Kuna uwezekano mkubwa Hamas ni kundi maalum la Israel lenye lengo la kutimiza Mipango ya Wazayuni hapo Palestina

Kuna uwezekano mkubwa Hamas ni kundi maalum la Israel lenye lengo la kutimiza Mipango ya Wazayuni hapo Palestina

Mnatuambia kuwa akina Netanyahu ni Wayahudi fake.
Kitabu chenu(Qur'an) kitakatifu kinasema" Kiyama hakitakuja hadi Pale Waislamu watakapowapiga Wayahudi na hadi Mawe yatasema"huyu hapa myahudi, njoo umuue".

Unabii Uishi na lazima Utimie. So, Mimi Coconut head nataka kujua, ikiwa hawa Wayahudi waliopo hapo Mashariki ya kati ni fake, kuna haja ya kutegemee siku za mwisho kuibuka kwa Wayahudi Original ambao watapigwa na waislamu ili kutimiza Unabii wa Kitabu Chenu?.
Kwamba mwisho ukikaribia, kuna wayahudi Org( sijui ni wamakonde, waigbo, etc) watajitokeza nakujitangaza kuwa wao ni Wayahudi na kuanza kuuawa na waislamu ili kutimiza Unabii huu wa Qur'an.

FaizaFoxy ,zitto junior Missile of the Nation
 

Attachments

  • Screenshot_20231106-101727-edit-20231109194516.jpg
    Screenshot_20231106-101727-edit-20231109194516.jpg
    80.1 KB · Views: 5
Israel inakuzwa sana ila mataifa ya magharibi na America yakiondoa mkono wake apo inafutwa kwenye ramani ya dunia .
 
Kwema Wakuu!

Kwa jinsi mambo yalivyo ninawasiwasi mkubwa kuwa Hamas sio vile wengi tujuavyo. Wengi tunajua Hamas ni kundi la kiharakati la kupigania haki za Wapalestina ikiwemo haki za kukataa Ukoloni wa Wayahudi katika Ardhi yao. Kwa nje inaonekana hivyo lakini ukichunguza ndani unaona kitu kingine cha tofauti.

Mbinu wanazotumia Hamas haziendani na malengo na mipango yao. Mipango na malengo ya Hamas mikuu ni kuchukua ardhi yao inayokaliwa na wayahudi. Kutetea haki za Wapalestina dhidi ya Wayahudi. Kumbuka haki namba moja ya mwanadamu ni Haki ya kuishi.

Katika mikakati na harakati za kupambana na Wayahudi ni lazima walinde Haki ya Wapalestina, ndugu zao hasa haki kuu ya kuishi.

Tangu kundi hili lianzishwe hakuna mafanikio yoyote yaliyopatikana katika harakati zao. Zaidi ninaona kama ndio wanawasaidia Wayahudi kutimiza malengo yao.

Ukiangalia tukio la 7 October, Kwa jicho la ndani utagundua pasi na shaka kuwa lile tukio ni mpango wa Wazayuni kuendelea kutimiza mipango yao ovu ya kuchukua na kudhorotesha haki za Wapalestina.

Naamini kwa asilimia 90% kuwa Hamas ni kundi la Kizayuni. Ingawaje wengine watabisha lakini kama wakitumia jicho la ndani watagundua kile nikisemacho.

Yaani Hamas waliowaarabu wanajua kabisa wakianzisha vita na Wayahudi zama za leo watashindwa, na watasababisha madhara makubwa kwenye jamii na nchi yao alafu waanzishe vita. Sidhani kama Wapalestina ni wajinga kwa kiwango hicho. Hata wanyama hawawezi kuanzisha vita wanaojua kabisa watashindwa na kusababisha maafa kwa familia zao.

Hamas ni kundi maalum lililoanzishwa na Wazayuni. Kutokana na namna wanavyojaribu kupambana.

Mbinu wanazotumia zitumia zote zimelenga kuwadhuru wao wenyewe kwa asilimia 100% hivi kweli hapo huoni kuna tatizo.

Iran yupo Smart. Anajua kabisa yeye kwa muda huu bado hana uwezo wa kupambana na Wayahudi na Magharibi. Hivyo hatakuwa tayari kuanzisha kile ambacho hataweza kukimaliza na ambacho kitamdhuru yeye mwenyewe na kumrudisha nyuma miaka mia.

Poleni sana Palestina. Hamas wamewasaliti.
Jiulize nani alianzisha hicho kikundi
 
Mkuu niliwai kutaka kuandika Uzi kuhusu hii vita,inadalili za movie flani ya kihindi.

Kunakila dalili Hammas ni kundi la Israel kwa ajili ya kutafuta chokochoko Gaza ili watu wapate sababu ya kukamata maeneo(expansionism)

Ila kwa kua Ile dini yetu inaamini Kila anaetaja Allah akbal ni WA kwetu,wanaingizwa mkenge
 
Israel inakuzwa sana ila mataifa ya magharibi na America yakiondoa mkono wake apo inafutwa kwenye ramani ya dunia .

Hujui usa ni israel na israel ni usa. Sasa sijui huko unakokusema kutatimia lini.
 
Kwema Wakuu!

Kwa jinsi mambo yalivyo ninawasiwasi mkubwa kuwa Hamas sio vile wengi tujuavyo. Wengi tunajua Hamas ni kundi la kiharakati la kupigania haki za Wapalestina ikiwemo haki za kukataa Ukoloni wa Wayahudi katika Ardhi yao. Kwa nje inaonekana hivyo lakini ukichunguza ndani unaona kitu kingine cha tofauti.

Mbinu wanazotumia Hamas haziendani na malengo na mipango yao. Mipango na malengo ya Hamas mikuu ni kuchukua ardhi yao inayokaliwa na wayahudi. Kutetea haki za Wapalestina dhidi ya Wayahudi. Kumbuka haki namba moja ya mwanadamu ni Haki ya kuishi.

Katika mikakati na harakati za kupambana na Wayahudi ni lazima walinde Haki ya Wapalestina, ndugu zao hasa haki kuu ya kuishi.

Tangu kundi hili lianzishwe hakuna mafanikio yoyote yaliyopatikana katika harakati zao. Zaidi ninaona kama ndio wanawasaidia Wayahudi kutimiza malengo yao.

Ukiangalia tukio la 7 October, Kwa jicho la ndani utagundua pasi na shaka kuwa lile tukio ni mpango wa Wazayuni kuendelea kutimiza mipango yao ovu ya kuchukua na kudhorotesha haki za Wapalestina.

Naamini kwa asilimia 90% kuwa Hamas ni kundi la Kizayuni. Ingawaje wengine watabisha lakini kama wakitumia jicho la ndani watagundua kile nikisemacho.

Yaani Hamas waliowaarabu wanajua kabisa wakianzisha vita na Wayahudi zama za leo watashindwa, na watasababisha madhara makubwa kwenye jamii na nchi yao alafu waanzishe vita. Sidhani kama Wapalestina ni wajinga kwa kiwango hicho. Hata wanyama hawawezi kuanzisha vita wanaojua kabisa watashindwa na kusababisha maafa kwa familia zao.

Hamas ni kundi maalum lililoanzishwa na Wazayuni. Kutokana na namna wanavyojaribu kupambana.

Mbinu wanazotumia zitumia zote zimelenga kuwadhuru wao wenyewe kwa asilimia 100% hivi kweli hapo huoni kuna tatizo.

Iran yupo Smart. Anajua kabisa yeye kwa muda huu bado hana uwezo wa kupambana na Wayahudi na Magharibi. Hivyo hatakuwa tayari kuanzisha kile ambacho hataweza kukimaliza na ambacho kitamdhuru yeye mwenyewe na kumrudisha nyuma miaka mia.

Poleni sana Palestina. Hamas wamewasaliti.
Ushahidi wa 90% umeutoa wapi?

No research, no right to speak!!
 
Back
Top Bottom