Kuna uwezekano mkubwa Hamas ni kundi maalum la Israel lenye lengo la kutimiza Mipango ya Wazayuni hapo Palestina

Kuna uwezekano mkubwa Hamas ni kundi maalum la Israel lenye lengo la kutimiza Mipango ya Wazayuni hapo Palestina

Sasa kwani huji HAMAS ilianzishwa kwa support ya Mossad?
Hujui kuwa Netanyahu huwa anaifinance HAMAS?, Netanyahu alikiri
Lengo ni kuondoa umoja wa Wapalestina ktk kudai state yao

Sasa hivi lugha imebadilika. Tuache kudanganya watu. Hamas ilikuwa tawi la Muslim brotherhood ya Misri na muanzilishi wake sheikh Yassin alitumia nguvu Kama njia ya kulipata taifa la Palestina.
 
Sasa hivi lugha imebadilika. Tuache kudanganya watu. Hamas ilikuwa tawi la Muslim brotherhood ya Misri na muanzilishi wake sheikh Yassin alitumia nguvu Kama njia ya kulipata taifa la Palestina.
Inaelekea unadhani kuwa Inteliligence services zinafanya mambo kama Zuchu.

Mashirika ya kijasusi yanafanya jambo ili wewe uamini kuwa jambo hilo ni X lakini kumbe wao wanamaanisha Y

Hebu soma hili Gazeti la Waisrael uone wanasemaje.
 
Kwahiyo mtu anakulipa umuue ndugu yako ili yeye achukue ardhi yako na wewe unakubali? Inabidi uwe zwazwa kiwango cha SGR kukubali kumuua ndugu yako kwa faidi ya adui yako. Hii notion inawachafua zaidi HAMAS na makundi yote ya kigaidi kuliko kuwatetea.
 
Inaelekea unadhani kuwa Inteliligence services zinafanya mambo kama Zuchu.

Mashirika ya kijasusi yanafanya jambo ili wewe uamini kuwa jambo hilo ni X lakini kumbe wao wanamaanisha Y

Hebu soma hili Gazeti la Waisrael uone wanasemaje.

Kasome kwanza historia ya Hamas. Tusilazimishe uongo ukawa kweli. Lazima ujue Gaza ilikuwa Chini ya Misri kabla ya vita ya 1967. Lakini baada ya Misri kuchapwa , Gaza ikawa Chini ya Israel. Kwa hivyo Muslim brotherhood maadui wa Israel na wahusika wa mauaji ya Anwar Sadat wakaanzisha tawi lao hapo Gaza Chini ya sheikh Yassin, ambaye baadae akabadilishwa Hilo tawi kuwa Hamas.
 
Kwahiyo mtu anakulipa umuue ndugu yako ili yeye achukue ardhi yako na wewe unakubali? Inabidi uwe zwazwa kiwango cha SGR kukubali kumuua ndugu yako kwa faidi ya adui yako. Hii notion inawachafua zaidi HAMAS na makundi yote ya kigaidi kuliko kuwatetea.

Kwenye siasa hilo ni jambo dogo. Waulize wanasiasa watakuambia.
Kuua ndugu zako 10 au elfu kumi ili kuokoa mamilioni ya ndugu zako ni jambo la kawaida sana kwenye siasa
 
Kwenye siasa hilo ni jambo dogo. Waulize wanasiasa watakuambia.
Kuua ndugu zako 10 au elfu kumi ili kuokoa mamilioni ya ndugu zako ni jambo la kawaida sana kwenye siasa

Hamas anaua ndugu zake ili aokoe mamilion, doesn't make any sense.

My point is, kama HAMAS anatumika ni anatumika kwa faida ya nani? Yani wakubali kupoteza kizazi chao kwa faida ya Israel?
 
Hamas anaua ndugu zake ili aokoe mamilion, doesn't make any sense.

My point is, kama HAMAS anatumika ni anatumika kwa faida ya nani? Yani wakubali kupoteza kizazi chao kwa faida ya Israel?

Tangu Hamas imeundwa na harakati zake ni lini imefikia malengo?
Zaidi ya harakati zao kuwanufaisha Wazayuni.
Mimi siamini kama Hamas, waarabu ni wajinga kwa kiwango hicho.
 
Eti kundi la Israel msije badaye kusema Hamasi ni wajukuu wa Natanyahau 😄 lini mtatoa again jipya vichaa kweli nyie

Sasa Kama wanasaidia Israel kufikia malengo yao unataka sisi tusemeje?

Maana kufikia mwisho wa mwezi huu sio ajabu Gaza yote ikawa chini ya Wazayuni
 
Israel inapigana na Hamas, Sio Palestina.

Hamas anachofanya ni kurusha roketi sehemu zenye raia wa Palestina kama kwenye misikiti, day care za watoto, ahule, kambi za wakimbizi, n.k. ngao ya Hamas ni raia wema wa Palestina.

Ndio maana mara nyingi Israel ikiona sehemu flani ya Gaza inarusha makombora huwa inatoa notice hilo jengo watu wake watoke kabla ya kulipua, baadhi ya vyombo vya habari hawaonyeshi hizi notice kwa maksudi ili kuwachafua Israel.

kuna muda kunakuwa hakuna namna unakuta jengo linarusha makombora kibao na Hamas wanatishia raia wa Palestina hakuna kuondoka, hapo inabidi tu jengo lilipuliwe kuzuia maafa ya watu wengi upande wa Israel
, na hii ndio furaha ya Hamas kusingizia Israel inaua raia wema wa Palestina.

Kinachofanyika sasa ni kuwatoa kwa dharura wapalestina Gaza ya kaskazini wahamie kusini kwa muda na tayari mazingirs ya malazi, chakula, dawa, n.k. yameandaliwa, kaskazini ndio ngome kuu wabaki Hamas wenyewe iwe ni ile vita original zipigwe kavu bila Hamas kujificba nyuma ya raia.
Sasa kama notes zafichwa ili kuchafuliwa wao si wazi one she ili kujisafisha utawala kharam wa israhell kwao kuua ni jambo la kawaida sana hasa kuua kina mama na wa toto wasio na hatia
 
Kwema Wakuu!

Kwa jinsi mambo yalivyo ninawasiwasi mkubwa kuwa Hamas sio vile wengi tujuavyo. Wengi tunajua Hamas ni kundi la kiharakati la kupigania haki za Wapalestina ikiwemo haki za kukataa Ukoloni wa Wayahudi katika Ardhi yao. Kwa nje inaonekana hivyo lakini ukichunguza ndani unaona kitu kingine cha tofauti.

Mbinu wanazotumia Hamas haziendani na malengo na mipango yao. Mipango na malengo ya Hamas mikuu ni kuchukua ardhi yao inayokaliwa na wayahudi. Kutetea haki za Wapalestina dhidi ya Wayahudi. Kumbuka haki namba moja ya mwanadamu ni Haki ya kuishi.

Katika mikakati na harakati za kupambana na Wayahudi ni lazima walinde Haki ya Wapalestina, ndugu zao hasa haki kuu ya kuishi.

Tangu kundi hili lianzishwe hakuna mafanikio yoyote yaliyopatikana katika harakati zao. Zaidi ninaona kama ndio wanawasaidia Wayahudi kutimiza malengo yao.

Ukiangalia tukio la 7 October, Kwa jicho la ndani utagundua pasi na shaka kuwa lile tukio ni mpango wa Wazayuni kuendelea kutimiza mipango yao ovu ya kuchukua na kudhorotesha haki za Wapalestina.

Naamini kwa asilimia 90% kuwa Hamas ni kundi la Kizayuni. Ingawaje wengine watabisha lakini kama wakitumia jicho la ndani watagundua kile nikisemacho.

Yaani Hamas waliowaarabu wanajua kabisa wakianzisha vita na Wayahudi zama za leo watashindwa, na watasababisha madhara makubwa kwenye jamii na nchi yao alafu waanzishe vita. Sidhani kama Wapalestina ni wajinga kwa kiwango hicho. Hata wanyama hawawezi kuanzisha vita wanaojua kabisa watashindwa na kusababisha maafa kwa familia zao.

Hamas ni kundi maalum lililoanzishwa na Wazayuni. Kutokana na namna wanavyojaribu kupambana.

Mbinu wanazotumia zitumia zote zimelenga kuwadhuru wao wenyewe kwa asilimia 100% hivi kweli hapo huoni kuna tatizo.

Iran yupo Smart. Anajua kabisa yeye kwa muda huu bado hana uwezo wa kupambana na Wayahudi na Magharibi. Hivyo hatakuwa tayari kuanzisha kile ambacho hataweza kukimaliza na ambacho kitamdhuru yeye mwenyewe na kumrudisha nyuma miaka mia.

Poleni sana Palestina. Hamas wamewasaliti.
Great thinker ndio wataweza kuunga dotz na kukuelewa usemacho..
Na kwa kuongeza tu ndio maana hutosikia hata siku moja ISIS ikiisapoti Hamas na kinachoendelea inaelezwa wengi wanaouawa ni raia wa palestine na sio wanamgambo maana wao huchokoza kisha hujificha walikojificha....

Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom