inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
Habari wanajamvi,
Nimekuwa nikifuatilia uniform za majeshi ya nchi zinazoendelea kama Marekani, China, Uinhereza n.k. Itagundua uniform za majeshi yao za zamani na sasa ni tofauti kabisa.
Mfano jeshi la Marekani uniform zao wakati wa vita vya Vietnam na za sasa ni tofauti kabisa. Za sasa zina muonekano mzuri na wa kuvutia. Achilia mbali buti zao zile zenye rangi ya kaki.Yaani mjeda akisimama hivi mpaka unapenda, alafu pembeni kuna baji ina rangi ya bendera.
Akienda kwenye operesheni ana miwani, helmet ya kisasa. Alaf kavaa kitu kama jaketi fulani hivi lina bullet prrof material na sehemu za kuwekaweka silaha na mabomu.
Sasa uniform za jeshi letu ni zile zile za tangu enzi za nduli, ya kijani kijani hivi. Naona kama zimepitwa na wakati. Pia mabuti yetu meusi yale yale za kizamani. Ninadhani tunahitaji uniform zenye mvuto zaidi.
Nimekuwa nikifuatilia uniform za majeshi ya nchi zinazoendelea kama Marekani, China, Uinhereza n.k. Itagundua uniform za majeshi yao za zamani na sasa ni tofauti kabisa.
Mfano jeshi la Marekani uniform zao wakati wa vita vya Vietnam na za sasa ni tofauti kabisa. Za sasa zina muonekano mzuri na wa kuvutia. Achilia mbali buti zao zile zenye rangi ya kaki.Yaani mjeda akisimama hivi mpaka unapenda, alafu pembeni kuna baji ina rangi ya bendera.
Akienda kwenye operesheni ana miwani, helmet ya kisasa. Alaf kavaa kitu kama jaketi fulani hivi lina bullet prrof material na sehemu za kuwekaweka silaha na mabomu.
Sasa uniform za jeshi letu ni zile zile za tangu enzi za nduli, ya kijani kijani hivi. Naona kama zimepitwa na wakati. Pia mabuti yetu meusi yale yale za kizamani. Ninadhani tunahitaji uniform zenye mvuto zaidi.