Kuna Uhusiano wa Wizi wa Raslimali za Nchi Yetu na Wanasiasa wa Chama cha Democratic cha Marekani?

Kuna Uhusiano wa Wizi wa Raslimali za Nchi Yetu na Wanasiasa wa Chama cha Democratic cha Marekani?

Ndebile

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
7,745
Reaction score
11,267
Nakili sina ujuzi wa mada za uchunguzi ila kwa kutumia tu "common sense" ambayo kila mtu anazaliwa nayo na kwa msaada wenu "great thinker" hebu tuunganishe dots hapa(huu ni Uzi shirikishi) ili kuwabaini Wanasiasa hapa nchini ambao wapo karibu sana na wana urafiki na wenzako wa chama cha Democratic.

Ukiona mbunge tena mwenye pesa na ushawishi mkubwa kabeba bango na kuandamana huku povu likimtoka na matusi juu kama ambavyo tunashuhudia democratic wanagalagala jua kuna maslahi yake binafsi yameguswa.

Kwa kuanzia nawataja Zitto Kabwe, Lazaro Nyalandu, January Makamba, hawa Wana masawahiba wengi Democratic na wewe ongezea wengine....

NancyPelosi-ZittoKabwe-DennisKucinich.jpg

 
Wachina ndio wanajenga barabara zote na reli.

Waarabu wapo bandarani na Loliondo

Barrick Gold ni ya Canada.

Tanzanite imekuwa inachimbwa na makaburu.

Petra Diamonds ni ya Uingereza

V8 Zinanuliwa Japan

Wachina na Watanzania wamehusishwa na wizi wa pembe za ndovu.
 
Aliyewaambia nyie peke yenu ndo mna rasilimali na kila mtu anawaonea wivu aliwaja upumbavu endelevu.

Ukiacha Tanzanite, madini ya vito yasiyo na faida yeyote nyingine, hakuna chochote kingine mnazalisha cha maana kutishia nchi yeyote Ile.
 
Aliyewaambia nyie peke yenu ndo mna rasilimali na kila mtu anawaonea wivu aliwaja upumbavu endelevu.

Ukiacha Tanzanite, madini ya vito yasiyo na faida yeyote nyingine, hakuna chochote kingine mnazalisha cha maana kutishia nchi yeyote Ile.
Unakumbuka Richmond aka Dowans na Marekani, dhahabu, mbuga za wanyama, almasi,
Angalau hicho kidogo kitusaidie tuondokane na misaada ya namna hii;
IMG_5874.jpeg
 
Wataje tuangalie wanatoka chama gani na wapo mlengo gani, mkuu sio vizuri hii mada ikaangukia kwenye uCCM na uChadema, samahani!
Ukimsikiliza katika hotuba yake ya mwisho kuhusiana na "no reform no election" aliweka bayana kuwa kama serikali ya CCM isipoweka mazingira ya uchaguzi wa wazi na haki basi wao kama CDM hawatosita kwenda kuomba msaada kwa marafiki zao huko duniani. Ulimuelewa?
 
Ukimsikiliza katika hotuba yake ya mwisho kuhusiana na "no reform no election" aliweka bayana kuwa kama serikali ya CCM isipoweka mazingira ya uchaguzi wa wazi na haki basi wao kama CDM hawatosita kwenda kuomba msaada kwa marafiki zao huko duniani. Ulimuelewa?
Msaada unaweza kuwa ni pamoja na Sheria, vikwazo, nk
 
Nakili sina ujuzi wa mada za uchunguzi ila kwa kutumia tu "common sense" ambayo kila mtu anazaliwa nayo na kwa msaada wenu "great thinker" hebu tuunganishe dots hapa(huu ni Uzi shirikishi) ili kuwabaini Wanasiasa hapa nchini ambao wapo karibu sana na wana urafiki na wenzako wa chama cha Democratic.

Ukiona mbunge tena mwenye pesa na ushawishi mkubwa kabeba bango na kuandamana huku povu likimtoka na matusi juu kama ambavyo tunashuhudia democratic wanagalagala jua kuna maslahi yake binafsi yameguswa.

Kwa kuanzia nawataja Zitto Kabwe, Lazaro Nyalandu, January Makamba, hawa Wana masawahiba wengi Democratic na wewe ongezea wengine....

View attachment 3226511
View attachment 3226513
Yes absolutely upo wizi tena mkubwaaa!!!Hizo pesa wanasiasa wa Marekani walikuwa wanawalipa wanasiasa wetu(hasa serikalini) kwa njia ya misaada eti ya kupigania gender equality na mambo ya hali ya hewa!!!real how?Yaan 14m usd kupigania haki za kijinsia!Mbona hatuoni chochote?Kwenye climate change ndio kule kupanda miti kwa akina Makamba ofisi ya mkuu wa mkoa Tabora!?Tabora miti ilipandwa na jeshi na walioikuza ni wananchi kwa amri mti ukiharibika unalipa faini!!Jaman at least watafute namna nyingine ya kulipana wanapouziana rasilimali za nchi
 
Huyu alikuwa mbele kwenye. Maandamano ya kuitetea USAID "ulaji" maana wanasema naye ni mnufaika kwa mlango wa nyuma WA fedha za misaada kwenda "kwao" Somalia sasa naona upepo umegeuka kwake..

Screenshot_2025-02-06-08-43-38-427_com.twitter.android.jpg
 
Wachina ndio wanajenga barabara zote na reli.

Waarabu wapo bandarani na Loliondo

Barrick Gold ni ya Canada.

Tanzanite imekuwa inachimbwa na makaburu.

Petra Diamonds ni ya Uingereza

V8 Zinanuliwa Japan

Wachina na Watanzania wamehusishwa na wizi wa pembe za ndovu.
Wachina ndio Democrats?

🤣🤣🤣🤣nimeangalia hio picha zijamuona muarabu, mkanada mwi gereza wala mujapani.

Wameingiaje hapo?

Maswali mengine ni maswali tyu kama yalivyoulizwa.
 
Unakumbuka Richmond aka Dowans na Marekani, dhahabu, mbuga za wanyama, almasi,
Angalau hicho kidogo kitusaidie tuondokane na misaada ya namna hii;
View attachment 3226524

Misaada ya kikuda hii. Mizungu ukiweka tu neno gender na climate change inakupa hela.

Vingine vyote ulivyotaja USA na nchi zingine wanazalisha vingi kuliko TZ from oil, gas, gold, diamond, water, land, misitu etc.
 
Marafiki zake Lisu wao wapo mlengo gani?
karibia asilimia 35 ya vyama vya siasa vya upinzani vilivyoingia madarakani ulimwenguni,so far ni wale wa mrengo wa kulia -far right populist fascist Na hii ni trend tangia za 2015 mpaka hapa tulipo. fanya hesabu zako mwenyewe.

Mh. Tundu Lissu ndiye mkombozi na make tanzania great again?
 
Aliyewaambia nyie peke yenu ndo mna rasilimali na kila mtu anawaonea wivu aliwaja upumbavu endelevu.

Ukiacha Tanzanite, madini ya vito yasiyo na faida yeyote nyingine, hakuna chochote kingine mnazalisha cha maana kutishia nchi yeyote Ile.
Ha ha ha. Mkulu mbona hv tena??

Swali limeulizwa

Kuna Uhusiano wa Wizi wa Raslimali za Nchi Yetu na Wanasiasa wa Chama cha Democratic cha Marekani?


Ndio au hapana?

wewe umekurupuka na majibu yaliyojaa hasira, lawama na kejeli kweli kweli?

nini hasa hasira zako?
 
Ha ha ha. Mkulu mbona hv tena??

Swali limeulizwa

Kuna Uhusiano wa Wizi wa Raslimali za Nchi Yetu na Wanasiasa wa Chama cha Democratic cha Marekani?


Ndio au hapana?

wewe umekurupuka na majibu yaliyojaa hasira, lawama na kejeli kweli kweli?

nini hasa hasira zako?
Wamarekani ni kati ya watu wanaoiba rasilimali za nchi yetu?
 
Back
Top Bottom