Kuna uwezekano mkubwa Rais Samia akapita bila kupingwa uchaguzi wa mwakani

Tunachotaka pesa iwepo mtaani,bajeti iwe real isiwe ya muse,na tunachotaka ni biashara ziwe imara,bei za mazao ziwe rafiki,na tunachotaka ni household income level iimarike na tunachotaka ni tukitaka kupanda ndege tusijiulize tunapata wapi pesa,na hoteli ziuze biashara na mazao yawe na bei imara,Mamishahara yapae juu na sio ulingo uwe wa maroli pekee pesa haba tafadhali poti hili lizangatiwe.Rais hata ukiwa wewe hapo as long watu wako happy not bad benga,ila kama wanafurahi wa Kizmkazi basi tutampigia magoti Allah utuwekee wepesi sababu hatujakosea hapa Tanzania ni sehemu tumezaliwa na hatuwezi kuhamia nchi za watu.
 
Rais Samia atapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.atazoa kura zote za ndio.
Madeni ya hovyo hatutaki na uwekezaji kama ule wa DP World ya akina Roy McLoy hatutaki na kuuza vitaru Ngorongoro hatutaki,na asilimia ya mgao wa Zanzibar ujadiliwe bungeni na upigiwe kura na hata hili la bajeti inapita halafu haitekelezwi inahama miaka na Miaka nalo sio credit,swala la kuleta wezi kuja kuiba pesa kupitia mikopo ya Benki nayo ni tatizo,We brother unajisikiaje unapoona parachichi zinauzwa kilogram 1 kwa kiasi cha Tsh 500, na korosho kuuzwa kwa bei ya Tsh 1000, na pia mafao ya wastaafu yanapo kuwa na vitu vya ajabu kama kitu ya uchawi inaitwa kikotoo,inakuwaje watu walete hii kitu kama kweli Kuna utawaka Bora,hata ILO Haina ujinga huu.
Brother urais hata wewe kuwa tuu lakini haya mambo ya kuwa Rais wakusifiwa kwa Miradi ya kujenga school ni maji ya kunywa hiyo ni kupigiana kelele,Maji na Barabara jukumi la serikali,wacha watu wawe na furaha,hayo mengine ni mhemuko.
 
Sawa, japo unafanya propaganda za kisiasa, kwani hakuna vile vyama 14 vya magumashi vikasimamisha wagombea wa mchongo ili ionekane kashinda kwa kuwashinda hao wagombea feki?
 
Sawa, japo unafanya propaganda za kisiasa, kwani hakuna vile vyama 14 vya magumashi vikasimamisha wagombea wa mchongo ili ionekane kashinda kwa kuwashinda hao wagombea feki?
Havina mgombea mwenye uwezo wa kushindana na RAIS Samia na wala haviwezi kuzunguka hata mkoa mmoja tu kufanya kampeni.
 
Samia mitano tena CCM DAIMA hii imeenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…