Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Watalazimishwa kukubaliNatamani Tanzania tupate hata harufu ya demokrasia ya Kenya japo CCM hawezi kukubali hilo.
na nani?Watalazimishwa kukubali
Wananchi na jumuiya ya kimataifa.na nani?
Huku sisi unashinda kwa utofauti wa kura million 2.Natamani Tanzania tupate hata harufu ya demokrasia ya Kenya japo CCM hawezi kukubali hilo.
Pamoja na mapungufu katika Tume,but Kenya wapo vizuri.Natamani Tanzania tupate hata harufu ya demokrasia ya Kenya japo CCM hawezi kukubali hilo.
Mkuu naomba kuelimishwa. Mahakama ikifuta ushindi wa Ruto uchaguz utarudiwa? Na ukirudiwa SI itakuwa ghali hela watatoa wapi wakati hata unga tu wa mahindi wakenya wengi hawawezi kununua Hadi serikali iwapige tafu.Ukisoma maoni ya Wakenya katika video hiyo sio team Kenya Kwanza wala team Azimio wote wamesikitika.Vilevile,ukifuatilia mijadala mingi ya watubalimbali huko Kenya inaonekana kuna shida kwenye Tume ya Uchaguzi.
Democrasia ni gharama. Inabidi wakubaliMkuu naomba kuelimisha. Mahakama ikifuta ushindi wa Ruto uchaguz utarudiwa? Na ukirudiwa SI itakuwa ghali hela waratoa wapi wakati hata unga tu wa mahindi wakenya wengi hawawezi kununua Hadi serikali iwapife tafu.
Nani amekuambia kenya haina pesa?Mkuu naomba kuelimisha. Mahakama ikifuta ushindi wa Ruto uchaguz utarudiwa? Na ukirudiwa SI itakuwa ghali hela waratoa wapi wakati hata unga tu wa mahindi wakenya wengi hawawezi kununua Hadi serikali iwapife tafu.
Na ukihoji, mahakamani na kushinda kesi yako inawekwa kama kumbukukumbu kabatini.Huku sisi unashinda kwa utofauti wa kura million 2.
Wananchi na jumuiya ya kimataifa.
Jecha Salum Jechana nani?