Inasaisia nini, akitoka huko anapata ajira au ni ushabiki kumuongezea miaka ya msoto!Watoto wa sasa hivi ni lonyolonyo sana, nashauri bunge litunge sheria iwe ni lazima kwenda JKT.
Kiukweli mnatusikitisha sana Toto lipo high school bado linasimamiwa na wazazi hawezi hata kujisimamia.
Kizazi hiki bila kukipitisha jeshini tunaandaa msiba mkubwa kwa Taifa.
Acha weeeKuna voice note inatembea mitandaoni kuhusu binti anasimulia jinsi alivyoenda JKT akawa @n@t0mbwA na na kufirw@ na maafande tofauti tofauti hadi wakamuambukiza ukimwi na gono inasikitosha sana ukiisikiliza
Hawajalazimishwa kwenda.Kwa watoto wa kike,kwakweli ingekua hiyari,nasemekana wanakanyagwa sana kule na baadhi yao wanarudi na ngoma.Wawape uhiyari,najua kuna wadada wenye libido kubwa kwenye miili yao,watajiunga kwa hiyari yao,wawe wanashinda kwenye 'hanger',wakishughulikiwa.
Mzazi anayeruhusu mtoto wake kwenda kule ni mjinga na hana helaKuna voice note inatembea mitandaoni kuhusu binti anasimulia jinsi alivyoenda JKT akawa @n@t0mbwA na na kufirw@ na maafande tofauti tofauti hadi wakamuambukiza ukimwi na gono inasikitosha sana ukiisikiliza
Nimeamua kusikiliza ushauri, nimemaliza tofauti yangu na yako[emoji120]Woyoooooooooooo aya njoo wewe chizi fresh Countrywide uje unyweshwe dawa zako [emoji1787]
Nimeamua kusikiliza ushauri, nimemaliza tofauti yangu na yako[emoji120]
Kila kitu nitasema ahsante
Mkuu acha kudanganya , madogo wamemliza form six mwezi uliopita na Sasa hivi wanaenda jkt ,Sio kweli sababu wanachukua mostly wenye div 1&2 na waliopitia advanced level vp kuhusu ambao serikali iliwachagua kwenye vyuo vya kati moja kwa moja
Kuna vitu watu wanaongea hapa kwa mihemuko tu ya story za hapa na pale.. kiukweli mujibu wanalindwa saaana na wanafatiliwa sana... jeshi limebadilika sana mtu kufanywa fanywa ni yeye mwenyewe amechagua kuishi hivyo , CMM Hatuna nchi nyingine tuliyozaliwa isipokuwa tanzania, ipende nchi yako kuliko kitu kingine chochoteZitajeni Kambi zenye huo uchafu na sio kuongea kwa ujumla kwa kuwa zipo lukuki za kujiunga na mafunzo hayo ya JKT.Tusiwakatishe tamaa na kuwatisha wanaopata fursa hiyo.Isitoshe kama kuna mtu ananyanyaswa bado zipo njia za kulalamika kwa kuwa kambi hizo ni Taasisi za umma na wahusika kwa maana ya wakufunzi kuna miiko yake.Kama itawezekana tajeni Kambi na hata jina moja la mkufunzi mwenye tabia hizo. TUSICHAFUE TAASISI NZIMA KWA UTOVU WA NIDHAMU WA KIKUNDI AU MTU FULANI, HATUNA NCHI NYINGINE TULIYOZALIWA ISIPOKUWA TANZANIA.