venossah
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 2,583
- 3,684
hayajakukutaHakuna kitu kama hicho. Kuna thread iko hapa juzi tumejadali sana kuhusu hili. Wengine wanadai kuna dawa inafanya mtu anatenda mambo bila free will ila hayo yote ni uvumi. Kungekuwa na dawa za aina hiyo kwanza wangepigwa wenye fedha ndefu tu na wasingehaika na vitu kama simu za techno na fedha za kutoa kwa simu. Na zaidi, wanawake wazuri wangepona? Si wangekuwa wanachukuliwa kama utani tu?
dadangu alitoa cm, hela ya nauli, pochi na kadi ya ATM, na namba ya siri akawapa
ndani ya muda mchache wakaenda kutoa hela kwa wakala