Uchaguzi 2020 Kuna umuhimu wa kupiga kura 2020 wakati tume iko mfukoni kwa Rais?

Ukisusa wenzio wala !
 
Watu nadhani Kuna kitu hawakielewi hivi ,unapoihukumu chadema kusimama pamoja na wananchi kudai haki na kutaka kuondoa utawala dhalimu wa kishamba ni matumizi mabaya ya akili .
Watanzania walio wengi cyo ccm Wala chadema wala cuf Wala Act ,Bali ni raia wa kawaida tu wasio na vyama kabisa ,na ndilo kundi kubwa linalonyanyasika na utawala huu dhalimu ,hvyo basi chadema ndicho chama pekee Cha upinzani chenye sera zenye mashiko na zina reflect maisha halisi na kutoa dira nn kifanyike kuleta maendeleo ya wananchi wote bila ya ubaguzi wa Mambo mengine ya hovyo
Hvyo basi chadema n mpango wa mungu na wananchi kwa mapenzi yao wamekipenda kiwatetee .....



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwani hapo mwanzo ilikuwa mfukoni mwa nani??
 
Demokrasia T.z ni ndoto bado hivyo wasipoteze mapato yeye aendelee mpaka atakapoona panatosha Anna haja ya uchaguzi kabisaa
 
Hivi twaweza kuwa na wabunge kama wenyeviti wa mitaa, endapo vyama vingine vya upinzani watasusia kwa kuwa hakuna tume huru?
 
Huyu Rais ni wa kufanyiwa fujo tu Kama Blaise Compaoure wa Burkina Faso
kwa utaahira wako ndiyo unachofikiria ? kwa kosa gani rais mchapakazi kama huyu umfanyie fujo hivi wewe hapo na akili zako unataka rais awe nani hebu tuambie tukujadirir
 
fikirieni kufanya kazi hayo waachieni wenye nchi yaani watawala maana muda wakuondoka bado kipindi cha pili mnapoteza muda bure
 
fikirieni kufanya kazi hayo waachieni wenye nchi yaani watawala maana muda wakuondoka bado kipindi cha pili mnapoteza muda bure
Sisi ndiyo wenye nchi na walipa kodi. Mawazo yetu yaheshimiwe.
 
Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu. Kwa hali ilivyo kama mihimili yote imeshikiliwa na ule mhimili ulijikita chini zaidi kuna haja gani ya kupiga kura?
Mnajichanganya tu
Wenzako bawacha wanasema watachukua dola kwa tume hiyo hiyo
 
Sisi ndiyo wenye nchi na walipa kodi. Mawazo yetu yaheshimiwe.
nyinyi ni kundi dogo sana hapa nchini kuwafanya mamilioni ya watanzania kukaa kuwafikiria subirini mjengewe nchi ya asali na maziwa ikikamilika muwe mnanyonya tu na ninaamini hamtapiga kelele tena hivi wewe hapo na umri wako ungependa rais awe nani kama huyu humtaki? unataka ufanyiwe nini labda? kuqweni na akili japo kidogo
 
 
huviu huyu chizi naye unaweza kumuamini? hapo akili yake inawaza awe rais tu kwahiyo ndiyo unaona anafaa kuwa rais? kweli usifanye watu wakakuona zezeta wakati mara nyingine uaandikaga mabandiko yenye busara
Kumbe CCM machizi yanaweza kuhodhi nafasi ya Waziri wa mambo ya nchi za nje.
 
Kumbe CCM machizi yanaweza kuhodhi nafasi ya Waziri wa mambo ya nchi za nje.
huna hoja huyo kichaa wenu anatamaa sana mchukueni awe mpinzani mwenzenu tu maana huku hatuna watu wasio na akili na ttamaa kama huyu jamaa yeye alifikiri kuwa waziri wa mambo ya nje ni tiketi ya kuwa rais hatufai hebu chagua mwingine tumuone kama unabusara keli ya kuangalia mtu anaeweza kuongoza nchi
 
Ndiyo lakini tunahitaji vyama vinavyosaidia watz siyo wala ruzuku tu kama Chadema wanashindwa hata kujenga ofisi wakati wanapewa ruzuku ya almost 350million per month lakini zinaishia kwenye matumbo ya kina Mbowe na genge lake.
Ndio alivyosema mkaguzi mkuu wa serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afadhali leo umekuwa practical na realistic. Ila wenzako watapiga ngonjera wee ya hii kitu utadhani kwamba marekebisho ya tume yako njiani. Nashauri watu wote wasome thread hii.
 
Ukisusa wenzio wala !

Bora kususa wenzetu mle, kuliko tushiriki na bado tusile. Kimsingi sasa hivi hamna uwezo tena wa ushindani maana kizazi hiki hakiko na chama cha zamani, hivyo namna pekee ni nyie kunajisi chaguzi kwa msaada wa vyombo vya dola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…