Uchaguzi 2020 Kuna umuhimu wa kupiga kura 2020 wakati tume iko mfukoni kwa Rais?

Unahabari kuwa Tanzania ni nchi yenye mfumo wa vyama vingi?
Ndiyo lakini tunahitaji vyama vinavyosaidia watz siyo wala ruzuku tu kama Chadema wanashindwa hata kujenga ofisi wakati wanapewa ruzuku ya almost 350million per month lakini zinaishia kwenye matumbo ya kina Mbowe na genge lake.
 
Ndiyo lakini tunahitaji vyama vinavyosaidia watz siyo wala ruzuku tu kama Chadema wanashindwa hata kujenga ofisi wakati wanapewa ruzuku ya almost 350million per month lakini zinaishia kwenye matumbo ya kina Mbowe na genge lake.
Chadema imewekeza katika rasilimali watu, ofisi ni majengo tu. Ninakuhakikishia bila ruzuku Chadema itabidi kuimarika.
 
Chadema imewekeza katika rasilimali watu, ofisi ni majengo tu. Ninakuhakikishia bila ruzuku Chadema itabidi kuimarika.
Haya ngoja tusubiri baada ya Oct 2020 tutajua kama ukisemacho ni real!
 

Binafsi sioni haja ya kuwa na uchaguzi ambao ni kiini macho. Anaeteua wasimamizi wa uchaguzi alishawahi kuwaambia (tena hadharani) kuwa: "mshahara nikulipe mimi, gari nikupe mimi halafu wewe umtangaze mpinzani kuwa ndie mshindi?"
 
Kumbe Chuki yote Hii ni Chadema kukosa ofisi ndiyo kisa?
Hapana bali ni ruzuku zetu! Hizo ni kodi tulizolipa tunataka zifanyekazi za umma kupitia Chadema. Kujenga ofisi itakifanya chama kiwepo muda mrefu ili watz wafaidike na chama chao.
 
Hapana bali ni ruzuku zetu! Hizo ni kodi tulizolipa tunataka zifanyekazi za umma kupitia Chadema. Kujenga ofisi itakifanya chama kiwepo muda mrefu ili watz wafaidike na chama chao.
Kwahiyo haki ya ruzuku ni Polepole kununulia wabunge na madiwani wa upinzani?
 
Itakuwa ni upotevu wa pesa za walipa Kodi. Call it missappropriation of taxpayers money. Hiyo budget ipelekwe kuongeza terminal katika uwanja wa ndege wa Mwanza.
 
Kama vipi msuse tu kama kawaida yenu, Mbowe ni failure tangu aondoke Dr Slaa hamna la maana alilolifanya na hii 2020 zaidi ya kususa hamna atakalofanya.
 

Mkuu nimeamini ww ni mvumilivu, katika huu uhuni wa wazi unaoendelea bado unahimiza watu wajitokeze kupiga kura? Sisi wengine tuliacha mapema, na kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ndio tuliweka nguvu ya kutoshiriki huo ushenzi kabisa, na huo uchaguzi vws 2020 ndio tutashusha idadi zaidi. Kama ni kuomba kusaidiwa ni vyema tukaanza sasa, lakini sio kushiriki hiyo najisi ya 2020.
 
Kama vipi msuse tu kama kawaida yenu, Mbowe ni failure tangu aondoke Dr Slaa hamna la maana alilolifanya na hii 2020 zaidi ya kususa hamna atakalofanya.

Toka Dr. Slaa aondoke cdm, nchi yetu haijawahi kushuhudia chaguzi za kihayawani na kishenzi namna hii. Ni washenzi tu watashiriki chaguzi za aina hii.
 
Toka Dr. Slaa aondoke cdm, nchi yetu haijawahi kushuhudia chaguzi za kihayawani na kishenzi namna hii. Ni washenzi tu watashiriki chaguzi za aina hii.
Poaaa, tuungane kumshauri Mbowe asuse mapemaaa tu.
 

Hakuna haja hata kidogo mpaka tupate Tume Huru!

Kokoto is my true enemy
 
Poaaa, tuungane kumshauri Mbowe asuse mapemaaa tu.

Mbowe kushiriki au kutoshiriki huo ni uamuzi wake na chama chake, ila sisi wapiga kura tunaojitambua tumeshafanya maamuzi, kama hakuna tume huru ya uchaguzi, hatushiriki uchaguzi wa kishenzi fullstop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…