Kuna ulimwengu usioonekana?


Akikujibu nitag
Amejibu bro
 
Mkuu unanipa wasiwasi
 
Bro umerudisha kilinge, halafu nipe location nataka kuja hapo msata kilingeni kuna mpuuzi nataka kumkaanga
 
Asee acha kutupanga
 
Je ulishawahi onyeshwa kutokea ugaidi kwenye mkoa wowote hapa Tanzania ?

Kwanini unaogopa kusema?
 
Kilichonistua katika mada hii ni kwamba mtoa mada niliyekuwa namtarajia awe anatujibu swali lililoulizwa ndiye anayeuliza swali lenyewe!!
 
Ongezea nyama mkuu umetuacha NANJA .... nisawa na kujichukulia sheria mkononi(nyeto) halafu wazungu hawajaja
 
Tumia coded language kama malkia wa sheba ataitwa na mawingu ndio atakaposimama mweusi kutokea kando ya maji ya ziwa nyanza!!!

Yaani coded language yaani jifunze kama vipi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…