Kuna ukweli kuhusu ma-zombie??

Kuna ukweli kuhusu ma-zombie??

Unapokula ama kunywa haramu yoyote wewe ni ZOMBIE @100%

Ukijitambua umekula/kunywa kwa PESA ama VUNO haramu...PENGINE pesa iliyokuwezesha kula ni PESA ya ama Wizi, Dhuluma, Ulaghai, Rushwa nk....ama CHAKULA au KINYWAJI unachopitisha Kinywani mwako umekipata kupitia njia CHAFU kama vile Kuiba, Kunyang'anya nk...Kwa asilimia 100 huna utofauti na ZOMBIE mnywa Damu na Nyama ya MWANA WA ADAM......

ZOMBIE ama VAMPIRE ni majina na maneno yanayotumika KINADHARIA na KIFALSAFA kuwaelezea WANYANG'ANYI na WANYONYAJI wote.....
 
Hakuna vitu kama hivyo duniani. Na ndo mana unaishia kuona kwenye movie tuu
 
Vampire ni mythological creature aliyetokana na kiongozi mmoja wa Romania wa jimbo la Transylvannia

Huyo kiongozi alijulikana kama Vlad the Impaler aka Count Dracula.Jamaa alikuwa katili wa kutisha.Alitoa adhabu za kinyama kiasi kwamba raia wa pale wakadhani anapenda kuona damu ya mwanadamu.Na siku zilivyoendelea wakafikia conclusion anakunywa damu za watu

Ikulu yake nzima ilizungkwa na vichwa vya wanadamu vilivyobandikwa kwenye miti.

Ila ukifuatilia modern vampire mythology original vampire alikuwa Lilith mke wa kwanza wa Adam kabla ya Eve
daahh mkuu nieleweshe hapa...
mke wa kwanza wa adamu kabla ya eva[emoji15] ?
 
Vampire ni mythological creature aliyetokana na kiongozi mmoja wa Romania wa jimbo la Transylvannia

Huyo kiongozi alijulikana kama Vlad the Impaler aka Count Dracula.Jamaa alikuwa katili wa kutisha.Alitoa adhabu za kinyama kiasi kwamba raia wa pale wakadhani anapenda kuona damu ya mwanadamu.Na siku zilivyoendelea wakafikia conclusion anakunywa damu za watu

Ikulu yake nzima ilizungkwa na vichwa vya wanadamu vilivyobandikwa kwenye miti.

Ila ukifuatilia modern vampire mythology original vampire alikuwa Lilith mke wa kwanza wa Adam kabla ya Eve
-mkuu kwa mimi ninavyoelewa lilith ni moja ya great female dermons sasa unaposema alikuwa ni mke wa kwanza wa adamu inakuwaje hebu ungefafanua kdogo
 
Back
Top Bottom