Kuna uwezekano mkubwa miradi ya SGR na Stieglers' Gorge isikamilike

Kuna uwezekano mkubwa miradi ya SGR na Stieglers' Gorge isikamilike

Afe kipa afe beki miradi itakamilika. Hii miradi ni sawa na garimoshi lisilo na gia ya reverse wala breki
 
Hiyo miradi iliishaonekana White Elephants toka mwanzo na hii hali itakuwa imekuwa tu ni a blessing in disguise.

Huwezi ukaanzisha miradi ya nchi kwa mapenzi yako mwenyewe bila kuzingatia the economic viability zake ili tu kujitafutia cheap popularity.

Mdololo ujao unaweza kuwa another opportunity kwa wafadhili kuibada hii serikali iweze kuheshimu haki za binadamu na kuanzisha mchakato wa katiba mpya.

When you elect a clown, expect a circus!
 
.
IMG_20200419_215506.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Neither SGR nor Stigler's gorge will stop.

Corona haitochukua mda itakwisha na mambo yataendelea kama kawaida cha msingi watanzania tujikinge na tuendelee kuchape kazi.
Hebu waulize waliopo Rufiji wakuambie kinachoendelea. Barabara zimeharibika baada ya mafuriko ya mto Rufiji. Gari za mzigo hazingii wala kutoka.

Pengine Jiwe angekuwa na akili kidogo tu angejiuliza kwa nini watangulizi wake wote hawakujenga hiyo STIGLERS.
 
Nafahamu tatizo linakuwa kwako kwa sababu Kingereza si lugha fasaha kwako na bado upo katika kutafuta kukielewa, unachofanya ni kutafsiri neno kwa neno. Tofauti na mimi ambae mpaka ndoto nnaota Kwa Kingereza na ni lugha nnayoitumia sana kwa sasa kuliko Kiswahili. Nnapokitumia huwa sifikiri kutafsiri neno kwa neno.


mfano nikikwambia tardiness is endemic in our company. Does it mean company zingine hakuna tatizo la tardiness? Fikiri.
Yani wabongo ndo hapo tunapokosea hasa kwenye kujidai wajuaji kumbe madudu tu.
Umezingua inatakiwa ukubali . Dunia nzima Kuna COVID 19 pandemic. Kuna waalimu wanafundisha shule lakini nao wanazidiwa na wanafunzi wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo miradi iliishaonekana White Elephants toka mwanzo na hii hali itakuwa imekuwa tu ni a blessing in disguise.

Huwezi ukaanzisha miradi ya nchi kwa mapenzi yako mwenyewe bila kuzingatia the economic viability zake ili tu kujitafutia cheap popularity.

Mdololo ujao unaweza kuwa another opportunity kwa wafadhili kuibada hii serikali iweze kuheshimu haki za binadamu na kuanzisha mchakato wa katiba mpya.
Omba omba Hana chaguzi.Tutegemee kutii masharti ili tupate misaada kwa mabeberu tunaowananga.Beberu huwa Hana haraka utarukaruka we at the end utakuja tu.
Waweza ambiwa ili nikupe msaada mpige chini bashite Sasa hapo ni pa tamu kukiuka masharti
 
Corona hapa inasingiziwa tu. Hata kusingekuwa na corona, hiyo miradi isingekamilika hata ndani ya miaka 20. Mtu kwa kutumia ubabe ame-dismantle business sector, atapata wapi mapato ya ku-finance hiyo miradi? Aishukuru corona maana imempa kisingizio.
Na si ajabu amewatuma nyie wapambe wake ili hiki kisingizio kianze kutangazwa kwa nguvu ili wadanganyika wadanganyike na kuamini hizo propaganda.
Mafuriko na Corona vimekuja kumaliza kujimwambafy sijui ccm watashikia nn wangewaongezea mishahara polisi pekee maana ndio ndugu zao kwenye shida
 
Tusitafute excuses, tatazo la Tz ni kuwapa madaraka watu wasio na weledi wala huruma kwa wananchi.
We jiulize tumepoteza kiasi gani cha pesa sababu ya UPUMBAVU na UJINGA wa kurudia uchaguzi kisa watu wanaunga juhudi, TATIZO LA TANZANIA NI CCM hakuna kingine

Sent using Jamii Forums mobile app
The guy is too much inner selfness cares know but only himself
 
Elezea maana ya mradi mkubwa?
Bandari ya Bagamoyo iliyoasisiwa na JK ni mfano wa miradi mikubwa?
Ujenzi wa barabara ni mfano wa miradi mikubwa?
Bomba la gesi lilioanza na JK ni mfano wa miradi mikubwa?
Ujenzi wa maabara kwa kila shule ni mfano wa miradi mikubwa?
Mradi wa maji wa ziwa Victoria ni mfano wa miradi mikubwa?
Ujenzi wa Terminal 3 Dar ni mfano wa miradi mikubwa?
Mkuu Gambino, tumeishajiandaa kwa yote, hili likitokea miradi hiyo kusimama kutokana na Corona, hiyo hali kisheria inaitwa force majeure, hivyo kitakacho fuata, ni kumuongezea muda wa kutosha rais Magufuli aendelee kusalia madarakani hadi akamilishe miradi mikubwa yote ndipo tumruhusu.

P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Gambino, tumeishajiandaa kwa yote, hili likitokea miradi hiyo kusimama kutokana na Corona, hiyo hali kisheria inaitwa force majeure, hivyo kitakacho fuata, ni kumuongezea muda wa kutosha rais Magufuli aendelee kusalia madarakani hadi akamilishe miradi mikubwa yote ndipo tumruhusu.

P
Are you serious and what you are talking?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu waulize waliopo Rufiji wakuambie kinachoendelea. Barabara zimeharibika baada ya mafuriko ya mto Rufiji. Gari za mzigo hazingii wala kutoka.

Pengine Jiwe angekuwa na akili kidogo tu angejiuliza kwa nini watangulizi wake wote hawakujenga hiyo STIGLERS.
Ndo maana juzi kati zimeshushwa Bell trucks za kutosha kwa kazi hii. Kama ni mfuatiliaji na unajua mashine za kazi za off road utakuwa unajua hii chuma inaweza kwenda wapi. Its simply one of the best Articulated Off Road Dump Trucks
 
When one door is closed the other is opened.

Miradi itaendelea labda litokee lingine.

Historia inaonesha hakuna calamity ya endemic/pandemic iliyomaliza mwaka mmoja bila kutulia.

Umeandika kiushabiki kama vile unafurahi hiyo miradi isipokamilika.

Miradi itakamilika na utaendelea kuuguza majeraha ya moyo huku upo ndani ya SGR.

Umeniaminisha wachawi wengi Tanzania.
mama leo nimekuelewa sana.hana adabu huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana juzi kati zimeshushwa Bell trucks za kutosha kwa kazi hii. Kama ni mfuatiliaji na unajua mashine za kazi za off road utakuwa unajua hii chuma inaweza kwenda wapi. Its simply one of the best Articulated Off Road Dump Trucks
Yote hiyo ni fire fighting strategy. Kama Jiwe angekuwa anatumia akili kidogo tu tusingefika kwenye kuingia hizo gharama za ziada. Kila contractor anachokileta sasa hivi kumuwezesha kufanya kazi kina athari kwenye gharama ya mradi
 
Yote hiyo ni fire fighting strategy. Kama Jiwe angekuwa anatumia akili kidogo tu tusingefika kwenye kuingia hizo gharama za ziada. Kila contractor anachokileta sasa hivi kumuwezesha kufanya kazi kina athari kwenye gharama ya mradi
Sina uhakika na mradi umefika stage gani na kama mkandarasi hapaswi kuendelea kuleta vifaa kadri mahitaji yanavoongezeka. Unavoongea ni kama as long as mkandarasi tayari yuko kazini ni kama alipaswa awe na kila kitu tayari na hatakiwi kuongeza zaidi kuendana na muda na mahitaji yanavoongezeka na unajuaje kwamba hizi gharama za kuongeza vifaa haziko covered kwenye mkataba wa awali yaani kwamba mkandarasi hakujua kuwa msimu wa mvua utakuja na ntahitaji vifaa maalum kwa msimu huo so ni calculate kwenye quotation.
 
Back
Top Bottom