Kuna ukweli kuhusu ma-zombie??

Kuna ukweli kuhusu ma-zombie??

Vampire ni mythological creature aliyetokana na kiongozi mmoja wa Romania wa jimbo la Transylvannia

Huyo kiongozi alijulikana kama Vlad the Impaler aka Count Dracula.Jamaa alikuwa katili wa kutisha.Alitoa adhabu za kinyama kiasi kwamba raia wa pale wakadhani anapenda kuona damu ya mwanadamu.Na siku zilivyoendelea wakafikia conclusion anakunywa damu za watu

Ikulu yake nzima ilizungkwa na vichwa vya wanadamu vilivyobandikwa kwenye miti.

Ila ukifuatilia modern vampire mythology original vampire alikuwa Lilith mke wa kwanza wa Adam kabla ya Eve

Huu uongo uliupata wapi?
 
Wakuu someni kitabu kimoja cha kiyahudi kinachoitwa Alphabets of Ben Sira.Kinaelezea vizuri tu huyu kiumbe lilith ni nani. Tena huyu kiumbe hakutoka ubavuni mwa Adam ila aliumbwa wakati mmoja naye

Aisee! Watu wengine tunashindwa kuapply our reasons! Sipingi uwepo wa hiko kitabu but napinga huo uongo waliousema humo!
...
Jee wewe unaamini yaliyoandikwa ndani ya kitabu hicho?
 
Naomba tuache kuhusu zombie tunajua hakuna kitu icho hapa duniani ila kuna mpya nimeona hapa, mke wa kwanza wa Adam kwa ya Hawa (eva)??? Hii sijawahi kusikia kabisa apakak rudia tena

Hahahahahaaa!
Kumbe sipo peke yangu!!!
 
Last edited by a moderator:
kuna baadhi ya movie naonaga hawa viumbe watu ambao wanafahamika kama zombie ambao wanakula na kunywa damu za watu,sasa je kuna sehemu wamewahi kutokea hapa duniani.au ni mambo ya kufikirika tu

Kiuhalisia hakuna Zombie! Wala vampire, godzilla, tom and jerry, hulk and kingkong!
...
Anaekunywa damu za watu na kula nyama ni Jini na wachawi! Hata hivyo bado wanakula na vitu vyengine!
 
Vampire ni mythological creature aliyetokana na kiongozi mmoja wa Romania wa jimbo la Transylvannia

Huyo kiongozi alijulikana kama Vlad the Impaler aka Count Dracula.Jamaa alikuwa katili wa kutisha.Alitoa adhabu za kinyama kiasi kwamba raia wa pale wakadhani anapenda kuona damu ya mwanadamu.Na siku zilivyoendelea wakafikia conclusion anakunywa damu za watu

Ikulu yake nzima ilizungkwa na vichwa vya wanadamu vilivyobandikwa kwenye miti.

Ila ukifuatilia modern vampire mythology original vampire alikuwa Lilith mke wa kwanza wa Adam kabla ya Eve

Mmmhhh! Mkuu nataka kujua zaidi juu ya mke wa kwanza wa Adam ukiacha Eva!
 
Wakuu someni kitabu kimoja cha kiyahudi kinachoitwa Alphabets of Ben Sira.Kinaelezea vizuri tu huyu kiumbe lilith ni nani. Tena huyu kiumbe hakutoka ubavuni mwa Adam ila aliumbwa wakati mmoja naye

Mkuu toa link ya hicho kitabu.
 
Kiongozi ongezea nyama kidogo juu ya mke wa kwanza wa adam,kwenye bibilia imo?,iko kitabu gani na mstari upi?

The Story of Lilith
The Alphabet of ben Sira
Question #5 (23a-b)
Tr. Norman Bronznick (with David Stern &
Mark Jay Mirsky) (Stern90 )
The Alphabet of ben Sira is the earliest
form we know of the Lilith legend familiar
to most people (that is, to most people who
are familiar with Lilith at all). It is here
that we find Lilith as Adam's first wife.
Scholars tend to date the Alphabet between
the 8th and 10th centuries, CE. Whether the
story itself is older, or, if so, how much
older is not possible to say. Amulets like the
one described in the first paragraph are, of
course, much older. The author of the
Zohar , R. Moses de Leon, was aware of the
Alphabet 's version of Lilith, at least
according to Gershom Scholem (Major
Trends in Jewish Mysticism , p. 174), but he
also knows other, probably older, Lilith
traditions which do not mesh well with this
one. No attempt is made, apparently, to
harmonize them. For one of these other
traditions, and comments on whether the
author was familiar with the Alphabet, see
Treatise on the Left Emanation . The idea of
Eve having a predecessor is also not new to
ben Sira, and can be found in Genesis
Rabbah . But those traditions make no
mention of Lilith, and, in fact, do not mesh
well with ben Sira's version of the story.
[AH]
S oon afterward the young son of the
king took ill, Said Nebuchadnezzar, "Heal
my son. If you don't, I will kill you." ben
Sira immediately sat down and wrote an
amulet with the Holy Name, and he
inscribed on it the angels in charge of
medicine by their names, forms and
images, and by their wings, hands, and
feet. Nebuchadnezzar looked at the
amulet. "Who are these?"
"The angels who are in charge of
medicine: Snvi, Snsvi, and Smnglof.
After God created Adam, who was alone,
He said, ' It is not good for man to be
alone ' (Gen. 2:18). He then created a
woman for Adam, from the earth, as He
had created Adam himself, and called
her Lilith. Adam and Lilith began to
fight. She said, 'I will not lie below,' and
he said, 'I will not lie beneath you, but
only on top. For you are fit only to be in
the bottom position, while am to be in
the superior one.' Lilith responded, 'We
are equal to each other inasmuch as we
were both created from the earth.' But
they would not listen to one another.
When Lilith saw this, she pronounced
the Ineffable Name and flew away into
the air. Adam stood in prayer before his
Creator: 'Sovereign of the universe!' he
said, 'the woman you gave me has run
away.' At once, the Holy One, blessed be
He, sent these three angels to bring her
back.
"Said the Holy One to Adam, 'If she
agrees to come back, fine. If not she
must permit one hundred of her children
to die every day.' The angels left God
and pursued Lilith, whom they overtook
in the midst of the sea, in the mighty
waters wherein the Egyptians were
destined to drown. They told her God's
word, but she did not wish to return. The
angels said, 'We shall drown you in the
sea.'
"'Leave me!' she said. 'I was created
only to cause sickness to infants. If the
infant is male, I have dominion over him
for eight days after his birth, and if
female, for twenty days.'
"When the angels heard Lilith's words,
they insisted she go back. But she swore
to them by the name of the living and
eternal God: 'Whenever I see you or your
names or your forms in an amulet, I will
have no power over that infant.' She also
agreed to have one hundred of her
children die every day. Accordingly,
every day one hundred demons perish,
and for the same reason, we write the
angels' names on the amulets of young
children. When Lilith sees their names,
she remembers her oath, and the child
recovers."
 
Lilith and the Biblical Story of Creation
The biblical book of Genesis contains two contradictory
accounts of humanity’s creation. The first account is known
as the Priestly version and appears in Genesis 1:26-27.
Here God fashions man and woman simultaneously when
the text reads: “So God created mankind in the divine
image, male and female God created them.”
The second account of Creation is known as the Yahwistic
version and is found in Genesis 2.
This is the version of Creation that most people are familiar
with. God creates Adam, then places him in the Garden of
Eden . Not long afterwards, God decides to make a
companion for Adam and creates the animals of the land
and sky to see if any of them are suitable partners for the
man. God brings each animal to Adam, who names it before
ultimately deciding that it is not a “suitable helper.” God
then causes a deep sleep to fall upon Adam and while the
man is sleeping God fashions Eve from his side. When
Adam awakes he recognizes Eve as part of himself and
accepts her as his companion.
Not surprisingly, the ancient rabbis noticed that two
contradictory versions of Creation appear in the book of
Genesis (which is called Bereisheet in Hebrew). They
solved the discrepancy in two ways:
Although the tradition of two wives – two Eves – appears
early on, this interpretation of Creation’s timeline was not
associated with the character of Lilith until the medieval
period, as we shall see in the next section.
Lilith as Adam’s First Wife
Scholars are not certain where the character of Lilith comes
from, though many believe she was inspired by Sumerian
myths about female vampires called “Lillu” or
Mesopotamian myths about succubae (female night
demons) called “lilin.” Lilith is mentioned four times in the
Babylonian Talmud, but it is not until the Alphabet of Ben
Sira (c. 800s to 900s) that the character of Lilith is
associated with the first version of Creation. In this
medieval text, Ben Sira names Lilith as Adam’s first wife
and presents a full account of her story.
According to the Alphabet of Ben Sira, Lilith was Adam’s
first wife but the couple fought all the time. They didn’t see
eye-to-eye on matters of sex because Adam always wanted
to be on top while Lilith also wanted a turn in the dominant
sexual position. When they could not agree, Lilith decided
to leave Adam. She uttered God’s name and flew into the
air, leaving Adam alone in the Garden of Eden. God sent
three angels after her and commanded them to bring her
back to her husband by force if she would not come
willingly. But when the angels found her by the Red Sea
they were unable to convince her to return and could not
force her to obey them. Eventually a strange deal is struck,
wherein Lilith promised not to harm newborn children if
they are protected by an amulet with the names of the three
angels written on it:
“The three angels caught up with her in the [Red]
Sea…They seized her and told her: ‘If you agree to
come with us, come, and if not, we shall drown you
in the sea.’ She answered: ‘Darlings, I know myself
that God created me only to afflict babies with fatal
disease when they are eight days old; I shall have
permission to harm them from their birth to the
eighth day and no longer; when it is a male baby;
but when it is a female baby, I shall have
permission for twelve days.’ The angels would not
leave her alone, until she swore by God’s name that
wherever she would see them or their names in an
amulet, she would not possess the baby [bearing
it]. They then left her immediately. This is [the story
of] Lilith who afflicts babies with
disease.” (Alphabet of Ben Sira, from "Eve & Adam:
Jewish, Christian, and Muslim Readings on Genesis
and Gender" pg. 204.)
The Alphabet of Ben Sira appears to combine legends of
female demons with the idea of the 'first Eve.' What results
is a story about Lilith, an assertive wife who rebelled
against God and husband, was replaced by another woman,
and was demonized in Jewish folklore as a dangerous killer
of babies.
Later legends also characterize her as a beautiful woman
who seduces men or copulates with them in their sleep (a
succubus), then spawns demon children. According to
some accounts, Lilith is the Queen of Demons.
 
Huu uongo uliupata wapi?

Aisee! Watu wengine tunashindwa kuapply our reasons! Sipingi uwepo wa hiko kitabu but napinga huo uongo waliousema humo!
...
Jee wewe unaamini yaliyoandikwa ndani ya kitabu hicho?

Mkuu naona hukuelewa nilichoandika.Ukisoma maneno yangu vizuri utaona neno "mythology". Neno hilo linatokana na neno jingine myth au legends au folklore!

Hizo hadithi hazina tofauti na zile ambazo zipo kwenye vitabu vyenu vya dini

Pamoja mkuu
 
Lilith ni mke na adam aliyejitafutia usawa kutokana na nguvu kubwa alizoumbwa nazo kabla hajamuasi adam ,na baadae wakakosana na mungu,kisha akakimbilia bahari nyekundu(sham).
Baada ya kwenda kule akaamua kuolewa na gaeton (the king of all magical powers) .
Lilith akala kiapo cha kunywa damu za watoto si chini ya 100 kwa siku.
Wakati huo....!
 
Hakuna viumbe wale ni wakufikirika tu kama dhana ya mwanadamu katokana na nyani
 
Mkuu naona hukuelewa nilichoandika.Ukisoma maneno yangu vizuri utaona neno "mythology". Neno hilo linatokana na neno jingine myth au legends au folklore!

Hizo hadithi hazina tofauti na zile ambazo zipo kwenye vitabu vyenu vya dini

Pamoja mkuu

Pamoja sana mkuu!

Ivi hapo underline unamaanisha nini?
Hembu wengeza nyama nipate hoja zako hapo! = kwanini stori za dini ni myth wakati kunaushahidi wa kutosha?
(jibu swali, and then uliza swali!)
 
Pamoja sana mkuu!

Ivi hapo underline unamaanisha nini?
Hembu wengeza nyama nipate hoja zako hapo! = kwanini stori za dini ni myth wakati kunaushahidi wa kutosha?
(jibu swali, and then uliza swali!)

Mkuu namaanisha kuwa story za vitabu vyenu vimetokana na years of plagiarism from early civilizations. Kwa mfano story ya creation haiku originate kwa Abrahamic societies

Creation myth ili originate kwa Sumerian civilizations.Ukisoma sumerian text ya epic of Gilgamesh utakutana na hiyo hadithi.Na sio hiyo tu hadi story ya great flood inapatikana huko

Mkuu,huo ushahidi unaouongelea ni upi? Nipe mwanga
 
Lilith ni mke na adam aliyejitafutia usawa kutokana na nguvu kubwa alizoumbwa nazo kabla hajamuasi adam ,na baadae wakakosana na mungu,kisha akakimbilia bahari nyekundu(sham).
Baada ya kwenda kule akaamua kuolewa na gaeton (the king of all magical powers) .
Lilith akala kiapo cha kunywa damu za watoto si chini ya 100 kwa siku.
Wakati huo....!

Hivi unamanisha ile red see ipo vile toka kipindi cha Adamu na hawa?
...
Halafu embu nyoosha maelezo hapo kwa huyo mke wa adamu kabla ya Eva/hawa!
...
Eiyer embu pita pande hizi upate somo! Kumbe kabla ya Eva/hawa kulikuwa na ke mwengine!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu namaanisha kuwa story za vitabu vyenu vimetokana na years of plagiarism from early civilizations. Kwa mfano story ya creation haiku originate kwa Abrahamic societies
Ivi unaongelea creation gani? Ya nini/ya kuumbwa nani?
Creation myth ili originate kwa Sumerian civilizations.Ukisoma sumerian text ya epic of Gilgamesh utakutana na hiyo hadithi.Na sio hiyo tu hadi story ya great flood inapatikana huko
Sumerian civilization ndio jamii gani?
Iliibuka kipindi gani? Nchi/taifa gani?
Mkuu,huo ushahidi unaouongelea ni upi? Nipe mwanga
Vitabu vya dini vimeongea mambo mengi ambayo unaweza kuthibitisha hata leo ukitaka!
  • Kisa cha nuhu na safina! Mabaki ya ile meli yapo misri!
  • Mwili wa Firauni/pharaoh kutopotea na kuonekana na umati wote utakaofatia! Nenda tena misri! Quran 10:92
  • Innovation of new forms of transportation, Qur 16:8
  • Defeat of Roman Empire over Persians, Qur 30:1-6.
  • Electricity in the atmosphere Qur 13:12-13
Ukumbuke ni karne ya 7 Qurani imeandikwa! Na mengi yaliyosemwa yamekuwa proved na science karne ya 18-21!
Yapo mengi sana!
 
vitu vingine bwana ni hadithi tu tena ni hadithi tu. nitakuwa mtu wa mwisho kuamini huyo mwanamke alieumbwa na adamu,ujue shetani ni mjanja sana ana mfanya mtu anatunga tu hadithi zake kupotosha watu wanao mwamini MUNGU, ni nakubali kwa moyo mmoja historia ya uumbaji kutoka katika simulizi za BIBLIA na hata MSAAFU amboyo haikinzani sana na BIBLIA. na zombie na vampyer ni hadithi tu hukujawai kutokea kitu kama hicho wala kujakutokea kitu kama hicho.MWAMINI MUNGU JAMANI NDUGU ZANGUNI PINDI TUTAKAPOKUTANA NAE KAMA YUPO TUSALIMIKE KAMA HAYUPO BASI HAKUNA WAKUTULIZA.
 
Lilith ni mke na adam aliyejitafutia usawa kutokana na nguvu kubwa alizoumbwa nazo kabla hajamuasi adam ,na baadae wakakosana na mungu,kisha akakimbilia bahari nyekundu(sham).
Baada ya kwenda kule akaamua kuolewa na gaeton (the king of all magical powers) .
Lilith akala kiapo cha kunywa damu za watoto si chini ya 100 kwa siku.
Wakati huo....!

Unapotunga vitu, jifunze kuandika kwa ufasaha."Lilith ni mke na adam" . What the heck is that?
 
Hivi unamanisha ile red see ipo vile toka kipindi cha Adamu na hawa?
...
Halafu embu nyoosha maelezo hapo kwa huyo mke wa adamu kabla ya Eva/hawa!
...
Eiyer embu pita pande hizi upate somo! Kumbe kabla ya Eva/hawa kulikuwa na ke mwengine!

Mkuu anachosema huyo jamaa kuhusiana na Lilith ni historia inayopatikana kwenye vitabu vya Sata worshiper na Luciferian tu

Hakuna ushahidi wa kimaandiko kwa maana ya Biblia

Tafuta movie ya Kanumba Devil Kingdom uiangalie hasa part two utakutana na maelezo ya kutosha aliyoyatoa Ramse Noah!
 
Alphabets of Ben sira. Labda kama ndio huyu Ben sa8.SUMU&TINDI CO.LTD
 
Back
Top Bottom