Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
Usiwalaumu wataalamu.Wataalamu genuine hawakubali uwepo wa C-19,this is an imposed agenda by the NWO,ni lazima muelewe.Wataalamu wameshasema sana lakini hawasikilizwi.Psychopaths wa NWO wameng'ng'ania tu kuendelea na agenda yao ovu kabisa kuwahi kutekelezwa kwa wanadamu.Fuata links zifuatazo uone.Wanasayansi wa tanzania ni hewa kabisa. Mlikuwa wapi muda wote huo mmekuja kujitokeza saivi mnaleta arguments zenu za isolation sijui blahblah gani
Wakati corona imepamba moto mlijificha mbali mkiomba wazungu watoe dawa mapema leo hii mnajifanya wajuaji eti ooh isolation sijui nn
Astounding COVID-19 Revelations … A Must Read! | SOTN: Alternative News, Analysis & Commentary
PCR Test Inventor Kary Mullis Tells the Truth About the Flawed COVID-19 Test | SOTN: Alternative News, Analysis & Commentary
Huu ni mpango mpana wa dunia wa kishetani ambao utatekelezwa hata kama wanadamu hawataki au Wataalamu wanaona haufai.Kwa COVID-19 utaalamu umewekwa pembeni kabisa mkuu.Let me say this,yajayo au the end game is chilling indeed. Mwisho usimuamini Mshana,aliotuletea hapa ni udaku tu.