let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Mnatuambia kuwa akina Netanyahu ni Wayahudi fake.
Kitabu chenu(Qur'an) kitakatifu kinasema" Kiyama hakitakuja hadi Pale Waislamu watakapowapiga Wayahudi na hadi Mawe yatasema"huyu hapa myahudi, njoo umuue".
Unabii Uishi na lazima Utimie. So, Mimi Coconut head nataka kujua, ikiwa hawa Wayahudi waliopo hapo Mashariki ya kati ni fake, kuna haja ya kutegemee siku za mwisho kuibuka kwa Wayahudi Original ambao watapigwa na waislamu ili kutimiza Unabii wa Kitabu Chenu?.
Kwamba mwisho ukikaribia, kuna wayahudi Org( sijui ni wamakonde, waigbo, etc) watajitokeza nakujitangaza kuwa wao ni Wayahudi na kuanza kuuawa na waislamu ili kutimiza Unabii huu wa Qur'an.
FaizaFoxy ,zitto junior Missile of the Nation
Kitabu chenu(Qur'an) kitakatifu kinasema" Kiyama hakitakuja hadi Pale Waislamu watakapowapiga Wayahudi na hadi Mawe yatasema"huyu hapa myahudi, njoo umuue".
Unabii Uishi na lazima Utimie. So, Mimi Coconut head nataka kujua, ikiwa hawa Wayahudi waliopo hapo Mashariki ya kati ni fake, kuna haja ya kutegemee siku za mwisho kuibuka kwa Wayahudi Original ambao watapigwa na waislamu ili kutimiza Unabii wa Kitabu Chenu?.
Kwamba mwisho ukikaribia, kuna wayahudi Org( sijui ni wamakonde, waigbo, etc) watajitokeza nakujitangaza kuwa wao ni Wayahudi na kuanza kuuawa na waislamu ili kutimiza Unabii huu wa Qur'an.
FaizaFoxy ,zitto junior Missile of the Nation