Kuna uwezekano mkubwa miradi ya SGR na Stieglers' Gorge isikamilike

Kuna uwezekano mkubwa miradi ya SGR na Stieglers' Gorge isikamilike

Tusitafute excuses, tatazo la Tz ni kuwapa madaraka watu wasio na weledi wala huruma kwa wananchi.
We jiulize tumepoteza kiasi gani cha pesa sababu ya UPUMBAVU na UJINGA wa kurudia uchaguzi kisa watu wanaunga juhudi, TATIZO LA TANZANIA NI CCM hakuna kingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani wakati Nyalandu alipo toka CCM kuhamia Chadema uchaguzi haukufanyika.
 
Nje kidogo ya mada....Nilisafiri toka kampeni 2015 Anaejua hivi tushafika uchumi wa kati au tunakaribia?
 
Mkuu Gambino, tumeishajiandaa kwa yote, hili likitokea miradi hiyo kusimama kutokana na Corona, hiyo hali kisheria inaitwa force majeure, hivyo kitakacho fuata, ni kumuongezea muda wa kutosha rais Magufuli hadi akamilishe.

P
Na tayari 3.3 billion zimekwisha letwa na Denmark kwa ajili ya SGR na ipo pesa njiani kwa ajili ya Stiglers.
 
When one door is closed the other is opened.

Miradi itaendelea labda litokee lingine.

Historia inaonesha hakuna calamity ya endemic iliyomaliza mwaka mmoja bila kutulia.

Umeandika kiushabiki kama vile unafurahi hiyo miradi isipokamilika.

Miradi itakamilika na utaendelea kuuguza majeraha ya moyo huku upo ndani ya SGR.

Umeniaminisha wachawi wengi Tanzania.
Kwanza hakuna mahala nimesema napenda miradi isiishe. Rudia kusoma.

Pili, hiyo endemic unayosema historia inasema ni ipi hiyo iliyoikumba Dunia yote? Magonjwa yametokea ila yalikua yakiathiri nchi moja au eneo flani na sio Dunia nzima. Na pia hata hivyo miaka hiyo hata kama ilitokea Dunia haikua interconnected kama sasa.

Wachumi wanasema hii ni zaidi ya 2018 financial crisis au zaidi ya great economic depression ya 1929 wewe unasema haitachukua mwaka mmoja, hizi akili watu mnazitoa wapi? Hamkwenda shule?

Tatu, hizi least developed countries kama Tanzania hakuna vyanzo vipya vya pesa zaidi ya kodi, mikopo na misaada. Kodi yenyewe inatoka kwenye mfumo wa sekta binafsi dhaifu ambayo ikipata msuko suko hakuna mbadala zaidi ya mikopo na misaada, kutembeza bakuli na kuwalamba mabeberu makalio. Sasa hakuna beberu atakaekula hela ukajenge miradi kama hiyo, hapo watapata sababu ya kukubana, pia huwezi kujenga hiyo miradi huku watu wanakufa njaa, hakuna madawa, haluna vifaa tiba wala miundombinu muhimu. Mfumo wa sekta binafsi nchi hii ulishajifia kabla hata ya corona, sasa utazikwa tu.

Kama tunaomba tuendelee kuomba hali isiwe mbaya kama inavyotabiriwa, ikiwa hivyo huku kwetu hali itakua mbaya zaidi.
 
Hizi nchi zetu masikini ikitokea changamoto kidogo ni shida kubwa sana.

Tanzania inategemea mapato ya utalii kwa zaidi ya 25%. Utalii mwaka huu ni kama umekufa kabisa kama sio uko chini ya 2%. Hasa kipindi hiki cha March hadi June hua kuna watalii wengi sana nchi hii, ila sababu ya corona kila mtu anajua kinachoendelea.

Maana yake ni kua mapato ya utalii tumeyakosa na hata mwaka wa 2020/2021 ni vigumu kuyapata kwa sababu nchi karibu zote Duniani zimeathirika na chumi nyingi Duniani zitaporomoka. Kama kutakua na watalii ni wachache sana.

Kwa miezi 9 ya mwaa huu wa fedha TRA wamekusanya 10.9 Trillion ila tegemea robo ya mwaka huu, yaani March-June makusanyo kua madogo sana kwa sababu hakuna biashara, wafanyabiashara wengi wanaomba kufunga na mambo yameharibika. Hivyo mwaka huu tu ni changamoto kubwa. Kitakachopatikana chote kitaishia kwenye matumizi.

Kutokana na uchumi kuvurugika serikali italazimika kukopa zaidi na hiyo mikopo haitakua ya maendeleo, itakua ya matumizi kwa sababu hata makusanyo ya matumizi itakua ni changamoto. Serikali italazimika kuachana na miradi yake mikubwa ili kugharimia matumizi ya kawaida na ya lazima.

Kws mtazamo wangu, serikali italazimika kukopa ma moja ya masharti ili ipewe mkopo ni kuachana na miradi kama SGR na Stieglers. Ikitokea hivyo ujue mradi ndio utakufa au utachukua mida mrefu kukamilika. Naona yunaelekea huko.

Binafsi naunga mkono miradi kama Stieglers na SGR ila naona kuna uwezekano mkubwa sana corona kutia mchanga kitumbua chetu na kuturudisha nyuma kama sio kutumaliza kabisa.

Itakapotokea tukaweka nchi kwenye lock down ndio itakua mwisho ya hiyo miradi na mbaya zaidi uchumi hautakuja kuka vizuri hivi karibuni. Madhara ya corona kiuchumi yanaweza kuja kukaa vizuri baada ya miaka kadhaa mbele.

Hata wahisani wetu wa maendeleo sina hakika kama watatoa hela maana wao ndio wameathirika zaidi. Njia pekee itakua ni mikopo na mikopo hiyo itakua ni eitha WB au IMF, tegemea masharti ya kuachana na miradi kama hii.

Tusubiri tuone itakuaje.
Miaka 5 hata moro haijafika means mwanza na kigoma si chini ya miaka 20 sijui Safari hii ccm watapigia kampeni nn hakuna mradi wa kukamilika ndani ya miaka 10 ijayo
 
Mkuu Gambino, tumeishajiandaa kwa yote, hili likitokea miradi hiyo kusimama kutokana na Corona, hiyo hali kisheria inaitwa force majeure, hivyo kitakacho fuata, ni kumuongezea muda wa kutosha rais Magufuli hadi akamilishe.

P
What do you mean. Atakuwa huko site mwenyewe akijenga kipindi chote hadi kwisha.
 
Kwanza hakuna mahala nimesema napenda miradi isiishe. Rudia kusoma.

Pili, hiyo endemic unayosema historia inasema ni ipi hiyo iliyoikumba Dunia yote? Magonjwa yametokea ila yalikua yakiathiri nchi moja au eneo flani na sio Dunia nzima. Na pia hata hivyo miaka hiyo hata kama ilitokea Dunia haikua interconnected kama sasa.

Wachumi wanasema hii ni zaidi ya 2018 financial crisis au zaidi ya great economic depression ya 1929 wewe unasema haitachukua mwaka mmoja, hizi akili watu mnazitoa wapi? Hamkwenda shule?

Tatu, hizi least developed countries kama Tanzania hakuna vyanzo vipya vya pesa zaidi ya kodi, mikopo na misaada. Kodi yenyewe inatoka kwenye mfumo wa sekta binafsi dhaifu ambayo ikipata msuko suko hakuna mbadala zaidi ya mikopo na misaada, kutembeza bakuli na kuwalamba mabeberu makalio. Sasa hakuna beberu atakaekula hela ukajenge miradi kama hiyo, hapo watapata sababu ya kukubana, pia huwezi kujenga hiyo miradi huku watu wanakufa njaa, hakuna madawa, haluna vifaa tiba wala miundombinu muhimu. Mfumo wa sekta binafsi nchi hii ulishajifia kabla hata ya corona, sasa utazikwa tu.

Kama tunaomba tuendelee kuomba hali isiwe mbaya kama inavyotabiriwa, ikiwa hivyo huku kwetu hali itakua mbaya zaidi.
Si lazima useme hivyo. Wachawi mnajulikama kwa kuficha ficha mambo hata maneno mnaficha ficha hamui wawazi.

Endemic au pandemic doesn't matter. Yeyote upendavyo itumie, makes no different wakati wewe umeli localize hilo janga kwenye SGR na Steigler pekee lakini hujagusia migodi ya Twiga.

Pia umesahau kuwa juzi tu SCB wame "negotiate" kwa niaba ya serikali na kufanikisha financing ya mradi ws SGR mpaka unapoishia phase ya pili.

Sasa hivi watu wapo kwenye maandalizi ya kupata fedha za kuanza phase ya tatu na kuendelea, uko wapi wewe, umelala?
 
Miaka 5 hata moro haijafika means mwanza na kigoma si chini ya miaka 20 sijui Safari hii ccm watapigia kampeni nn hakuna mradi wa kukamilika ndani ya miaka 10 ijayo
Kampuni tofauti zinaweza kupewa kilometres 200 ,200 au vipande e.g. Dodoma tabora, mwingine tabora-Shinyanga, Shinyanga -Mza
 
Usiwe na wasiwasi. Kuna mpamngo wa maombi ya kitaifa hii miradi ikamilike!
 
Hizi nchi zetu masikini ikitokea changamoto kidogo ni shida kubwa sana.

Tanzania inategemea mapato ya utalii kwa zaidi ya 25%. Utalii mwaka huu ni kama umekufa kabisa kama sio uko chini ya 2%. Hasa kipindi hiki cha March hadi June hua kuna watalii wengi sana nchi hii, ila sababu ya corona kila mtu anajua kinachoendelea.

Maana yake ni kua mapato ya utalii tumeyakosa na hata mwaka wa 2020/2021 ni vigumu kuyapata kwa sababu nchi karibu zote Duniani zimeathirika na chumi nyingi Duniani zitaporomoka. Kama kutakua na watalii ni wachache sana.

Kwa miezi 9 ya mwaa huu wa fedha TRA wamekusanya 10.9 Trillion ila tegemea robo ya mwaka huu, yaani March-June makusanyo kua madogo sana kwa sababu hakuna biashara, wafanyabiashara wengi wanaomba kufunga na mambo yameharibika. Hivyo mwaka huu tu ni changamoto kubwa. Kitakachopatikana chote kitaishia kwenye matumizi.

Kutokana na uchumi kuvurugika serikali italazimika kukopa zaidi na hiyo mikopo haitakua ya maendeleo, itakua ya matumizi kwa sababu hata makusanyo ya matumizi itakua ni changamoto. Serikali italazimika kuachana na miradi yake mikubwa ili kugharimia matumizi ya kawaida na ya lazima.

Kws mtazamo wangu, serikali italazimika kukopa ma moja ya masharti ili ipewe mkopo ni kuachana na miradi kama SGR na Stieglers. Ikitokea hivyo ujue mradi ndio utakufa au utachukua mida mrefu kukamilika. Naona yunaelekea huko.

Binafsi naunga mkono miradi kama Stieglers na SGR ila naona kuna uwezekano mkubwa sana corona kutia mchanga kitumbua chetu na kuturudisha nyuma kama sio kutumaliza kabisa.

Itakapotokea tukaweka nchi kwenye lock down ndio itakua mwisho ya hiyo miradi na mbaya zaidi uchumi hautakuja kuka vizuri hivi karibuni. Madhara ya corona kiuchumi yanaweza kuja kukaa vizuri baada ya miaka kadhaa mbele.

Hata wahisani wetu wa maendeleo sina hakika kama watatoa hela maana wao ndio wameathirika zaidi. Njia pekee itakua ni mikopo na mikopo hiyo itakua ni eitha WB au IMF, tegemea masharti ya kuachana na miradi kama hii.

Tusubiri tuone itakuaje.
Safii
 
Am obsessed with grannies. Please tell me what can I do to win your heart. I promise you i will give you all you want. Please come we start a family
Andika Kiswahili sijakuelewa. Lakini kama unanitongoza weka bandiko lako kule MMU hapa unaharibu mada.

Heshimu nyuzi za watu, au huna mama wewe? Unaijuwa maana ya heshima?
 
AndikamKiswwhili sijakuelewa. Lakini kama unanitongoza weka banriko lako like MMu hapa yanaharibu mada.

Heshimu nyuzi za watu, au huna mama wewe? Unaijuwa maana ya heshima?
Forgive me but know am interested
 
When one door is closed the other is opened.

Miradi itaendelea labda litokee lingine.

Historia inaonesha hakuna calamity ya endemic/pandemic iliyomaliza mwaka mmoja bila kutulia.

Umeandika kiushabiki kama vile unafurahi hiyo miradi isipokamilika.

Miradi itakamilika na utaendelea kuuguza majeraha ya moyo huku upo ndani ya SGR.

Umeniaminisha wachawi wengi Tanzania.

As long as miradi inayofanyika sio chukizo mbele za Mungu na hakika kuwa itakamilika tu hata kama sio kwa wakati..
 
Back
Top Bottom