Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Haki ya mungu 😂😂😂
Na wameshasema kwamba walitaka Lissu awe anamtukana bw.John.Maneno ya Ntobi wa Shinyanga.Happy New year Wakuu!
Bado sina uhakika lakini uelekeo ni kuwa yawezekana kabisa Lisu na Magufuli walijikuta kwenye vita kubwa ya kupiganishwa pasipo ya wao kujua...
Na wameshasema kwamba walitaka Lissu awe anamtukana bw.John.Maneno ya Ntobi wa Shinyanga.
Lissu awe makini.Asitumike kama msukule.Aiseeh! Noma Sana
Lissu awe makini.Asitumike kama msukule.
Huyo Lissu wenu mnampenda lakini ni mwendawazimu anahitajika awe mirembe ndio anagombana na kila mtu.
Babu Tale: Didy akatuita chumbani kwakeHuyo Lissu wenu mnampenda lakini ni mwendawazimu anahitajika awe mirembe ndio anagombana na kila mtu.
Babu Tale: Didy akatuita chumbani kwake
Lissu hacheki na wowote.
Wapi na lini Lissu alimtukana Magufuli? Wapumbavu kukosoa mnaita kutukana.lisu anajuta sana why alimtukana jpm saivi anatamani kurud CCM ila wakina ngosha hawawezzi kumuelewa.
atapiga tarumbetaa weee dakika zanjionii
ataishia Act wazalendo then atafunga mdomo