Kuna umuhimu wa jeshi letu kuboresha sare zake ziwe za kisasa zaidi

Kuna umuhimu wa jeshi letu kuboresha sare zake ziwe za kisasa zaidi

Sidhani kama ni sahihi kulinganisha hili suala la ubora wa vifaa vya kijeshi kati ya Tanzania na USA! USA ni nchi tajiri wakati Tanzania ni nchi maskini. Labda hapo Kenya na Uganda wenyewe wapoje?
 
Afande RSM HUYO..

VIPI HUJAMBO LAKINI KAMANDA?

Dah maRSM bwana ,kuna mmoja WO1 kama sio WO2 huwa namuona anapigilia moka kabisa badala ya buti

Ila jeshi linataka moyo bwana ,maafisa eti ndio mfano unakuta baadhi wanavaa moka na bakabaka sasa avae hivyo kapera kudadadeki kama sio Quarter guard wiki mbili
 
Dah maRSM bwana ,kuna mmoja WO1 kama sio WO2 huwa namuona anapigilia moka kabisa badala ya buti

Ila jeshi linataka moyo bwana ,maafisa eti ndio mfano unakuta baadhi wanavaa moka na bakabaka sasa avae hivyo kapera kudadadeki kama sio Quarter guard wiki mbili
RSM anapaswa kuwa mfano wa kuigwa sasa kama PO anavaa moka na mbati na RSM yupo huo ni uzembe.
 
RSM anapaswa kuwa mfano wa kuigwa sasa kama PO anavaa moka na mbati na RSM yupo huo ni uzembe.

Umemaanisha PO au CO?

MaRSM wengi kama sio wote huws wako vizuri kinidhamu ila imetokea kuna maafisa wanapigilia bakabaka na moka

Dah! Enzi za zama za kina Kambarage hata kapteni tu unamuheshimu balaa maana ameiva kaiva kweli sasa leo hii duuuh
 
Habari wanajamvi,

Nimekuwa nikifuatilia uniform za majeshi ya nchi zinazoendelea kama Marekani, China, Uinhereza n.k. Itagundua uniform za majeshi yao za zamani na sasa ni tofauti kabisa.

Mfano jeshi la Marekani uniform zao wakati wa vita vya Vietnam na za sasa ni tofauti kabisa. Za sasa zina muonekano mzuri na wa kuvutia. Achilia mbali buti zao zile zenye rangi ya kaki.Yaani mjeda akisimama hivi mpaka unapenda, alafu pembeni kuna baji ina rangi ya bendera.

Akienda kwenye operesheni ana miwani, helmet ya kisasa. Alaf kavaa kitu kama jaketi fulani hivi lina bullet prrof material na sehemu za kuwekaweka silaha na mabomu.

Sasa uniform za jeshi letu ni zile zile za tangu enzi za nduli, ya kijani kijani hivi. Naona kama zimepitwa na wakati. Pia mabuti yetu meusi yale yale za kizamani. Ninadhani tunahitaji uniform zenye mvuto zaidi.
Bila picha mods wafute huu uzi
 
Uniform zinashonwa bongo..vp wanashindwa kuwapima ili kushona kulingana na saizi zao..au ndo mambo ya upigaji
 
Hakuna walichoboresha kwenye uniform, bali mazingira ya eneo vita inapopiganwa uamua wavae uniform ipi? Zipo mpaka sare za kwenye Ice/ snow land
View attachment 1934031
View attachment 1934032

Kombat za kwenye mazingira ya snow

View attachment 1934033
Umemaliza kila kitu.

Miaka ya hivi karibuni marekani iliingia kwenye kashfa kubwa Afghanistan baada ya kulinunulia jeshi la nchi hiyo uniform za kijani kwa mamilioni ya dola za walipa Kodi kwenye nchi ambayo 98% ni jangwa.

Hivyo uniform ni mazingira na Africa ni kijani mno yaani forest nyingi that's why.
 
Umemaanisha PO au CO?

MaRSM wengi kama sio wote huws wako vizuri kinidhamu ila imetokea kuna maafisa wanapigilia bakabaka na moka

Dah! Enzi za zama za kina Kambarage hata kapteni tu unamuheshimu balaa maana ameiva kaiva kweli sasa leo hii duuuh
Permanent Officer..
 
Full gear ya Askari mmoja wa marekani hapungui milioni 20 je uchumi wetu unasapoti hiyo? ile bunduki peke yake ni milioni 13 achilia mbali radio bullet proof viatu uniform pistol na matakataka mengine kibao ambayo teknolojia yake haijatufikia bado.
Jikite kwenye uniform achana na hayo mazagazaga
 
Utaita Askari wote Tanzania nzima pale CMTU uwapime na kuwashonea?
Duh mzee ndiyo unaamini suluhisho ni kila askari kwenda hapo ili apimwe?

Haiwezekani ikapangwa kila kambi na askari wake wanakua na majina na vipimo vya mtu halafu vikawasilishwa hapo kwa ajili ya ushonaji? Kazi ikiisha inajulikana kabisa hizi ni za kambi A, wanasafirishiwa zikiwa na majina.

Hiyo ni ngumu?
 
Mi naona tubadili tone / melody ya wimbo wetu wa Taifa maana karibia nchi tatu (South Afrika, Zambia na Tanzania) kama si nchi nne hapa afrika zinatumia tone/melody hiyo hiyo kitu kinacholeta ukakasi pale ambapo nchi hizo viongozi wake wakuu wa nchi wanapotembeleana na kupigiwa nyimbo za mataifa yao. Au kwenye mpira pale ambapo timu za taifa mfano Tanzania na Zambia zikikutana nyimbo za taifa zote zina melody/tone inayofanana kabisa. MANENO/MASHAIRI YA WIMBO WETU WA TAIFA NI MAZURI HAYATAKIWI KUBADILISHWA KWA HARAKA.
Mbona hiyo ni nzuri, inatuunganisha kama ndugu na watoto wa Mama Africa.(Wakushi
 
JW pia wana bullet proof, hizo boot zipo police na jw labda uongelee camera kwenye helmet
Hao polisi ndio wanavaa takataka kabisa sare hazina hata mfanano.Sioni tofauti ya polisi na mgambo.
 
Back
Top Bottom