Kuna Uhusiano wa Wizi wa Raslimali za Nchi Yetu na Wanasiasa wa Chama cha Democratic cha Marekani?

Kuna Uhusiano wa Wizi wa Raslimali za Nchi Yetu na Wanasiasa wa Chama cha Democratic cha Marekani?

Wataje tuangalie wanatoka chama gani na wapo mlengo gani, mkuu sio vizuri hii mada ikaangukia kwenye uCCM na uChadema, samahani!
Watu wenye IQ ndogo ndio sifa yao kuu hiyo.
 
Wamarekani ni kati ya watu wanaoiba rasilimali za nchi yetu?
hutaki kuamini au?

Umeulizwa swali hapo unalikimbia.

Hebu muulize huyo mleta mada kama ni Wamerekani bana, mbona una diflect hivo
 
@ndembile ww ndie ulieleta huu uzi na mada ni yako. nisaidie na hili swali na jibu lake.
Kwa kuwatumia Wanasiasa wetu, wamarekani wanaiba Raslimali zetu ndio, na misaada pia wanaiba yaani wanakupa pesa za misaada na wanazichukua kupitia Wanasiasa wetu!
 
Kwa kuwatumia Wanasiasa wetu, wamarekani wanaiba Raslimali zetu ndio, na misaada pia wanaiba yaani wanakupa pesa za misaada na wanazichukua kupitia Wanasiasa wetu!
Yoda jibu lako hilo hapo.

Ssa cndio itakuwa hatari zaidi pale walipohamishia shughuli zake(USAID) chini ya Waziri wa Mambo ya Nje ?

Wanasema, hakuna msaada bila kwa nchi zinazopokea misaada kuwa "aligned with US Interest"

US interest ndio zipi hizo?
 
Kwa kuwatumia Wanasiasa wetu, wamarekani wanaiba Raslimali zetu ndio, na misaada pia wanaiba yaani wanakupa pesa za misaada na wanazichukua kupitia Wanasiasa wetu!
nn kifanyike ?
 
Tuwatambue kwa majina na biashara zao, tutoe elimu kwa wapiga Kura juu ya biashara zao za "kisiasa" tuwanyime Kura!
Wamarekani na Watanzania?
Democrats na Republicans?
 
Ukimsikiliza katika hotuba yake ya mwisho kuhusiana na "no reform no election" aliweka bayana kuwa kama serikali ya CCM isipoweka mazingira ya uchaguzi wa wazi na haki basi wao kama CDM hawatosita kwenda kuomba msaada kwa marafiki zao huko duniani. Ulimuelewa?
Chadema ni Conservatives (Center-right) kama walivyo Republicans au Conservative party of UK!! so hawashabihiani chochote na sera za mrengo wa kushoto kama Democrats wa Marekani.
 
Chadema ni Conservative kama walivyo Republicans au Conservative party of UK!! so hawashabihiani chochote na sera za mrengo wa kushoto kama Democrats wa Marekani.
CC CHADEMA Conservatives? tunaeza wafukuza wachina?
 
Nakili sina ujuzi wa mada za uchunguzi ila kwa kutumia tu "common sense" ambayo kila mtu anazaliwa nayo na kwa msaada wenu "great thinker" hebu tuunganishe dots hapa(huu ni Uzi shirikishi) ili kuwabaini Wanasiasa hapa nchini ambao wapo karibu sana na wana urafiki na wenzako wa chama cha Democratic.

Ukiona mbunge tena mwenye pesa na ushawishi mkubwa kabeba bango na kuandamana huku povu likimtoka na matusi juu kama ambavyo tunashuhudia democratic wanagalagala jua kuna maslahi yake binafsi yameguswa.

Kwa kuanzia nawataja Zitto Kabwe, Lazaro Nyalandu, January Makamba, hawa Wana masawahiba wengi Democratic na wewe ongezea wengine....

View attachment 3226511
View attachment 3226513
Bahati mbaya ni kwamba hata Trump na mabilionea wenzake wanaangalia namna gani watajinufaisha!
 
Back
Top Bottom