Kuna uwezekano Aubin Kramo hajui kuwa jina lake limeondolewa kwenye wachezaji wa Simba

Kuna uwezekano Aubin Kramo hajui kuwa jina lake limeondolewa kwenye wachezaji wa Simba

Hahahahaha..mkuu mimi toka mumdhulumu yule agent ,rafiki yangu hela yake sina hamu na hiyo timu yenu ...huyu Kramo anapata timu hapa hapa bongo
Si bure kuna viongozi ni mamluki pale wanafanyia kazi upande wa pili nia ni kuwakimbiza wote wenye nia au uwezo wa kweli kuisaidia Simba wabaki wale waliopo kimaslahi tu. Mwakani Hersi anamchukua huyo Kramo. Utasikia wanahangaikia kumpata Kibabage ambaye hata Yanga wenyewe mnamuona hatoshi, huku wanashindwa kumshawishi Yahya Mbegu wakati amekulia pale pale Simba!
 
Si bure kuna viongozi ni mamluki pale wanafanyia kazi upande wa pili nia ni kuwakimbiza wote wenye nia au uwezo wa kweli kuisaidia Simba wabaki wale waliopo kimaslahi tu. Mwakani Hersi anamchukua huyo Kramo. Utasikia wanahangaikia kumpata Kibabage ambaye hata Yanga wenyewe mnamuona hatoshi, huku wanashindwa kumshawishi Yahya Mbegu wakati amekulia pale pale Simba!
Mkuu binafsi ninefanya kazi na simba kwa ukaribu mno ..simba kuna tatizo ktk uongozi na hasa Mr Muhene si mlipaji mzuri ktk baadhi ya mambo sijui kwann yuko hivyo..biashara ya Baleke na Sawadogo ndio nilijua jamaa ni mbabahishaji wakati Mulamu alitaka Baleke anunuliwe jumla yeye alikomaa na mkopo ..kwa sawadogo vilevile alipewa taarifa zote kuwa sawadogo hayuko fit ila ktk kupiga deal wakamleta
 
Mkuu binafsi ninefanya kazi na simba kwa ukaribu mno ..simba kuna tatizo ktk uongozi na hasa Mr Muhene si mlipaji mzuri ktk baadhi ya mambo sijui kwann yuko hivyo..biashara ya Baleke na Sawadogo ndio nilijua jamaa ni mbabahishaji wakati Mulamu alitaka Baleke anunuliwe jumla yeye alikomaa na mkopo ..kwa sawadogo vilevile alipewa taarifa zote kuwa sawadogo hayuko fit ila ktk kupiga deal wakamleta
Inawezekana hayupo ukurasa mmoja na Mo kwa hiyo labda anataka kumkatika tamaa mwekezaji maana hizi pesa za sajili halafu acha zinaondoka kizembe sana. Kila dirisha timu inaacha wachezaji 10 halafu first 11 haibadiliki
 
Inawezekana hayupo ukurasa mmoja na Mo kwa hiyo labda anataka kumkatika tamaa mwekezaji maana hizi pesa za sajili halafu acha zinaondoka kizembe sana. Kila dirisha timu inaacha wachezaji 10 halafu first 11 haibadiliki
Hapana Mo ni Muhene na Muhene ni Mo ..tatizo muhene anampiga Mo kwa style ya kuaminiwa hii ni mbaya sana ..na kingine Mo bado hajamuamini sana CEO .na ndio maana CEO wa simba kuna mambo humuoni akihusika
 
Hapana Mo ni Muhene na Muhene ni Mo ..tatizo muhene anampiga Mo kwa style ya kuaminiwa hii ni mbaya sana ..na kingine Mo bado hajamuamini sana CEO .na ndio maana CEO wa simba kuna mambo humuoni akihusika
Hapo kwenye CEO ndiyo tatizo kubwa. Kama Mwenyekiti wa Bodi aliyemuweka mwenyewe anafanya mambo kinyume chake, alihitaji mtu wa kupambana naye na kujua mambo yanayoendelea ndani bila yeye binafsi kuingilia kati. Ni kama anakosa mtu wa namna hiyo.
 
Hapo kwenye CEO ndiyo tatizo kubwa. Kama Mwenyekiti wa Bodi aliyemuweka mwenyewe anafanya mambo kinyume chake, alihitaji mtu wa kupambana naye na kujua mambo yanayoendelea ndani bila yeye binafsi kuingilia kati. Ni kama anakosa mtu wa namna hiyo.
Mambo gani yasiyoeleweka? CEO na Muhene na hata Mangungu wanafanya vile Tajiri anataka na ndio maana huoni akimtoa Muhene wala kumfanyia Zengwe Mwenyekiti, Wote kwa pamoja wako sawa ktk malengo yao ..ni Nyie mashabiki ndio hamjui

Kwani si kulikua na mkutano mkuu hapa juzi kati, kuna aliyejaribu kuwagusa hao ? Hahahaha
 
Mambo gani yasiyoeleweka? CEO na Muhene na hata Mangungu wanafanya vile Tajiri anataka na ndio maana huoni akimtoa Muhene wala kumfanyia Zengwe Mwenyekiti, Wote kwa pamoja wako sawa ktk malengo yao ..ni Nyie mashabiki ndio hamjui

Kwani si kulikua na mkutano mkuu hapa juzi kati, kuna aliyejaribu kuwagusa hao ? Hahahaha
Daah kazi ipo. Kwa hiyo anawaacha wale kwa urefu wa kamba zao ili mradi tu maslahi yake yalindwe
 
Huyu ni mchezaji mwingine ambaye msimu ukiisha ataachwa katika mazingira ya kutatanisha halafu ukamkuta upande wa pili anakiwasha. Hii ni story inayojirudia ya Moses Phiri, tulikuwa tunaambiwa hajapona hajapona, mara amepona ila ni maamuzi ya mwalimu kumtumia, mwisho wa siku mchezaji mwenyewe anaona huu ni upuuzi anaonyesha dalili za kutojali maana hata juhudi zake bado hazimpi namba tena, mara anakuja kuachwa. Kuna tatizo kubwa sehemu pale Simba ila hatutaki kulisema.
Kuna kitu nilikisema katika uzi huu naona kinaenda kutimia. Hivi kwa nini Kramo anaachwa wakati klabu imemhudumia msimu mzima ikiwemo mshahara na ni kama alishapona kitambo tu.

Unamuacha mchezaji ambaye ni kama ameshazoea mazingira ya klabu na nchi pamoja na kwamba hajacheza unaenda kujaribu wachezaji wapya kabisa ambao hauna uhakika na watakachokuja kukupa.

Kuna mahali Simba isipoparekebisha tutaendelea kukwama.
 
Kuna kitu nilikisema katika uzi huu naona kinaenda kutimia. Hivi kwa nini Kramo anaachwa wakati klabu imemhudumia msimu mzima ikiwemo mshahara na ni kama alishapona kitambo tu.

Unamuacha mchezaji ambaye ni kama ameshazoea mazingira ya klabu na nchi pamoja na kwamba hajacheza unaenda kujaribu wachezaji wapya kabisa ambao hauna uhakika na watakachokuja kukupa.

Kuna mahali Simba isipoparekebisha tutaendelea kukwama.
Mkuu hongera sana ulikua sahihi kipindi kile, ulichokisema hatimae kimetimia
 
Mkuu hongera sana ulikua sahihi kipindi kile, ulichokisema hatimae kimetimia

Ulikua sahihi
Nilipoona tu kipindi kile jina lake wamelitoa tena "kinyemela" kwa kisingizio cha kupisha mchezaji mwingine, nikajua tu harudi tena Simba. Dalili zilikuwa wazi kwa yoyote ambaye ameshaielewa Simba ya sasa inavyokwenda.
 
Back
Top Bottom