Kuna uongozi na Utawala, Ipo siku utawala utakoma (Mungu alichonionesha)

Kuna uongozi na Utawala, Ipo siku utawala utakoma (Mungu alichonionesha)

Wilderness Voice

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
921
Reaction score
1,649
Natazama ni mtu ambaye umtazamapo uwezi amini alilonalo moyoni. Ni nadhifu na makini. Ghafla nikaona amejawa na roho ya kuondoa uwanadamu. Amejaa uangamizi hata kwa wale walio karibu yake.
Yeye uangalia anachotaka na maslahi yake.

Ananguvu za utawala, waweza dhani anakuchekea kumbe rohoni akupigia mahesabu kukumaliza. Huyu ndiye mtawala kwa zama hata zama, huyu ndiye ajuae kila kitu.

Nikauliza sasa huyu atakuwaje mtawala?? Nikaambiwa umesikia nini? Nikasema nilisikia milio ya risasi. Nikaambiwa hiyo ni nguvu ya jeshi. Huyu mwenye nguvu ya utawala anahisi kunakitu anapingwa.

Mara akatokea mtu wa ndani sirini alikuwa siriaz (kwa kiswahili), nikauliza na huyu je? ni mmoja wao? Kwann kaletwa? Nikaambiwa kaja kwa ajili ya ku take care( kwa kimombo) kwa huyu mwenye nguvu ya utawala.

Huyu mtu wa sirini nilishindwa muelewa! Ndipo roho wa Mungu akanifunulia, kuwa mtawala anadhani ni mtu wake lakini si wake. Huyu mtu wa sirini alinionesha alama tu. Alikuwa aongei!

Hata huyo adhanie anachekewa anaweza ondolewa muda wowote ili huyu mtu hakikishe anataka atakalo. Anafanya kwa kificho kikubwa asijulikane. Anaweza kukutumia kisha akakugeuka na kutaka kukuangamiza.

Nilishangaa na upole, ucheshi wake kushika kitu cha kuangamiza yeye mwenyewe, huku usoni akionesha sura ya upendo na tabasamu. Ndipo Roho wa Bwana akanifungua macho natazama ni mtu alie na ghadhabu, uchu, ana hasira ya dubu, na amejawa na roho ya kisasi na maangamizi.

Nilishangaa, ila roho wa bwana akasema huyu mtu si mwema, wafaa kuwa nae kwa makini.

Ndipo roho wa Bwana akanichukua, na kuonionesha kisasi cha Mungu juu ya huyu adhaniae ananguvu.

Gadhabu ya Mungu ikawaka juu yake, ghafla akapigwa na gonjwa kubwa, sipendi eleza mengi Roho wa Mungu akanambia kuna jambo linakuja. Na huu utakuwa mwisho. Lakini ondoeani masalia ya huyu mwenye hiana. Kama mtataka kupiga hatua.
 
Natazama ni mtu ambaye umtazamapo uwezi amini alilonalo moyoni. Ni nadhifu na makini. Ghafla nikaona amejawa na roho ya kuondoa uwanadamu. Amejaa uangamizi hata kwa wale walio karibu yake.
Yeye uangalia anachotaka na maslahi yake.

Ananguvu za utawala, waweza dhani anakuchekea kumbe rohoni akupigia mahesabu kukumaliza. Huyu ndiye mtawala kwa zama hata zama, huyu ndiye ajuae kila kitu.

Nikauliza sasa huyu atakuwaje mtawala?? Nikaambiwa umesikia nini? Nikasema nilisikia milio ya risasi. Nikaambiwa hiyo ni nguvu ya jeshi. Huyu mwenye nguvu ya utawala anahisi kunakitu anapingwa.

Mara akatokea mtu wa ndani sirini alikuwa siriaz (kwa kiswahili), nikauliza na huyu je? ni mmoja wao? Kwann kaletwa? Nikaambiwa kaja kwa ajili ya ku take care( kwa kimombo) kwa huyu mwenye nguvu ya utawala.

Huyu mtu wa sirini nilishindwa muelewa! Ndipo roho wa Mungu akanifunulia, kuwa mtawala anadhani ni mtu wake lakini si wake. Huyu mtu wa sirini alinionesha alama tu. Alikuwa aongei!

Hata huyo adhanie anachekewa anaweza ondolewa muda wowote ili huyu mtu hakikishe anataka atakalo. Anafanya kwa kificho kikubwa asijulikane. Anaweza kukutumia kisha akakugeuka na kutaka kukuangamiza.

Nilishangaa na upole, ucheshi wake kushika kitu cha kuangamiza yeye mwenyewe, huku usoni akionesha sura ya upendo na tabasamu. Ndipo Roho wa Bwana akanifungua macho natazama ni mtu alie na ghadhabu, uchu, ana hasira ya dubu, na amejawa na roho ya kisasi na maangamizi.

Nilishangaa, ila roho wa bwana akasema huyu mtu si mwema, wafaa kuwa nae kwa makini.

Ndipo roho wa Bwana akanichukua, na kuonionesha kisasi cha Mungu juu ya huyu adhaniae ananguvu.

Gadhabu ya Mungu ikawaka juu yake, ghafla akapigwa na gonjwa kubwa, sipendi eleza mengi Roho wa Mungu akanambia kuna jambo linakuja. Na huu utakuwa mwisho. Lakini ondoeani masalia ya huyu mwenye hiana. Kama mtataka kupiga hatua.
We lia lia tu mama mpaka 2030
 
Natazama ni mtu ambaye umtazamapo uwezi amini alilonalo moyoni. Ni nadhifu na makini. Ghafla nikaona amejawa na roho ya kuondoa uwanadamu. Amejaa uangamizi hata kwa wale walio karibu yake.
Yeye uangalia anachotaka na maslahi yake.

Ananguvu za utawala, waweza dhani anakuchekea kumbe rohoni akupigia mahesabu kukumaliza. Huyu ndiye mtawala kwa zama hata zama, huyu ndiye ajuae kila kitu.

Nikauliza sasa huyu atakuwaje mtawala?? Nikaambiwa umesikia nini? Nikasema nilisikia milio ya risasi. Nikaambiwa hiyo ni nguvu ya jeshi. Huyu mwenye nguvu ya utawala anahisi kunakitu anapingwa.

Mara akatokea mtu wa ndani sirini alikuwa siriaz (kwa kiswahili), nikauliza na huyu je? ni mmoja wao? Kwann kaletwa? Nikaambiwa kaja kwa ajili ya ku take care( kwa kimombo) kwa huyu mwenye nguvu ya utawala.

Huyu mtu wa sirini nilishindwa muelewa! Ndipo roho wa Mungu akanifunulia, kuwa mtawala anadhani ni mtu wake lakini si wake. Huyu mtu wa sirini alinionesha alama tu. Alikuwa aongei!

Hata huyo adhanie anachekewa anaweza ondolewa muda wowote ili huyu mtu hakikishe anataka atakalo. Anafanya kwa kificho kikubwa asijulikane. Anaweza kukutumia kisha akakugeuka na kutaka kukuangamiza.

Nilishangaa na upole, ucheshi wake kushika kitu cha kuangamiza yeye mwenyewe, huku usoni akionesha sura ya upendo na tabasamu. Ndipo Roho wa Bwana akanifungua macho natazama ni mtu alie na ghadhabu, uchu, ana hasira ya dubu, na amejawa na roho ya kisasi na maangamizi.

Nilishangaa, ila roho wa bwana akasema huyu mtu si mwema, wafaa kuwa nae kwa makini.

Ndipo roho wa Bwana akanichukua, na kuonionesha kisasi cha Mungu juu ya huyu adhaniae ananguvu.

Gadhabu ya Mungu ikawaka juu yake, ghafla akapigwa na gonjwa kubwa, sipendi eleza mengi Roho wa Mungu akanambia kuna jambo linakuja. Na huu utakuwa mwisho. Lakini ondoeani masalia ya huyu mwenye hiana. Kama mtataka kupiga hatua.
Tezi dume haijamuacha salama.

Anafukua tope kama hana akili nzuri
 
Natazama ni mtu ambaye umtazamapo uwezi amini alilonalo moyoni. Ni nadhifu na makini. Ghafla nikaona amejawa na roho ya kuondoa uwanadamu. Amejaa uangamizi hata kwa wale walio karibu yake.
Yeye uangalia anachotaka na maslahi yake.

Ananguvu za utawala, waweza dhani anakuchekea kumbe rohoni akupigia mahesabu kukumaliza. Huyu ndiye mtawala kwa zama hata zama, huyu ndiye ajuae kila kitu.

Nikauliza sasa huyu atakuwaje mtawala?? Nikaambiwa umesikia nini? Nikasema nilisikia milio ya risasi. Nikaambiwa hiyo ni nguvu ya jeshi. Huyu mwenye nguvu ya utawala anahisi kunakitu anapingwa.

Mara akatokea mtu wa ndani sirini alikuwa siriaz (kwa kiswahili), nikauliza na huyu je? ni mmoja wao? Kwann kaletwa? Nikaambiwa kaja kwa ajili ya ku take care( kwa kimombo) kwa huyu mwenye nguvu ya utawala.

Huyu mtu wa sirini nilishindwa muelewa! Ndipo roho wa Mungu akanifunulia, kuwa mtawala anadhani ni mtu wake lakini si wake. Huyu mtu wa sirini alinionesha alama tu. Alikuwa aongei!

Hata huyo adhanie anachekewa anaweza ondolewa muda wowote ili huyu mtu hakikishe anataka atakalo. Anafanya kwa kificho kikubwa asijulikane. Anaweza kukutumia kisha akakugeuka na kutaka kukuangamiza.

Nilishangaa na upole, ucheshi wake kushika kitu cha kuangamiza yeye mwenyewe, huku usoni akionesha sura ya upendo na tabasamu. Ndipo Roho wa Bwana akanifungua macho natazama ni mtu alie na ghadhabu, uchu, ana hasira ya dubu, na amejawa na roho ya kisasi na maangamizi.

Nilishangaa, ila roho wa bwana akasema huyu mtu si mwema, wafaa kuwa nae kwa makini.

Ndipo roho wa Bwana akanichukua, na kuonionesha kisasi cha Mungu juu ya huyu adhaniae ananguvu.

Gadhabu ya Mungu ikawaka juu yake, ghafla akapigwa na gonjwa kubwa, sipendi eleza mengi Roho wa Mungu akanambia kuna jambo linakuja. Na huu utakuwa mwisho. Lakini ondoeani masalia ya huyu mwenye hiana. Kama mtataka kupiga hatua.
Njozi zilikujia ukiwa Katika Kisiwa cha Patimo
 
Natazama ni mtu ambaye umtazamapo uwezi amini alilonalo moyoni. Ni nadhifu na makini. Ghafla nikaona amejawa na roho ya kuondoa uwanadamu. Amejaa uangamizi hata kwa wale walio karibu yake.
Yeye uangalia anachotaka na maslahi yake.

Ananguvu za utawala, waweza dhani anakuchekea kumbe rohoni akupigia mahesabu kukumaliza. Huyu ndiye mtawala kwa zama hata zama, huyu ndiye ajuae kila kitu.

Nikauliza sasa huyu atakuwaje mtawala?? Nikaambiwa umesikia nini? Nikasema nilisikia milio ya risasi. Nikaambiwa hiyo ni nguvu ya jeshi. Huyu mwenye nguvu ya utawala anahisi kunakitu anapingwa.

Mara akatokea mtu wa ndani sirini alikuwa siriaz (kwa kiswahili), nikauliza na huyu je? ni mmoja wao? Kwann kaletwa? Nikaambiwa kaja kwa ajili ya ku take care( kwa kimombo) kwa huyu mwenye nguvu ya utawala.

Huyu mtu wa sirini nilishindwa muelewa! Ndipo roho wa Mungu akanifunulia, kuwa mtawala anadhani ni mtu wake lakini si wake. Huyu mtu wa sirini alinionesha alama tu. Alikuwa aongei!

Hata huyo adhanie anachekewa anaweza ondolewa muda wowote ili huyu mtu hakikishe anataka atakalo. Anafanya kwa kificho kikubwa asijulikane. Anaweza kukutumia kisha akakugeuka na kutaka kukuangamiza.

Nilishangaa na upole, ucheshi wake kushika kitu cha kuangamiza yeye mwenyewe, huku usoni akionesha sura ya upendo na tabasamu. Ndipo Roho wa Bwana akanifungua macho natazama ni mtu alie na ghadhabu, uchu, ana hasira ya dubu, na amejawa na roho ya kisasi na maangamizi.

Nilishangaa, ila roho wa bwana akasema huyu mtu si mwema, wafaa kuwa nae kwa makini.

Ndipo roho wa Bwana akanichukua, na kuonionesha kisasi cha Mungu juu ya huyu adhaniae ananguvu.

Gadhabu ya Mungu ikawaka juu yake, ghafla akapigwa na gonjwa kubwa, sipendi eleza mengi Roho wa Mungu akanambia kuna jambo linakuja. Na huu utakuwa mwisho. Lakini ondoeani masalia ya huyu mwenye hiana. Kama mtataka kupiga hatua.

Nyie ndio mnafanya bangi ipigwe marufuku, sasa hiki ni nini umeandika?
 
Nyie ndio mnafanya bangi ipigwe marufuku, sasa hiki ni nini umeandika?
Ukiwa huna jicho la tatu uwezi kuelewa. Maono uhitaji wenye uwezo wa kufumbua. Ukisoma Daniel alioneshwa sanamu. Kwa macho ya nyama si sanamu kama unavyojua.
Hivyo ndo nilivyooneshwa. Weye kama uwezi kufumbua waachie wenye akili ya utambuzi.
 
Roho wa Mungu amenionesha ya kwamba Una Kitu na Utafika mbali Usikilizwe,,endelea na ongeza maombi na Wana fellowship wenzako hapo parokiani!!!
 
Ukiwa huna jicho la tatu uwezi kuelewa. Maono uhitaji wenye uwezo wa kufumbua. Ukisoma Daniel alioneshwa sanamu. Kwa macho ya nyama si sanamu kama unavyojua.
Hivyo ndo nilivyooneshwa. Weye kama uwezi kufumbua waachie wenye akili ya utambuzi.
Duuu, kazi ipo.
 
Natazama ni mtu ambaye umtazamapo uwezi amini alilonalo moyoni. Ni nadhifu na makini. Ghafla nikaona amejawa na roho ya kuondoa uwanadamu. Amejaa uangamizi hata kwa wale walio karibu yake.
Yeye uangalia anachotaka na maslahi yake.

Ananguvu za utawala, waweza dhani anakuchekea kumbe rohoni akupigia mahesabu kukumaliza. Huyu ndiye mtawala kwa zama hata zama, huyu ndiye ajuae kila kitu.

Nikauliza sasa huyu atakuwaje mtawala?? Nikaambiwa umesikia nini? Nikasema nilisikia milio ya risasi. Nikaambiwa hiyo ni nguvu ya jeshi. Huyu mwenye nguvu ya utawala anahisi kunakitu anapingwa.

Mara akatokea mtu wa ndani sirini alikuwa siriaz (kwa kiswahili), nikauliza na huyu je? ni mmoja wao? Kwann kaletwa? Nikaambiwa kaja kwa ajili ya ku take care( kwa kimombo) kwa huyu mwenye nguvu ya utawala.

Huyu mtu wa sirini nilishindwa muelewa! Ndipo roho wa Mungu akanifunulia, kuwa mtawala anadhani ni mtu wake lakini si wake. Huyu mtu wa sirini alinionesha alama tu. Alikuwa aongei!

Hata huyo adhanie anachekewa anaweza ondolewa muda wowote ili huyu mtu hakikishe anataka atakalo. Anafanya kwa kificho kikubwa asijulikane. Anaweza kukutumia kisha akakugeuka na kutaka kukuangamiza.

Nilishangaa na upole, ucheshi wake kushika kitu cha kuangamiza yeye mwenyewe, huku usoni akionesha sura ya upendo na tabasamu. Ndipo Roho wa Bwana akanifungua macho natazama ni mtu alie na ghadhabu, uchu, ana hasira ya dubu, na amejawa na roho ya kisasi na maangamizi.

Nilishangaa, ila roho wa bwana akasema huyu mtu si mwema, wafaa kuwa nae kwa makini.

Ndipo roho wa Bwana akanichukua, na kuonionesha kisasi cha Mungu juu ya huyu adhaniae ananguvu.

Gadhabu ya Mungu ikawaka juu yake, ghafla akapigwa na gonjwa kubwa, sipendi eleza mengi Roho wa Mungu akanambia kuna jambo linakuja. Na huu utakuwa mwisho. Lakini ondoeani masalia ya huyu mwenye hiana. Kama mtataka kupiga hatua.
Sauti iliayo nyikani........yatengenezeni mapito yake...............inyoosheni njia yake..................ninawahubiria mtubu dhambi zenu na kuwabatiza kwa maji.........yeye ajaye atawabatiza kwa moto.........Mark 1:3-8 (I baptized them with water, but he will baptize you with the Holy Spirit.)
 
Back
Top Bottom