BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Sijaona hoja yako ya kunipinga
Kuna kitu watu wengi mnajidanganya. Mnasema ni bora kufa kwa corona kuliko kufa kwa njaa.
Wewe na wenzako wenye mindset kama yako mkae mkijua kwamba moja ya masharti ya mtu anayeumwa Covid 19 ni kurest.
Ukishaumwa hiyo corona kuendelea kufanya kazi zako itakuwa ni kukitafuta kifo chako kwa kasi.
Hapo ndipo tutakapopukutika kama kuku wenye kideli.