Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimuomba Mungu akanipa uwezo huu wa kuona ktk Ulimwengu wa Roho na Sasa ninaona...kabla mwanadamu hajapata kitu kwenye ulimwengu wake lazima kwanza akipate kwenye ulimwengu wa ROHO.
kabla kitu hakija vaa mwili huwa kama Nguvu msimamo, sasa kwa kuwa vituviko vingi ile nguvu lazima iwe mfumo wa codes au kwa namna fulani ili ijulikana hii ni Gari,nyumba,mke, mtoto au kifo,
Kabla hakija mfikia mwanadam husika hupitia malangoni pa mwanadam huyo ili kiweze kuuvaa mwili na kuwa kitu cha ulimwengu wa mwanadamu 3D.
niishie hapo nimsubur mshana
Ukianza kuona mambo ktk Ulimwengu wa Roho unaitwa chizi, sababu wewe unaona wenzio hawaoniMshana ushavuta bangi?
Duh,ngoja ajeMshana ushavuta bangi?
Embu nipe tips na mimi nataka nione mamb ya kiroho.Nilimuomba Mungu akanipa uwezo huu wa kuona ktk Ulimwengu wa Roho na Sasa ninaona...
Ni Raha sana ila inabidi uombe hekima
Upo vizuri.kabla mwanadamu hajapata kitu kwenye ulimwengu wake lazima kwanza akipate kwenye ulimwengu wa ROHO.
kabla kitu hakija vaa mwili huwa kama Nguvu msimamo, sasa kwa kuwa vituviko vingi ile nguvu lazima iwe mfumo wa codes au kwa namna fulani ili ijulikana hii ni Gari,nyumba,mke, mtoto au kifo,
Kabla hakija mfikia mwanadam husika hupitia malangoni pa mwanadam huyo ili kiweze kuuvaa mwili na kuwa kitu cha ulimwengu wa mwanadamu 3D.
niishie hapo nimsubur mshana
Na usiwe mwoga mwoga.Nilimuomba Mungu akanipa uwezo huu wa kuona ktk Ulimwengu wa Roho na Sasa ninaona...
Ni Raha sana ila inabidi uombe hekima
Nilimuomba Mungu akanipa uwezo huu wa kuona ktk Ulimwengu wa Roho na Sasa ninaona...
Ni Raha sana ila inabidi uombe hekima
Tushtuane mkuu.
Akikujibu nitagTupe angalau picha kidogo ya huo ulimwengu wa pili!! Nifanyeje na mie niuone, unaona viumbe gani? Malaika? Wafu/mizimu?? Au ni nini hasa??
Ni kuwa mtu wa Toba ya kweli, kujitakasa kwa damu ya YESU, kuomba macho ya RohoniEmbu nipe tips na mimi nataka nione mamb ya kiroho.
Kabisa woga uutoe, maana mwanzo nilipoanza kuona niliogopa...Na usiwe mwoga mwoga.
ulijuaje kama unachoona ni ulimwengu wa roho?Nilimuomba Mungu akanipa uwezo huu wa kuona ktk Ulimwengu wa Roho na Sasa ninaona...
Ni Raha sana ila inabidi uombe hekima
Ulimwengu wa Roho ni mpana...Tupe angalau picha kidogo ya huo ulimwengu wa pili!! Nifanyeje na mie niuone, unaona viumbe gani? Malaika? Wafu/mizimu?? Au ni nini hasa??