Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
Kwetu sidhani mkuu,tumeona majirani serikali imemsaidia corona kuua raia wake,tuendelee kujikinga kwa kadiri inavyowezekana na kujiepusha kukaa kwenye misongamano,pia kama hauna issue ni bora kutulia home kama mimi ninavyofanya leo.

macson
 
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
kaka mshana naona utakuwa busy sana mwaka huu katika ofisi yako ya wafu.nahisi unatamani hata upate uhamisho italy au US.

Jr[emoji769]
 
70% ya watanzania tunaishi maisha ya ndege yaani tukishakwisha amka asubuhi hatujui leo rizki inatoka wapi .Sasa watupige hiyo LOCK DOWN si ndo watasababisha vifo vingi vya njaa kuliko ambavyo vingesababishwa na huyo covid19
 
Tutakufa na kirusi cha njaa kabla ya virus vya corona
Hivi afrika si wa hapa kwangu pakavu tia mchuzi ndio tunataka kuiga njia za kutatua tatizo wanazotumia wenzetu wenye uchumi uliosimama naona kama tunatafuta majanga zaidi

Afrika ni kubwa kuna nchi zipo kwenye lockdown ninavyotype.
 
Total lockdown ni impossible kwa mazingira yetu na viongozi wanafahamu hilo..
Solution ni kufunga biashara zote ambazo sio vital kwa survival kama maduka ya hardware ,maduka ya vyombo ,maduka ya simu n.k then waache maduka ya vyakula na maduka ya madawa tu..
Wakifanya hivyo watapunguza idadi ya watu wanaotembea tembea hovyo.
 
Tunacheza na ugonjwa huu.... njia nzuri zaidi ya kuepuka maambukizi ni social distancing.

Piga ua kama hatutaki cases zetu zifikie za nchi zingine lazima tufanye hili...kikubwa zaidi kwenye mipaka tunajitahidi ila waendeelee kukaza.
 
.
Kwetu sidhani mkuu,tumeona majirani serikali imemsaidia corona kuua raia wake,tuendelee kujikinga kwa kadiri inavyowezekana na kujiepusha kukaa kwenye misongamano,pia kama hauna issue ni bora kutulia home kama mimi ninavyofanya leo.

macson
Your browser is not able to display this video.


Jr[emoji769]
 
Serikali ikiona umuhimu wa kuboresha mwenendo wake wa awali ni sawa.

Ila tufanye taratibu ambazo shughuli za uzalishaji zitafanyika na pia ugonjwa nao utapunguzwa kuenea.

Kwani kwa inavyoonekana tunaletewa badala ya ugonjwa wenyewe kuanzia hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…