Kuna ukweli kuhusu ma-zombie??

Kuna ukweli kuhusu ma-zombie??

Aisee! Watu wengine tunashindwa kuapply our reasons! Sipingi uwepo wa hiko kitabu but napinga huo uongo waliousema humo!
...
Jee wewe unaamini yaliyoandikwa ndani ya kitabu hicho?[/QU
ujue mkuu kuna baadhi ya maneno ni vigumu kuyaelezea mfano maneno UKWELI na UONGO!! Asa ndo utaona ugumu wa kujua ukweli ni upi? Biblia au Koran au hivyo vitabu vya kiyahudi!? Kwenye hizi ishu hutajua ukweli hadi unakufa
 
stori ya lilith km mke wa kwnz wa adamu inaonekana kwenye
genesis 1:27....mungu akaamuumba mwanamme na mwanamke kwa mfano wake...
ukija genesis 2:21.. mungu akampa usingizi mzito adam kisha akamtoa ubavu wake wa kushoto ndo akamuumba eva.

hapa unaeza pata picha flani wakuu.
 
stori ya lilith km mke wa kwnz wa adamu inaonekana kwenye
genesis 1:27....mungu akaamuumba mwanamme na mwanamke kwa mfano wake...
ukija genesis 2:21.. mungu akampa usingizi mzito adam kisha akamtoa ubavu wake wa kushoto ndo akamuumba eva.

hapa unaeza pata picha flani wakuu.

Huyo lilith alikuwa na nguvu za kudhuru watoto, pili baada ya kugombana na Adam aliruka na kwenda katikati ya bahari huko alipokutwa na malaika waliotumwa na Mungu kumrudisha, tatu aliolewa na mfalme mwenye all magical powers[Sijui nani] na kuna swali hapa. Nne yeye ndo Queen of all demons; Maswali ya msingi kujiuliza;
1. Je kama waliumbwa pamoja, mbona Adam hakuwa na nguvu yoyote?
2. Huyo lilith alipaa na kwenda katikati ya bahari. Tunavyojua huko ni makazi ya demons/majini. Je lilith alikuwa nae ni jini? Na kama ni jini mbona Adam hakuwa?
3. Kama Adam na lilith ndio wa kwanza, huyo mfalme/ mkuu wa nguvu za giza alitokea wapi na kumuoa lilith?
My conclussion.. Lilith alikuwa jini/demon na hakuwa binadamu wa kawaida na si mke wa kwanza wa Adam bali alitaka afanye mapenzi na Adam. Na according to the early scolars wanasema ndiye afanyaye mapenzi na wanaume katika ndoto na anapopata mimba huzaa majini.Mke wa kwanza wa Adam ni Eva.
Hivyo vitabu tajwa vyenye stori ya lilith ni vya mafundisho yakishetani vyenye nia ya kutaka kuonesha mwanadamu anauhusiano mkubwa na malaika walioasi mbinguni/mapepo na mkuu wao satan. Biblia inatuambia hao ni adui zetu Waefeso 6:12
 
hivi mazombie yalikuwepo kweli enzi za mababu zetu?
 
zombies na vampires ni vitu viwili tofauti!! zombies ni "mizuka" yaani wafu waliofufuka wakati vampires ni wanyonya damu za binadamu wenzao.


Kwa maana hiyo Yesu naye ni ZOMBIE!!
Very interesting.....
 
haya mambo sio yakufwatilia sana mwisho wa siku unaweza ona kuna ukweli nawe ukakosa standing
 
Mkuu hauna tabia ya kusoma magazeti nini? Nakuuliza hivyo kwa sababu hapa Tanzania kila ukisoma magazeti (si ya kiserikali) lazima utaonana na habari za watu kufufuka kimiujiza, misukule, haya ndiyo zombies!
 
alphabet-of-ben-sira-78-lilith>.
link. Hiyooooooooooo ila siamini kuhusu hili jambo !

Mao
 
Mazombie wapo mkuu. Asilimia kubwa wanapatikana Africa.
 
Zombie ni kiingereza lakini kiswahili ni misukule
 
Pamoja sana mkuu!

Ivi hapo underline unamaanisha nini?
Hembu wengeza nyama nipate hoja zako hapo! = kwanini stori za dini ni myth wakati kunaushahidi wa kutosha?
(jibu swali, and then uliza swali!)
Unapoziangalia stori za kidini kitaaluma (academically) zinakuwa myth..
Kiimani inakuwa vice-versa..
 
Mkuu namaanisha kuwa story za vitabu vyenu vimetokana na years of plagiarism from early civilizations. Kwa mfano story ya creation haiku originate kwa Abrahamic societies

Creation myth ili originate kwa Sumerian civilizations.Ukisoma sumerian text ya epic of Gilgamesh utakutana na hiyo hadithi.Na sio hiyo tu hadi story ya great flood inapatikana huko

Mkuu,huo ushahidi unaouongelea ni upi? Nipe mwanga
Every society has it's own story of creation..
 
Back
Top Bottom