raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Ina maana usipo lala na mwanamke ndio hutopata mikosi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio swala la baadhi ya wanawake ila ngono kwa ujumla wake ni mbaya For both male and femaleHabari za jioni!
Moja kwa moja kwenye topic.Inasemekana wengine wana mikosi wengine ukilala nao riziki za mwanaume zinafunguka.Eti na mwanamke akiwa mjamzito riziki za mwanaume zinakata hapati hata senti tano.
Toa mchango wako.
kwa mara kwanza kucomment ww sio robot kumbe au usalama wa taifaIna maana usipo lala na mwanamke ndio hutopata mikosi
Poor Brain dronedrake kweli hii auMikosi unaweza ipata kokote, hata kwenye kijiko cha mama ntilie kinachotumiwa na watu wengi.
Ni ukweli kabisa alafu kuna siku taandika uzi kuhusu hii issue 😂😂😂😂Poor Brain dronedrake kweli hii au
Kama chanzo Cha pesa zako ni pesa haramu huwezi kuelewa hili suala, ukiwa business man hii ishu inafahamika sanaKuamini mikosi ni uzwazwa.
Let's play dumb and assume mikosi Ipo, hiyo mikosi wanapata wanawake tu? Wanaume hawapati?
Kama ukilala nao unapata mikosi basi wapo wengine ukilala nao unapata Baraka. To every action there's an equal and opposite reaction. Unawajuaje?
Endelea kuchakata acha uzwazwa.
Kama chanzo Cha pesa zako ni pesa haramu huwezi kuelewa hili suala, ukiwa business man hii ishu inafahamika sana
Ni both sides unaweza kupata baraka au mikosiMwenye pesa haramu hapati mikosi?
Mikosi wanapata wanaume tu?
Ukilala na mtu mwenye baraka unapata zaidi au it works ukilala na mwenye mikosi tu?
Ni both sides unaweza kupata baraka au mikosi
☻️Hata wanaume wengine nao wanaleta mikosi pia.. ni kusali na kusikilizia kupata muongozo wa Mola.