Kuna uwezakano muumba ulimwengu aliacha kuingilia mambo ya ulimwengu aliouumba?

Kuna uwezakano muumba ulimwengu aliacha kuingilia mambo ya ulimwengu aliouumba?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kila siku hapa duniani kuna habari mbaya za kuteseka kwa binadamu fulani kwa magonjwa, vita, njaa, dhuluma, umaskini n.k kwa viwango tofauti, kuanzia viwango vidogo hadi vikubwa kabisa vya kutisha na kufadhaisha sana

Ni vigumu sana kuelewa kwa nini anayesemwa ana nguvu zote;
Asizue mtoto albino kutekwa, kuuwawa na kukatwa viungo vyake, Asizue watoto kufa vitani Congo, Gaza, Ukraine na kwingine kwingi
Asizue cancer,
Asizuie ubakaji na ulawiti
Asizuie dhuluma za kila aina
Asizue umasikini
Asizue ajali
Asizuie utumwa
Asizuie utapeli wa kidini
Asizuie majanga ya asili

Sasa kwa kuwa ni vigumu sana kuamini ulimwengu ulitokeza au umekuwepo tu bila muumbaji, Je inawezekana muumbaji aliyeuumba ulimwengu aliamua kuuacha ujiendeshe wenyewe tu kwa nguvu na kanuni za asili?

Kwamba aliuumba ulimwengu kisha akaamua kukaa kando kuutazama unavyojiendesha na kujiendea wenyewe tu bila yeye kuingilia kwa namna yoyote au chochote
 
Kama ni vigumu sana kuamini kwamba ulimwengu umekuwepo au umejitokeza bila muumbaji,

Imekuwaje kwako ni rahisi kuamini muumbaji usiyemjua wala hujawahi kumuona au kumthibitisha yupo, Kwamba ndio muumbaji wa dunia na yupo tu bila kuumbwa?

Kwa nini umu exclude huyo muumbaji kwenye logic ya kuumbwa?

Kama haiwezekani ulimwengu kuwepo tu wenyewe bila kuumbwa, Pia haiwezekani hata huyo muumbaji awepo tu mwenyewe bila kuumbwa.

Na kama si lazima kila kitu kiwe na muumbaji, Hata ulimwengu hauhitaji muumbaji.
 
Kila siku hapa duniani kuna habari mbaya za kuteseka kwa binadamu fulani kwa magonjwa, vita, njaa, dhuluma, umaskini n.k kwa viwango tofauti, kuanzia viwango vidogo hadi vikubwa kabisa vya kutisha na kufadhaisha sana

Ni vigumu sana kuelewa kwa nini anayesemwa ana nguvu zote;
Asizue mtoto albino kutekwa, kuuwawa na kukatwa viungo vyake, Asizue watoto kufa vitani Congo, Gaza, Ukraine na kwingine kwingi
Asizue cancer,
Asizuie ubakaji na ulawiti
Asizuie dhuluma za kila aina
Asizue umasikini
Asizue ajali
Asizuie utumwa
Asizuie utapeli wa kidini
Asizuie majanga ya asili

Sasa kwa kuwa ni vigumu sana kuamini ulimwengu ulitokeza au umekuwepo tu bila muumbaji, Je inawezekana muumbaji aliyeuumba ulimwengu aliamua kuuacha ujiendeshe wenyewe tu kwa nguvu na kanuni za asili?

Kwamba aliuumba ulimwengu kisha akaamua kukaa kando kuutazama unavyojiendesha na kujiendea wenyewe tu bila yeye kuingilia kwa namna yoyote au chochote
MUNGU NI MWENYE NGUVU ZOTE....ILA MUNGU ANAKANUNI ZAKE....
Jiulize hili swali ukipata jibu utakuwa umejibu swali lako.
Kwanini MUNGU amlete YESU ateseke na kudhalauliwa, je kulikuwa hamna njia nyingine ya kuokoa mwanadamu?
........MUNGU HABADILIKI AKISEMA ITAKUWA LAZIMA ITAKUWA.......
 
Kila siku hapa duniani kuna habari mbaya za kuteseka kwa binadamu fulani kwa magonjwa, vita, njaa, dhuluma, umaskini n.k kwa viwango tofauti, kuanzia viwango vidogo hadi vikubwa kabisa vya kutisha na kufadhaisha sana

Ni vigumu sana kuelewa kwa nini anayesemwa ana nguvu zote;
Asizue mtoto albino kutekwa, kuuwawa na kukatwa viungo vyake, Asizue watoto kufa vitani Congo, Gaza, Ukraine na kwingine kwingi
Asizue cancer,
Asizuie ubakaji na ulawiti
Asizuie dhuluma za kila aina
Asizue umasikini
Asizue ajali
Asizuie utumwa
Asizuie utapeli wa kidini
Asizuie majanga ya asili

Sasa kwa kuwa ni vigumu sana kuamini ulimwengu ulitokeza au umekuwepo tu bila muumbaji, Je inawezekana muumbaji aliyeuumba ulimwengu aliamua kuuacha ujiendeshe wenyewe tu kwa nguvu na kanuni za asili?

Kwamba aliuumba ulimwengu kisha akaamua kukaa kando kuutazama unavyojiendesha na kujiendea wenyewe tu bila yeye kuingilia kwa namna yoyote au chochote
Upo sahihi sana kwenye case ya Mungu kuucha ulimwengu ujiendeshe wenyewe kwa kanuni za asili alizoziweka yeye mwenyewe..
 
MUNGU NI MWENYE NGUVU ZOTE....ILA MUNGU ANAKANUNI ZAKE....
Jiulize hili swali ukipata jibu utakuwa umejibu swali lako.
Kwanini MUNGU amlete YESU ateseke na kudhalauliwa, je kulikuwa hamna njia nyingine ya kuokoa mwanadamu?
........MUNGU HABADILIKI AKISEMA ITAKUWA LAZIMA ITAKUWA.......
Unamzungumzia Mungu yupi?
 
Kila siku hapa duniani kuna habari mbaya za kuteseka kwa binadamu fulani kwa magonjwa, vita, njaa, dhuluma, umaskini n.k kwa viwango tofauti, kuanzia viwango vidogo hadi vikubwa kabisa vya kutisha na kufadhaisha sana

Ni vigumu sana kuelewa kwa nini anayesemwa ana nguvu zote;
Asizue mtoto albino kutekwa, kuuwawa na kukatwa viungo vyake, Asizue watoto kufa vitani Congo, Gaza, Ukraine na kwingine kwingi
Asizue cancer,
Asizuie ubakaji na ulawiti
Asizuie dhuluma za kila aina
Asizue umasikini
Asizue ajali
Asizuie utumwa
Asizuie utapeli wa kidini
Asizuie majanga ya asili

Sasa kwa kuwa ni vigumu sana kuamini ulimwengu ulitokeza au umekuwepo tu bila muumbaji, Je inawezekana muumbaji aliyeuumba ulimwengu aliamua kuuacha ujiendeshe wenyewe tu kwa nguvu na kanuni za asili?

Kwamba aliuumba ulimwengu kisha akaamua kukaa kando kuutazama unavyojiendesha na kujiendea wenyewe tu bila yeye kuingilia kwa namna yoyote au chochote
Warumi 1:24-32

[24]Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima miili yao.

[25]Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa milele. Amina.

[26]Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;

[27]wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.

[28]Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.

[29]Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya,

[30]wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao,

[31]wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema;

[32]ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.
 
MUNGU NI MWENYE NGUVU ZOTE....ILA MUNGU ANAKANUNI ZAKE....
Jiulize hili swali ukipata jibu utakuwa umejibu swali lako.
Kwanini MUNGU amlete YESU ateseke na kudhalauliwa, je kulikuwa hamna njia nyingine ya kuokoa mwanadamu?
........MUNGU HABADILIKI AKISEMA ITAKUWA LAZIMA ITAKUWA.......
Aliteseka mkiwa naye au ni zile ngonjera za kwenye kitabu
 
MUNGU NI MWENYE NGUVU ZOTE....ILA MUNGU ANAKANUNI ZAKE....
Jiulize hili swali ukipata jibu utakuwa umejibu swali lako.
Kwanini MUNGU amlete YESU ateseke na kudhalauliwa, je kulikuwa hamna njia nyingine ya kuokoa mwanadamu?
........MUNGU HABADILIKI AKISEMA ITAKUWA LAZIMA ITAKUWA.......
Huyo Mungu kama ana nguvu aje hapa mwenyewe ajidhihirishe hizo nguvu zake.

Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea Mungu mdhaifu ambaye hayupo na wala hajawahi kuwepo kujidhihirisha mwenyewe.
 
Huyo Mungu kama ana nguvu aje hapa mwenyewe ajidhihirishe hizo nguvu zake.

Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea Mungu mdhaifu ambaye hayupo na wala hajawahi kuwepo kujidhihirisha mwenyewe.
walisema ivyo hata wenzio kipindi cha nabii mussa alipo taka kushuka wakamuomba tena mussa mwambie basi asije ni Mungu mwenye nguvu na anatisha.
 
Huyo Mungu kama ana nguvu aje hapa mwenyewe ajidhihirishe hizo nguvu zake.

Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea Mungu mdhaifu ambaye hayupo na wala hajawahi kuwepo kujidhihirisha mwenyewe.
Kila siku Mungu anadhihirisha Nguvu zake sema hauoni. Yaani hapo wewe mwenyewe ni nguvu za Mungu. Unaishi Katika muujiza lakini bado unauliza kama muujiza ya nguvu za Mungu ipo. Usiku na mchana ni matokeo ya udhihirisho wa nguvu za Mungu. Manii ya mwanaume kuingia ndani ya tumbo la Mwanamke na kutengeneza Kiumbe ni matokeo ya Nguvu za Mungu.
 
walisema ivyo hata wenzio kipindi cha nabii mussa alipo taka kushuka wakamuomba tena mussa mwambie basi asije ni Mungu mwenye nguvu na anatisha.
Huyo Mungu kama ana nguvu na anatisha aje hapa na hizo nguvu zake.

Mimi infropreneur namsubiri hapa.
 
Kila siku Mungu anadhihirisha Nguvu zake sema hauoni. Yaani hapo wewe mwenyewe ni nguvu za Mungu. Unaishi Katika muujiza lakini bado unauliza kama muujiza ya nguvu za Mungu ipo. Usiku na mchana ni matokeo ya udhihirisho wa nguvu za Mungu. Manii ya mwanaume kuingia ndani ya tumbo la Mwanamke na kutengeneza Kumbe ni matokeo ya Nguvu za Mungu.
Hii inaitwa Logical non sequitur.

Una unganisha vitu tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.
 
Hii inaitwa Logical non sequitur.

Una unganisha vitu tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.
Shida watu mnataka Mungu awe kama Rais kwamba leo ahutubie na atumie vyombo vyake vya Dola kuonesha how powerful he/she is! Mungu ana kanuni zake za utendaji kazi na hizo kanuni zipo, na zinatenda kazi Kila siku but kwasababu ya kujitia upofu huwezi kuziona, amini kwamba there is Supreme Power of The Creator in This World.
 
Wewe unafanana na yule mmoja kati ya wale wezi wawili waliosulibishwa msalabani pamoja na Yesu. Alisema Kama wewe Kweli Mwana wa Mungu jiokoe, halafu utuokoe na sisi.
Hizo ni hekaya za Abunuwasi.

Huyo Yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Shida watu mnataka Mungu awe kama Rais kwamba leo ahutubie na atumie vyombo vyake vya Dola kuonesha how powerful he/she is! Mungu ana kanuni zake za utendaji kazi na hizo kanuni zipo, na zinatenda kazi Kila siku but kwasababu ya kujitia upofu huwezi kuziona, amini kwamba there is Supreme Power of The Creator in This World.
Hizi ni Fictions.

Huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Back
Top Bottom