Kuna uwezekano mkubwa miradi ya SGR na Stieglers' Gorge isikamilike

Kuna uwezekano mkubwa miradi ya SGR na Stieglers' Gorge isikamilike

Hizi nchi zetu masikini ikitokea changamoto kidogo ni shida kubwa sana.

Tanzania inategemea mapato ya utalii kwa zaidi ya 25%. Utalii mwaka huu ni kama umekufa kabisa kama sio uko chini ya 2%. Hasa kipindi hiki cha March hadi June hua kuna watalii wengi sana nchi hii, ila sababu ya corona kila mtu anajua kinachoendelea.

Maana yake ni kua mapato ya utalii tumeyakosa na hata mwaka wa 2020/2021 ni vigumu kuyapata kwa sababu nchi karibu zote Duniani zimeathirika na chumi nyingi Duniani zitaporomoka. Kama kutakua na watalii ni wachache sana.

Kwa miezi 9 ya mwaa huu wa fedha TRA wamekusanya 10.9 Trillion ila tegemea robo ya mwaka huu, yaani March-June makusanyo kua madogo sana kwa sababu hakuna biashara, wafanyabiashara wengi wanaomba kufunga na mambo yameharibika. Hivyo mwaka huu tu ni changamoto kubwa. Kitakachopatikana chote kitaishia kwenye matumizi.

Kutokana na uchumi kuvurugika serikali italazimika kukopa zaidi na hiyo mikopo haitakua ya maendeleo, itakua ya matumizi kwa sababu hata makusanyo ya matumizi itakua ni changamoto. Serikali italazimika kuachana na miradi yake mikubwa ili kugharimia matumizi ya kawaida na ya lazima.

Kws mtazamo wangu, serikali italazimika kukopa ma moja ya masharti ili ipewe mkopo ni kuachana na miradi kama SGR na Stieglers. Ikitokea hivyo ujue mradi ndio utakufa au utachukua mida mrefu kukamilika. Naona yunaelekea huko.

Binafsi naunga mkono miradi kama Stieglers na SGR ila naona kuna uwezekano mkubwa sana corona kutia mchanga kitumbua chetu na kuturudisha nyuma kama sio kutumaliza kabisa.

Itakapotokea tukaweka nchi kwenye lock down ndio itakua mwisho ya hiyo miradi na mbaya zaidi uchumi hautakuja kuka vizuri hivi karibuni. Madhara ya corona kiuchumi yanaweza kuja kukaa vizuri baada ya miaka kadhaa mbele.

Hata wahisani wetu wa maendeleo sina hakika kama watatoa hela maana wao ndio wameathirika zaidi. Njia pekee itakua ni mikopo na mikopo hiyo itakua ni eitha WB au IMF, tegemea masharti ya kuachana na miradi kama hii.

Tusubiri tuone itakuaje.
Pesa iliyochomwa kwenye

1) kuprocure madiwani
2)kuprocure wabunge
3)kurudia uchaguzi tata
4)kununua mapanga boi
5) kugawa pesa bila mipango barabarani

Majibu yake mtayapata kuanzia September 2020 na kuendelea


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyama havina shida, Ila vishabiki vilivyoko kwenye Vyama ndiyo matatizo mtupu, Vimeambiwa kuzomea mwanzo mwisho hata kama na vyenyewe vinaumia ndani Kwa ndani, Ila vifanye tu ilikusudi kuna boss mahali anachekelea, ingawa hata huyo boss anayevituma naye anamaumivu vilevile, Daah, sheeda kwelikweli aisee
 
Vyama havina shida, Ila vishabiki vilivyoko kwenye Vyama ndiyo matatizo mtupu, Vimeambiwa kuzomea mwanzo mwisho hata kama na vyenyewe vinaumia ndani Kwa ndani, Ila vifanye tu ilikusudi kuna boss mahali anachekelea, ingawa hata huyo boss anayevituma naye anamaumivu vilevile, Daah, sheeda kwelikweli aisee
Kweli mkuu na sasa hivi boss amejichimbia kule kijijini,tulijua baada ya Pasaka atakua amerudi hapa darila naona bado yuko mapumzikoni mkuu.
 
Ile miradi ilikufa kabla ya kuianza msiseme sijui wakuiendeleza sijui koona mlishashindwa na hamtafanikiwa isipo kuwa kwa kutubu dhambi mlizozifanya damu mlizozimwaga ma Ccm
 
When one door is closed the other is opened.

Miradi itaendelea labda litokee lingine.

Historia inaonesha hakuna calamity ya endemic/pandemic iliyomaliza mwaka mmoja bila kutulia.

Umeandika kiushabiki kama vile unafurahi hiyo miradi isipokamilika.

Miradi itakamilika na utaendelea kuuguza majeraha ya moyo huku upo ndani ya SGR.

Umeniaminisha wachawi wengi Tanzania.
Ukweli bila ya ushabiki miradi yote miwili tunahitaji tangu miaka arobaini iliyopita lakini hatukuwa na vision hiyo au sijui vipi. Tutaikamilisha kama kweli tuna nia na tumpe support aliyeanzisha.
 
Hizi nchi zetu masikini ikitokea changamoto kidogo ni shida kubwa sana.

Tanzania inategemea mapato ya utalii kwa zaidi ya 25%. Utalii mwaka huu ni kama umekufa kabisa kama sio uko chini ya 2%. Hasa kipindi hiki cha March hadi June hua kuna watalii wengi sana nchi hii, ila sababu ya corona kila mtu anajua kinachoendelea.

Maana yake ni kua mapato ya utalii tumeyakosa na hata mwaka wa 2020/2021 ni vigumu kuyapata kwa sababu nchi karibu zote Duniani zimeathirika na chumi nyingi Duniani zitaporomoka. Kama kutakua na watalii ni wachache sana.

Kwa miezi 9 ya mwaa huu wa fedha TRA wamekusanya 10.9 Trillion ila tegemea robo ya mwaka huu, yaani March-June makusanyo kua madogo sana kwa sababu hakuna biashara, wafanyabiashara wengi wanaomba kufunga na mambo yameharibika. Hivyo mwaka huu tu ni changamoto kubwa. Kitakachopatikana chote kitaishia kwenye matumizi.

Kutokana na uchumi kuvurugika serikali italazimika kukopa zaidi na hiyo mikopo haitakua ya maendeleo, itakua ya matumizi kwa sababu hata makusanyo ya matumizi itakua ni changamoto. Serikali italazimika kuachana na miradi yake mikubwa ili kugharimia matumizi ya kawaida na ya lazima.

Kws mtazamo wangu, serikali italazimika kukopa ma moja ya masharti ili ipewe mkopo ni kuachana na miradi kama SGR na Stieglers. Ikitokea hivyo ujue mradi ndio utakufa au utachukua mida mrefu kukamilika. Naona yunaelekea huko.

Binafsi naunga mkono miradi kama Stieglers na SGR ila naona kuna uwezekano mkubwa sana corona kutia mchanga kitumbua chetu na kuturudisha nyuma kama sio kutumaliza kabisa.

Itakapotokea tukaweka nchi kwenye lock down ndio itakua mwisho ya hiyo miradi na mbaya zaidi uchumi hautakuja kuka vizuri hivi karibuni. Madhara ya corona kiuchumi yanaweza kuja kukaa vizuri baada ya miaka kadhaa mbele.

Hata wahisani wetu wa maendeleo sina hakika kama watatoa hela maana wao ndio wameathirika zaidi. Njia pekee itakua ni mikopo na mikopo hiyo itakua ni eitha WB au IMF, tegemea masharti ya kuachana na miradi kama hii.

Tusubiri tuone itakuaje.

Ndugu mpaka sasa Kiuhalisia tayari hiyo Miradi imeshachelewa baada ya COVID-19 kuharibu Ratiba nzima. Ni Miujiza tu labda!
 
Wewe ni mchawi tu
Hizi nchi zetu masikini ikitokea changamoto kidogo ni shida kubwa sana.

Tanzania inategemea mapato ya utalii kwa zaidi ya 25%. Utalii mwaka huu ni kama umekufa kabisa kama sio uko chini ya 2%. Hasa kipindi hiki cha March hadi June hua kuna watalii wengi sana nchi hii, ila sababu ya corona kila mtu anajua kinachoendelea.

Maana yake ni kua mapato ya utalii tumeyakosa na hata mwaka wa 2020/2021 ni vigumu kuyapata kwa sababu nchi karibu zote Duniani zimeathirika na chumi nyingi Duniani zitaporomoka. Kama kutakua na watalii ni wachache sana.

Kwa miezi 9 ya mwaa huu wa fedha TRA wamekusanya 10.9 Trillion ila tegemea robo ya mwaka huu, yaani March-June makusanyo kua madogo sana kwa sababu hakuna biashara, wafanyabiashara wengi wanaomba kufunga na mambo yameharibika. Hivyo mwaka huu tu ni changamoto kubwa. Kitakachopatikana chote kitaishia kwenye matumizi.

Kutokana na uchumi kuvurugika serikali italazimika kukopa zaidi na hiyo mikopo haitakua ya maendeleo, itakua ya matumizi kwa sababu hata makusanyo ya matumizi itakua ni changamoto. Serikali italazimika kuachana na miradi yake mikubwa ili kugharimia matumizi ya kawaida na ya lazima.

Kws mtazamo wangu, serikali italazimika kukopa ma moja ya masharti ili ipewe mkopo ni kuachana na miradi kama SGR na Stieglers. Ikitokea hivyo ujue mradi ndio utakufa au utachukua mida mrefu kukamilika. Naona yunaelekea huko.

Binafsi naunga mkono miradi kama Stieglers na SGR ila naona kuna uwezekano mkubwa sana corona kutia mchanga kitumbua chetu na kuturudisha nyuma kama sio kutumaliza kabisa.

Itakapotokea tukaweka nchi kwenye lock down ndio itakua mwisho ya hiyo miradi na mbaya zaidi uchumi hautakuja kuka vizuri hivi karibuni. Madhara ya corona kiuchumi yanaweza kuja kukaa vizuri baada ya miaka kadhaa mbele.

Hata wahisani wetu wa maendeleo sina hakika kama watatoa hela maana wao ndio wameathirika zaidi. Njia pekee itakua ni mikopo na mikopo hiyo itakua ni eitha WB au IMF, tegemea masharti ya kuachana na miradi kama hii.

Tusubiri tuone itakuaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi nchi zetu masikini ikitokea changamoto kidogo ni shida kubwa sana.

Tanzania inategemea mapato ya utalii kwa zaidi ya 25%. Utalii mwaka huu ni kama umekufa kabisa kama sio uko chini ya 2%. Hasa kipindi hiki cha March hadi June hua kuna watalii wengi sana nchi hii, ila sababu ya corona kila mtu anajua kinachoendelea.

Maana yake ni kua mapato ya utalii tumeyakosa na hata mwaka wa 2020/2021 ni vigumu kuyapata kwa sababu nchi karibu zote Duniani zimeathirika na chumi nyingi Duniani zitaporomoka. Kama kutakua na watalii ni wachache sana.

Kwa miezi 9 ya mwaa huu wa fedha TRA wamekusanya 10.9 Trillion ila tegemea robo ya mwaka huu, yaani March-June makusanyo kua madogo sana kwa sababu hakuna biashara, wafanyabiashara wengi wanaomba kufunga na mambo yameharibika. Hivyo mwaka huu tu ni changamoto kubwa. Kitakachopatikana chote kitaishia kwenye matumizi.

Kutokana na uchumi kuvurugika serikali italazimika kukopa zaidi na hiyo mikopo haitakua ya maendeleo, itakua ya matumizi kwa sababu hata makusanyo ya matumizi itakua ni changamoto. Serikali italazimika kuachana na miradi yake mikubwa ili kugharimia matumizi ya kawaida na ya lazima.

Kws mtazamo wangu, serikali italazimika kukopa ma moja ya masharti ili ipewe mkopo ni kuachana na miradi kama SGR na Stieglers. Ikitokea hivyo ujue mradi ndio utakufa au utachukua mida mrefu kukamilika. Naona yunaelekea huko.

Binafsi naunga mkono miradi kama Stieglers na SGR ila naona kuna uwezekano mkubwa sana corona kutia mchanga kitumbua chetu na kuturudisha nyuma kama sio kutumaliza kabisa.

Itakapotokea tukaweka nchi kwenye lock down ndio itakua mwisho ya hiyo miradi na mbaya zaidi uchumi hautakuja kuka vizuri hivi karibuni. Madhara ya corona kiuchumi yanaweza kuja kukaa vizuri baada ya miaka kadhaa mbele.

Hata wahisani wetu wa maendeleo sina hakika kama watatoa hela maana wao ndio wameathirika zaidi. Njia pekee itakua ni mikopo na mikopo hiyo itakua ni eitha WB au IMF, tegemea masharti ya kuachana na miradi kama hii.

Tusubiri tuone itakuaje.
Tunaipenda hii miradi isipojuwa wale walileta mbwembwe, kejeli na ubaguzi, wakaenda mbali wakasema hakuna haja ya demokrasia wala Uhuru, kwa kuwa wameleta maendeleo,

wengi wetu tulioumizwa na hayo matendo yao tukakwazika kufikia hatua ya kuilaani na kuomba isifaninikiwe hii miradi,

Mungu ametusikia kilio chetu, hii iwe fundisho kwa watawala wenye kibri na majivuno.

Naamini Baada ya 2020uchaguzi tutapata Raisi mwingine mwenye maono, myenyekevu anayesikiliza ambaye ataifufua taratibu bila kuathri mambo mengine muhimu
 
Ndugu mpaka sasa Kiuhalisia tayari hiyo Miradi imeshachelewa baada ya COVID-19 kuharibu Ratiba nzima. Ni Miujiza tu labda!
Wewe huelewi kuwa moja ya kigezo cha kupata utakatifu ni miujiza?
 
Ukweli bila ya ushabiki miradi yote miwili tunahitaji tangu miaka arobaini iliyopita lakini hatukuwa na vision hiyo au sijui vipi. Tutaikamilisha kama kweli tuna nia na tumpe support aliyeanzisha.

Nafahamu kuwa moja ya kigezo cha utakatifu ni "vision". Wala sishangai.
 
When one door is closed the other is opened.

Miradi itaendelea labda litokee lingine.

Historia inaonesha hakuna calamity ya endemic/pandemic iliyomaliza mwaka mmoja bila kutulia.
Kwa upande wa Endemic mbona Malaria imekuwa ikisumbua sio mwaka bali miaka kusini mwa jangwa la Sahara na Latin America?
 
Neither SGR nor Stigler's gorge will stop.

Corona haitochukua mda itakwisha na mambo yataendelea kama kawaida cha msingi watanzania tujikinge na tuendelee kuchape kazi.
 
Sahihi kivipi . Mimi nachosikia ni pandemic disease. Sema wewe usahihi wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafahamu tatizo linakuwa kwako kwa sababu Kingereza si lugha fasaha kwako na bado upo katika kutafuta kukielewa, unachofanya ni kutafsiri neno kwa neno. Tofauti na mimi ambae mpaka ndoto nnaota Kwa Kingereza na ni lugha nnayoitumia sana kwa sasa kuliko Kiswahili. Nnapokitumia huwa sifikiri kutafsiri neno kwa neno.


mfano nikikwambia tardiness is endemic in our company. Does it mean company zingine hakuna tatizo la tardiness? Fikiri.
 
Back
Top Bottom