SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 8,016
- 13,780
Ugonjwa siyo wetu Ngozi nyeusi ila tunavyojipendekeza ili tuhusike nao tu!!!!!
Muda bado tunao wa KUOSHA DHAMBI ZETU na kuvaa Matendo mema.
Muda ndiyo huu tunaopewa kuabudu. Tuutumie kumwomba Mungu atusaidie.
Tujue wanaokufa ni binadamu kama sisi nao wanapenda kuishi kama sisi.
Kuna akili kubwa na nguvu kubwa zaidi ya binadamu inayotakiwa kuudhibiti huu ugonjwa. Maana tayari wanadamu wameshashindwa.
Lock down Italy, Spain and USA lakini bado hali si shwari!
Think about Tz!
Sent using Jamii Forums mobile app
Muda bado tunao wa KUOSHA DHAMBI ZETU na kuvaa Matendo mema.
Muda ndiyo huu tunaopewa kuabudu. Tuutumie kumwomba Mungu atusaidie.
Tujue wanaokufa ni binadamu kama sisi nao wanapenda kuishi kama sisi.
Kuna akili kubwa na nguvu kubwa zaidi ya binadamu inayotakiwa kuudhibiti huu ugonjwa. Maana tayari wanadamu wameshashindwa.
Lock down Italy, Spain and USA lakini bado hali si shwari!
Think about Tz!
Sent using Jamii Forums mobile app