Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
Ugonjwa up watu wanaugua wanapona ,
Nahisi njia sahihi hasa kama utahisi una Tatizo toa taarifa. Ingawa ukiwa na afya njema .hautakuwa na madhara sana.

Ila kwawale watu wenye matatizo ya kiafya ni bora wakachukua hatua za zaidi wao wenyewe kabla ya hatua za serikali
 
Ugonjwa up watu wanaugua wanapona ,
Nahisi njia sahihi hasa kama utahisi una Tatizo toa taarifa. Ingawa ukiwa na afya njema .hautakuwa na madhara sana.
Ila kwawale watu wenye matatizo ya kiafya ni bora wakachukua hatua za zaidi wao wenyewe kabla ya hatua za serikali
Wananchi wangapi wakigundua wana matatizo watachukua taarifa?

Na kwa muda huo atakuwa ameambukiza wengi saana.
 
Kwa Tz ikipigwa full lockdown ni hatari, labda iwe Partial lockdown.

Wa lockdown baadhi ya miji mfano: Dar (K'Koo, Kituo cha mabasi ya kwenda mikoani pale Ubungo, mabasi ya mwendo kasi na dala dala) hali inatisha tufanye lockdown walao ya wiki tatu ili tujuwe hali alisi hiko je hapa Dar - muda huo unatosha kubaini watu wote walio ambukizwa corona bila ya wenyewe kujijuwa - lockdown ndio njia sahihi ya ku-monitor maambukizi mapya kwa karibu, sioni njia nyingine mbadala - tusichelewe kutekeleza suala hili muhimu, watanzania tuliwahi kupitia wakati mgumu tulipo pigana vita na Iddi Amini, sioni kama tunaweza kushindwa kuvumilia walao mwenzi mmoja wa lockdown, Uchina alifanya lockdown ya mji wa Huwan na jimbo zima la Hubei, Baadhi ya miji Ujerumani na Amerika wanatekeleza zoezi hilo.

Njia nyingine ni ya kudhibiti virus vya Corona ni kufanya zoezi la kupima wakazi wote wa miji mikubwa ili kujua status zao kiafya, tatizo ni gharama za zoezi zima lakini Urusi imekwisha manufacture test kit inayo chukua muda mfupi kutoa majibu, ndani ya dakika tano unajua status yako kama huko infected unapewa dawa
mapema ya kudhibiti virus notably mseto wa vidonge vya chloroquine phosphate/hydroxychloroquine na azithromycine na kwa wale ambao wamefikia advanced stage ya ku develop nyumonia wanaongezewa vidonge vya broad spectrum antibiotics aina ya ceftriaxone - si mchezo mseto wa dawa hizo unatibu zaidi ya 97% ya wagonjwa - mseto huo wa vidonge ndio utakuwa mwarobaini wa kudhibiti na kutibu Coronavirus infection wakati Dunia ikisubilia chanjo ambayo inaweza kuchua mwaka kabla haija pewa kibali cha kutumiwa.

Ufaransa imeanza kutumia mseto wa dawa hizo baada ya kuzifanyia utafiti wa kutosha na kujiridhisha kwamba ziko effective, Uchina vile vile imetumia mseto huo kuwatibu waanga wa Corona, juzi juzi hapa ingawa Amerika ilikuwa inapinga kutumika kwa mseto huo lakini Juzi Trump amekubali mseto huo utumike kuokoa watu.

Tukirudi kwenye zoezi la lockdown, China ndio ilikua nchi ya kwanza kutekeleza zoezi hilo huko Wuhan Hubei, nasikia na Ujerumani wamefanya hivyo nadhani na Merikani kama sikosei - bottom line is: zoezi la lockdowm si la kupuuzia.

Revisiting dawa za mseto - Nta fafanua zaidi kuhusu matumizi ya mseto lakini watu wasikimbilie madukani kununua dawa hizo bila ya ushahuri wa Daktari kwa kuwa watu wengine dawa hizo zinawadhulu, wengine umeme unao ongoza mapigo ya moyo unaweza kuathirika mpaka kufikia hatuwa kusimamisha mapigo ya moyo - lakini mgonjwa akiwa hospitalini ni raisi kumu monitor na kuchukuwa hatua stahiki kabla mambo haja haribika including kusitisha dawa zenyewe inapo bidi.
 
Wa lockdown baadhi ya miji mfano: Dar (K'Koo, Kituo cha mabasi ya kwenda mikoani hao Ubungo, mabasi ya mwendo kasi na dala dala) hali inatisha tufanye lockdown walao ya wiki tatu ili tujuwe hali alisi hiko je hapa Dar - muda huo unatosha kubaini watu wote wanao walio ambukizwa corona bila ya kujitambua - lockdown ndio njia sahihi ya ku-monitor maambukizi kwa karibu, sioni njia nyingine mbadala - tusichelewe kutekeleza suala hili muhimu - my opinion.
Mkuu hawa wenzetu ukifuatilia jendwali la maambukizi nao walianza na wagonjwa wachache tena zaidi ya sisi.

Hii hali sio ya kupuuziwa.... Hata ka lock down ka 3 weeks kanafaa kubaini hali.
 
Kwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla

Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai...
Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?

Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?

Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka hakiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa

Jr[emoji769]
Fake news
 
Wafunge Bars tu mana mikusanyiko bado mikubwa mule au kma sio kufunga then services ziwe za delivery tu
 
Too late now! Kile kichapo cha Italy kikija hapa nchini kwa jinsi sisi waafrika tulivyo na umasikini wa akili kwa masikitiko makubwa nina uhakika robo tatu ya population yetu itakuwa wiped out!
 
We know what to do to bring back our economy back to life. What we do not know how to do is to bring people back to life"~Nana Addo Akuffo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom