Kuna uhusiano gani wa CC za gari na ulaji mafuta?

Kuna uhusiano gani wa CC za gari na ulaji mafuta?

Nimeagiza gari Audi A4 2005, ina cc 1780. Pia ina turbo. Naomba nieleweshwe athari za turbo kwenye fuel consumption
 
Samahan kidogo, nadandia gari kwa mbele, nataman kupata vitz rs old model, sasa nashindwa kuelewa model ya engine na cc, coz Kuna 1nz cc 1490 na Kuna 2nz cc 1290. Ipi kubwa hapo? Naomba na ubora wake wa matumizi
 
Wakuu ninafuatilia mtandaoni kuhusu uhusiano wa hii topic naishia kuchanganyikiwa tu. Pia nimesearch Jf bahati mbaya sijaona, ukiwa na gari ya cc1990 na ingine ya cc2700 bado the same amount of gas utatumia?

TIA
dah hili swali niliwai kuulizwa kwenye paper Ila hata sikumbuki nilijibu nini
 

IMG_0597.JPG
 
Ahsante ila tambua ukitaka kumueleza mtu kitu ni lazima uanzie sehem ambayo inamfanya mtu aelewe dhana yote kwa ujumla..... Rpm na idling speed vinaweza kutumika kumuelezea mtu akaelewa nini maana ya torque. Ni kama wewe ulivotoa mfano wa kufungua nati...kwani kufungua nati ni torque? Huo ni mfano umeutoa ili mtu apate picha fulani ili aweze kuelewa

Hapo kwenye idling speed tupaache coz tutabishana hadi tutamaliza data
Chief naomba kufahamu,

Premio new model ya 1800cc inatembea km ngapi kwa Lita moja? Na ile ya 1500cc je?
 
Huu uzi Ni mtamu Sana ila watu wamejikita kwenye ukosoaji

Ili uwe fundi mzuri inatakiwa ufanye Kaz na mafundi wengi au usome vitabu vingi
Na mwisho wa siku unakuja kukusanya vtu muhimu vyote na kuvitumia

Sasa unakuta mtu yupo chuo sijui nit,dit,na kwingneko, anakuja jamvin na kuanza kubishana na watu ilhal anujuzi kutoka kwa mtu mmoja tu

Like that hatuwez kujifunza..

By eng buzitata
 
Narudia tena kwa msisitizo DIESEL ENGINE IS MORE POWERFULL THAN PETROL ENGINE...... Kama unabisha andamana
Kuna kitu umenifunza magari makubwa kama mabus yana nguvu sana na mbio hatari yote ni dizel

Lakini hebu fafanua vizuri huu upowerful wa dizel na petroli upoje kwenye spidi ya kuondoka

Mfano una spacio mbili sawa kila kitu ila moja ni petrol nyingine dizel zikiondoka kwa pamoja kukimbia nani atamuacha mwenzake?...spacio dizel itaiacha spacio petrol kwa sababu dizel ina nguvu ?
Aksante
 
Mfano pikipiki kama boxer huwa na Cc 125 , magari mengi huwa na Cc 2500 na kuendelea, sasa ulaji mafuta wa pikipiki na gari unauonaje?
 
Kuna kitu umenifunza magari makubwa kama mabus yana nguvu sana na mbio hatari yote ni dizel

Lakini hebu fafanua vizuri huu upowerful wa dizel na petroli upoje kwenye spidi ya kuondoka

Mfano una spacio mbili sawa kila kitu ila moja ni petrol nyingine dizel zikiondoka kwa pamoja kukimbia nani atamuacha mwenzake?...spacio dizel itaiacha spacio petrol kwa sababu dizel ina nguvu ?
Aksante
Kila mafuta yana properties, kwa mfano Kuna ignition point na calorific value (zipo zaid ya tano Ila hapa natumia hzi mbili)

Calorific value ni ile nguvu iliyopo ndan ya mafuta na ignition point ni ule uwezo wa mafuta kuungua

Kwa mafuta ya diesel haya Yana nguvu nyingi zaid ukilinganisha na petrol lakin ni magumu kuungua ukilinganisha na petrol ambayo haihitaj joto jingi ili yaweze kuwaka. Kwa Hali ya kawaida tunasema petrol engine is more efficient than diesel engine but less powerful once we compare with diesel engine


Ukichikua hizo Paso zako ulizosema hapo juu na tukaziweka zipandishe mlima kitonga zikiwa na kamzigo kiasi utaona ile inayotumia diesel engine itapanda bila wasiwasi Sana yaan unaweza ukapanda hata na gia namba 3 Ila kwa petrol engine itapanda kwa shida kidogo kutokana na hyo calorific value iliyomo ndan ya mafuta

Shukran..
 
Thanks administration for accepting my request im happy to be official member of this forum hope nitanufaika na mengi
 
Kila mafuta yana properties, kwa mfano Kuna ignition point na calorific value (zipo zaid ya tano Ila hapa natumia hzi mbili)

Calorific value ni ile nguvu iliyopo ndan ya mafuta na ignition point ni ule uwezo wa mafuta kuungua

Kwa mafuta ya diesel haya Yana nguvu nyingi zaid ukilinganisha na petrol lakin ni magumu kuungua ukilinganisha na petrol ambayo haihitaj joto jingi ili yaweze kuwaka. Kwa Hali ya kawaida tunasema petrol engine is more efficient than diesel engine but less powerful once we compare with diesel engine


Ukichikua hizo Paso zako ulizosema hapo juu na tukaziweka zipandishe mlima kitonga zikiwa na kamzigo kiasi utaona ile inayotumia diesel engine itapanda bila wasiwasi Sana yaan unaweza ukapanda hata na gia namba 3 Ila kwa petrol engine itapanda kwa shida kidogo kutokana na hyo calorific value iliyomo ndan ya mafuta

Shukran..
Gari ndogo zimeundwa kwa ajili ya kazi nyepesi na sio kubeba mizigo.

Linganisha gari mbili za muundo sawa. Mfano, BMW X5 ya Petrol na Diesel zote ziwe na 3000cc.

Linganisha kwenye power, speed, torque na ulaji wa mafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh! Umenichekesha kweli.
Yani pikpik piston 1 unalinganisha na gar pistoni nne or sita? kwenye fuel consumption?
are you serious kweli?
Anyway hourse power ya pikipiki ni ndogo waKati ya hiyo gari ni kubwa.
Note: kwasababu umeuliza kimasihara wacha nami nikujibu kimasihara hivyo hivyo.
Pikipiki inatumia mafuta vizur zaid with Hpower ndogo, high block wind force effect unlike cars

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom