungefafanua technically kabisa ili tuelewe.
Hata mimi mwanzo nilikuwa sijui maana ya cc mpaka nilipokuja kusoma kwenye mtandao. Na baada ya kusoma sijaweza kurelate cc na ulaji wa mafta maana cc maana yake kumbe ni cubic centimetre na inapimwa kuanzia pale piston inapokuwa imecmama (dead) mpaka inapo rotate hadi mwisho.
Kwa mantiki hiyo ningependa mtu anielezee kuna uhusiano gani na utumiaji wa mafta
Kama ni sensors za Fuel system na au ignition system kuna uhusiano mkubwa sana mkuu.Mkuu, kuna uhusiano wowote wa sensors zilizoanza kuchoka na ulaji wa mafuta?
Siyo kweli mkuu CC ni Cubic CentimeterCC = cylinder capacity
mkuu upo vizuri mechanical engineering..Hizo gari zenye engine za kisasa zote km VVTI, D4-D, GDI n.k zina mfumo mzuri wa ulaji wa mafuta ambao ni electronic contlolled na hata kama ni petrol inatumia nozel na Petrol,air mixture inafanyika kwa ku optimize air ratio zaid kwenye combustion chamber tofauti na zile za zamani ambapo ilikuwa kwa Petrol mchanganyiko huo unafanyika ndani ya cylinder theni unakuwa ignited na spark plug.
nitatoa tofauti moja kuu ya Diesel na Petrol engines nayo ni Ignition point. kwa waliosoma Chemistry watakuwa wanajua hii kitu. sasa Deisel fuel ina low iginition point ndio maana engines zake huwa hewa inaingia kwenye cylinder then inakuwa compressed halafu inakuwa ignited na Diesel fuel moja kwa moja wakati Petrol Engine Petrol and air has to be mixed at a certain proportion then compressed before being ignited by the sparking plug. Hii inafanya Diesel kutumika kidogo kuliko Petrol
Sasa maboresho yaliyofanyika ni pamoja na kufanya mchanganyo uwe bora zaidi yaani premix kwa kuwa elecronic controlled with nozzels and sensors inside the manifold.
ndio maana kwa mafundi wetu tulionao wengi hawajajiendeleza na teknolojia hii ya kisasa badoa wako na zile za zamani gari hizi zinakuwa tabu kwao kutengeneza.
.mkuu samahani kwa kuchomekea mada ila naulizia hizi gari zenye push button start engine with smart key. Hivi zina faida na hasara gani? Ikiwa engine inazingua bongo wanaweza zitengeneza? Ukipoteza smart key inakuwaje?Siyo kweli mkuu CC ni Cubic Centimeter
Hizo Gari ni za kisasa zaidi na kadri siku zinavyosonga teknolojia inaongezeka na kubadilika utakubaliana na Mimi kuwa magari ya miaka ya nyuma sio sawa na magari ya miaka hii ya sasa na yajayo. Lakini ni nadra sana kwa mafundi wetu kujionge na kujifunza teknolojia mpya ili kuendana na USASA was magari wengi wanabahatisha na wengineo wanasaidiwa na hizi machine Diagnosis..mkuu samahani kwa kuchomekea mada ila naulizia hizi gari zenye push button start engine with smart key. Hivi zina faida na hasara gani? Ikiwa engine inazingua bongo wanaweza zitengeneza? Ukipoteza smart key inakuwaje?
Nimenunua gari ya namna hiyo halafu niko mkoani Tanga. Sasa nina wasiwasi ikikorofishaHizo Gari ni za kisasa zaidi na kadri siku zinavyosonga teknolojia inaongezeka na kubadilika utakubaliana na Mimi kuwa magari ya miaka ya nyuma sio sawa na magari ya miaka hii ya sasa na yajayo. Lakini ni nadra sana kwa mafundi wetu kujionge na kujifunza teknolojia mpya ili kuendana na USASA was magari wengi wanabahatisha na wengineo wanasaidiwa na hizi machine Diagnosis.
Hivyo kuna changamoto lakini pia kuna fursa katika hili. Ukiwa na gari kama hill usipeleke kwa mafundi was mitaani utajuta
Ni naweza kutengeneza kama unashida hiyo nipigie.mkuu samahani kwa kuchomekea mada ila naulizia hizi gari zenye push button start engine with smart key. Hivi zina faida na hasara gani? Ikiwa engine inazingua bongo wanaweza zitengeneza? Ukipoteza smart key inakuwaje?
Mkuu ungefafanua technically kabisa ili tuelewe.
Hata mimi mwanzo nilikuwa sijui maana ya cc mpaka nilipokuja kusoma kwenye mtandao. Na baada ya kusoma sijaweza kurelate cc na ulaji wa mafta maana cc maana yake kumbe ni cubic centimetre na inapimwa kuanzia pale piston inapokuwa imecmama (dead) mpaka inapo rotate hadi mwisho.
Kwa mantiki hiyo ningependa mtu anielezee kuna uhusiano gani na utumiaji wa mafta
Hizo gari zenye engine za kisasa zote km VVTI, D4-D, GDI n.k zina mfumo mzuri wa ulaji wa mafuta ambao ni electronic contlolled na hata kama ni petrol inatumia nozel na Petrol,air mixture inafanyika kwa ku optimize air ratio zaid kwenye combustion chamber tofauti na zile za zamani ambapo ilikuwa kwa Petrol mchanganyiko huo unafanyika ndani ya cylinder theni unakuwa ignited na spark plug.
nitatoa tofauti moja kuu ya Diesel na Petrol engines nayo ni Ignition point. kwa waliosoma Chemistry watakuwa wanajua hii kitu. sasa Deisel fuel ina low iginition point ndio maana engines zake huwa hewa inaingia kwenye cylinder then inakuwa compressed halafu inakuwa ignited na Diesel fuel moja kwa moja wakati Petrol Engine Petrol and air has to be mixed at a certain proportion then compressed before being ignited by the sparking plug. Hii inafanya Diesel kutumika kidogo kuliko Petrol
Sasa maboresho yaliyofanyika ni pamoja na kufanya mchanganyo uwe bora zaidi yaani premix kwa kuwa elecronic controlled with nozzels and sensors inside the manifold.
ndio maana kwa mafundi wetu tulionao wengi hawajajiendeleza na teknolojia hii ya kisasa badoa wako na zile za zamani gari hizi zinakuwa tabu kwao kutengeneza.
Gari lina immobilizer alitakubali allam moja lazima utumie zote mbili au utowe hiyo uliofungaNimenunua gari ya namna hiyo halafu niko mkoani Tanga. Sasa nina wasiwasi ikikorofisha
Halafu inaonekana mafundi zinawazingua sana. Coz nimefunga alarm system huko. Dar but fundi ilimsumbua sana besides that inaingiliana na smart key system
Sasa sijui nafanyaje?
Immobilizer ndio nini na inafanyaje kazi mkuu?Gari lina immobilizer alitakubali allam moja lazima utumie zote mbili au utowe hiyo uliofunga
Mkuu naomba kuuliza, je hiyo TURBO inaweza "kufungwa" kwenye gari yangu Mark II bila shida??Kufunga turbo, kwasababu cc2000 yenye turbo itakupa perfomance ya cc2500 isio na turbo. Faida yake kwenye kodi, cc zinachangia ukubwa wa kodi za magari
Turbo inafungwa kwenye gari yoyote.Mkuu naomba kuuliza, je hiyo TURBO inaweza "kufungwa" kwenye gari yangu Mark II bila shida??
Ukipoteza smart key inabidi uagize smart key ingine[chasis number itatumika] ikija inabidi iwe programmed ndio itawasha gari..mkuu samahani kwa kuchomekea mada ila naulizia hizi gari zenye push button start engine with smart key. Hivi zina faida na hasara gani? Ikiwa engine inazingua bongo wanaweza zitengeneza? Ukipoteza smart key inakuwaje?
Unamaanisha unaagiza engine mpya kabisa ya gari? Hamna namna unaweza nunua funguo then ikawa programmed kwa hiyo gari?Ukipoteza smart key inabidi uagize smart key ingine[chasis number itatumika] ikija inabidi iwe programmed ndio itawasha gari.
Nimesema smart key INGINE...INGINE/NYINGINE SIO ENGINE.Unamaanisha unaagiza engine mpya kabisa ya gari? Hamna namna unaweza nunua funguo then ikawa programmed kwa hiyo gari?