Kuna ulazima gani semina ya sensa kufanyika wiki 3. Huu ni urasimu, siku 1-3 zingetosha kabisa

Kuna ulazima gani semina ya sensa kufanyika wiki 3. Huu ni urasimu, siku 1-3 zingetosha kabisa

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Natafakari hapa kazi ya siku moja inamezwa vipi na semina ya wiki tatu sipati majibu.

Kazi ya ukarani ambayo sifa ni kidato cha 4 na kujua kutumia smartphone tu. Programs zote zipo kwenye hizo simu /tablets, kwanini isiwe siku moja ya kuelekezana masomo ya utaifa na uadilifu na siku ya pili kuelekezana masomo ya kazi ambayo mtu anakwenda kufanya?

IT wameajiriwa watu wa IT, kuna ulazima gani kufundishana wiki tatu kitu ambacho mtu anakijua?
Mwonyeshe kazi, kisha mpe maelekezo kidogo anafanya.

Mamilioni au mabilioni yatatumika bila sababu.

Kazi za usimamizi wameajiriwa watu ambao wana uzoefu na mambo ya usimamizi.
Wiki tatu zote za nini?

Siongei haya kwakuwa nimekosa nafasi hizo, hapana, sijaomba na sizitamani kabisa.

Hebu tuwe serious
 
Habari!
Natafakari hapa kazi ya siku moja inamezwa vipi na semina ya wiki tatu sipati majibu.
Kazi ya ukarani ambayo sifa ni kidato cha 4 na kujua kutumia smartphone tu. Programs zote zipo kwenye hizo simu /tablets, kwanini isiwe siku moja ya kuelekezana masomo ya utaifa na uadilifu na siku ya pili kuelekezana masomo ya kazi ambayo mtu anakwenda kufanya?
IT wameajiriwa watu wa IT, kuna ulazima gani kufundishana wiki tatu kitu ambacho mtu anakijua?
Mwonyeshe kazi, kisha mpe maelekezo kidogo anafanya.
Mamilioni au mabilioni yatatumika bila sababu.
Kazi za usimamizi wameajiriwa watu ambao wana uzoefu na mambo ya usimamizi.
Wiki tatu zote za nini?
Siongei haya kwakuwa nimekosa nafasi hizo, hapana, sijaomba na sizitamani kabisa.
Hebu tuwe serious
Sahihi kabisa
 
Ningeweza kukuunga mkono kwasababu binafsi sipendi na huwa ninakemea kabisa matumizi mabaya ya fedha za serikali.Lakini kwenye hili mkuu ninaomba kusimama na ofisi ya taifa ya takwimu.Huenda kuna mambo mengi mno hauyafahamu! Laiti ungejua hata hizo siku nadhani zisingetosha.Kuhesabu watu na taarifa zao sio kazi ndogo! Madodoso yana maswali mengine mpaka 100 na vipengele vya kitosha na sio maswali mepesi! Karani anatakiwa akahesabu wafungwa,wagonjwa waliolazwa,wasafiri,watoto wa mitaani,wazururaji wa stand na mijini wasio na makazi,wanajeshi,vituo vya watoto yatima n.k na pote huko kuna namna ya kufanya! Kumbuka ni pesa nyingi mno imetumika kununulia vifaa,kuwalipa wakufunzi n.k sasa jaribu kufikiria pesa zote hizo alafu mahesabu yasiende sawa! Ni hasara kubwa mbo! Alafu pia hili zoezi maandalizi ni baada ya miaka 10!
 
Habari!
Natafakari hapa kazi ya siku moja inamezwa vipi na semina ya wiki tatu sipati majibu.
Kazi ya ukarani ambayo sifa ni kidato cha 4 na kujua kutumia smartphone tu. Programs zote zipo kwenye hizo simu /tablets, kwanini isiwe siku moja ya kuelekezana masomo ya utaifa na uadilifu na siku ya pili kuelekezana masomo ya kazi ambayo mtu anakwenda kufanya?
IT wameajiriwa watu wa IT, kuna ulazima gani kufundishana wiki tatu kitu ambacho mtu anakijua?
Mwonyeshe kazi, kisha mpe maelekezo kidogo anafanya.
Mamilioni au mabilioni yatatumika bila sababu.
Kazi za usimamizi wameajiriwa watu ambao wana uzoefu na mambo ya usimamizi.
Wiki tatu zote za nini?
Siongei haya kwakuwa nimekosa nafasi hizo, hapana, sijaomba na sizitamani kabisa.
Hebu tuwe serious
tatizo unachukulia kama watu wote wa mjini na wanazijua hizo tablet.. Amini nakuambia kuna mtu kachaguliwa pale hiyo smartphone huwa anaisikia tu... Acha Watanzania waonje keki ya taifa,kwa siku inabidi walipwe 100K-150K angalau na wao wakatatue matatizo yao kitu chenyewe kila baada ya miaka 10.
 
Ningeweza kukuunga mkono kwasababu binafsi sipendi na huwa ninakemea kabisa matumizi mabaya ya fedha za serikali.Lakini kwenye hili mkuu ninaomba kusimama na ofisi ya taifa ya takwimu.Huenda kuna mambo mengi mno hauyafahamu! Laiti ungejua hata hizo siku nadhani zisingetosha.Kuhesabu watu na taarifa zao sio kazi ndogo! Madodoso yana maswali mengine mpaka 100 na vipengele vya kitosha na sio maswali mepesi! Karani anatakiwa akahesabu wafungwa,wagonjwa waliolazwa,wasafiri,watoto wa mitaani,wazururaji wa stand na mijini wasio na makazi,wanajeshi,vituo vya watoto yatima n.k na pote huko kuna namna ya kufanya! Kumbuka ni pesa nyingi mno imetumika kununulia vifaa,kuwalipa wakufunzi n.k sasa jaribu kufikiria pesa zote hizo alafu mahesabu yasiende sawa! Ni hasara kubwa mbo! Alafu pia hili zoezi maandalizi ni baada ya miaka 10!
Una mifugo aina ngapi, idadi ya hiyo mifugo, elimu, chakula n.k
Ndio itumike seminar ya wiki tatu?
 
Una mifugo aina ngapi, idadi ya hiyo mifugo, elimu, chakula n.k
Ndio itumike seminar ya wiki tatu?
Bora ingekuwa hivyo! Sensa si idadi ya watu pekee! Inahitajika taarifa zingine kama hali ya uzazi kwa wanawake,ulemavu(usonji,albino,akili... n.k) huduma za kijamii, uhamiaji ,wageni mabalozi ,watu waliokufa waliozaliwa makazi idadi ya majengo umiliki wa vifaa kama pasi TV radio n.k idadi ya mifugo mmoja mmoja ardhi kilimo Na kumbuka familia za kitanzajia si kama ulaya! Kaya zina mjomba binamu dada wa kazi msafiri mgonjwa aliyelazwa babu mjomba n.k tena fikiria huko uswahili kwenye vyumba vya kupanga wamejazana kibao na kila chumba ni kaya moja! Waliolala gesti n.k
 
Makarani watakambaje asali kama wakifanya kwa siku chache hivyo? W
Habari!
Natafakari hapa kazi ya siku moja inamezwa vipi na semina ya wiki tatu sipati majibu.
Kazi ya ukarani ambayo sifa ni kidato cha 4 na kujua kutumia smartphone tu. Programs zote zipo kwenye hizo simu /tablets, kwanini isiwe siku moja ya kuelekezana masomo ya utaifa na uadilifu na siku ya pili kuelekezana masomo ya kazi ambayo mtu anakwenda kufanya?
IT wameajiriwa watu wa IT, kuna ulazima gani kufundishana wiki tatu kitu ambacho mtu anakijua?
Mwonyeshe kazi, kisha mpe maelekezo kidogo anafanya.
Mamilioni au mabilioni yatatumika bila sababu.
Kazi za usimamizi wameajiriwa watu ambao wana uzoefu na mambo ya usimamizi.
Wiki tatu zote za nini?
Siongei haya kwakuwa nimekosa nafasi hizo, hapana, sijaomba na sizitamani kabisa.
Hebu tuwe serious
 
Bora ingekuwa hivyo! Sensa si idadi ya watu pekee! Inahitajika taarifa zingine kama hali ya uzazi kwa wanawake,ulemavu(usonji,albino,akili... n.k) huduma za kijamii, uhamiaji ,wageni mabalozi ,watu waliokufa waliozaliwa makazi idadi ya majengo umiliki wa vifaa kama pasi TV radio n.k idadi ya mifugo mmoja mmoja ardhi kilimo Na kumbuka familia za kitanzajia si kama ulaya! Kaya zina mjomba binamu dada wa kazi msafiri mgonjwa aliyelazwa babu mjomba n.k tena fikiria huko uswahili kwenye vyumba vya kupanga wamejazana kibao na kila chumba ni kaya moja! Waliolala gesti n.k
Uncle umeitetea vilivyo hoja~ tuambizane
 
Habari!

Natafakari hapa kazi ya siku moja inamezwa vipi na semina ya wiki tatu sipati majibu.

Kazi ya ukarani ambayo sifa ni kidato cha 4 na kujua kutumia smartphone tu. Programs zote zipo kwenye hizo simu /tablets, kwanini isiwe siku moja ya kuelekezana masomo ya utaifa na uadilifu na siku ya pili kuelekezana masomo ya kazi ambayo mtu anakwenda kufanya?

IT wameajiriwa watu wa IT, kuna ulazima gani kufundishana wiki tatu kitu ambacho mtu anakijua?
Mwonyeshe kazi, kisha mpe maelekezo kidogo anafanya.

Mamilioni au mabilioni yatatumika bila sababu.

Kazi za usimamizi wameajiriwa watu ambao wana uzoefu na mambo ya usimamizi.
Wiki tatu zote za nini?

Siongei haya kwakuwa nimekosa nafasi hizo, hapana, sijaomba na sizitamani kabisa.

Hebu tuwe serious
Mkuu unafahamu hata maana ya ISIC na TASCO?

Ebu tuambie Mlinzi wa shule ya sekondali ya Kazuramimba TASCO yake Ni hipi na ISIC yake Ni hipi?


Yaani we mtoa mada Ni brainwashed Sana hii Kazi inamambo Mengi sio Kama unavyokaa vijiwen mna hadithiana


Tafuteni Elimu ili Sensa ya 2032 uombe sio unakaa na vyeti feki mpaka unaanza kuwa mjinga
 
Ndugu yangu kachaguliwa huko kijijini na hajui hata kutoa lock kwenye smartphone. Huyo hata semina ya mwezi haimtoshi.
Baba yake ni mwl mkuu na alikua anasaili waombaji
 
Mkuu unafahamu hata maana ya ISIC na TASCO?

Ebu tuambie Mlinzi wa shule ya sekondali ya Kazuramimba TASCO yake Ni hipi na ISIC yake Ni hipi?


Yaani we mtoa mada Ni brainwashed Sana hii Kazi inamambo Mengi sio Kama unavyokaa vijiwen mna hadithiana


Tafuteni Elimu ili Sensa ya 2032 uombe sio unakaa na vyeti feki mpaka unaanza kuwa mjinga
Acha kutaja vingereza vingi ambavyo inawezekana ni vitu vyakawaida tu mtu akifundishwa.
 
Habari!

Natafakari hapa kazi ya siku moja inamezwa vipi na semina ya wiki tatu sipati majibu.

Kazi ya ukarani ambayo sifa ni kidato cha 4 na kujua kutumia smartphone tu. Programs zote zipo kwenye hizo simu /tablets, kwanini isiwe siku moja ya kuelekezana masomo ya utaifa na uadilifu na siku ya pili kuelekezana masomo ya kazi ambayo mtu anakwenda kufanya?

IT wameajiriwa watu wa IT, kuna ulazima gani kufundishana wiki tatu kitu ambacho mtu anakijua?
Mwonyeshe kazi, kisha mpe maelekezo kidogo anafanya.

Mamilioni au mabilioni yatatumika bila sababu.

Kazi za usimamizi wameajiriwa watu ambao wana uzoefu na mambo ya usimamizi.
Wiki tatu zote za nini?

Siongei haya kwakuwa nimekosa nafasi hizo, hapana, sijaomba na sizitamani kabisa.

Hebu tuwe serious
Hizi sasa ni enzi za upigaji wa mihela yetu kwa kwenda mbele. Unataka hiyo mihela ya sensa ILIWEJE!?
 
Kuna mtu mmoja alinitembelea siku moja kabla ya siku ya sensa, akiwa na mmoja wa maafisa Kata, aliuliza mawili matatu kuhusu biashara yangu, mambo ya sanitation, kama natumia umeme wa TANESCO, kajaza kwenye kishikwambi chake na mara katoka nje eti kupata " Coordinates" .....baada ya hapo ananiambia : Zoezi tayari😇 ...Nikamuuliza kama amemaliza maswali? Akasema ndio!

Chakushangaza; tangu siku yenyewe ya sensa hadi leo niandikapo, sijaona afisa yeyote wa sensa kuja kuuliza chochote..... Lakini! Hata mbwembwe za vibao vya mitaa na namba za nyumba vilivyopigiwa upatu na Nape kwa hélicoptère.....yote ni hola!...Sensa gani hii? 😳 🤔
 
Kuna mtu mmoja alinitembelea siku moja kabla ya siku ya sensa, akiwa na mmoja wa maafisa Kata, aliuliza mawili matatu kuhusu biashara yangu, mambo ya sanitation, kama natumia umeme wa TANESCO, kajaza kwenye kishikwambi chake na mara katoka nje eti kupata " Coordinates" .....baada ya hapo ananiambia : Zoezi tayari😇 ...Nikamuuliza kama amemaliza maswali? Akasema ndio!

Chakushangaza; tangu siku yenyewe ya sensa hadi leo niandikapo, sijaona afisa yeyote wa sensa kuja kuuliza chochote..... Lakini! Hata mbwembwe za vibao vya mitaa na namba za nyumba vilivyopigiwa upatu na Nape kwa hélicoptère.....yote ni hola!...Sensa gani hii? 😳 🤔
Sensa ya mchongo
 
Back
Top Bottom