Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
Sijaona hoja yako ya kunipinga
Kuna kitu watu wengi mnajidanganya. Mnasema ni bora kufa kwa corona kuliko kufa kwa njaa.

Wewe na wenzako wenye mindset kama yako mkae mkijua kwamba moja ya masharti ya mtu anayeumwa Covid 19 ni kurest.

Ukishaumwa hiyo corona kuendelea kufanya kazi zako itakuwa ni kukitafuta kifo chako kwa kasi.

Hapo ndipo tutakapopukutika kama kuku wenye kideli.
 
Hiyo lock down ifanyike kwa miji mikubwa na mipakani. Kuna sehemu vijijini watu asubuhi ndio wanaenda kuuza mazao wapate pesa wanunue mahitaji kama sukari,chumvi na sabuni.

Kitendo cha kuwafungia bila kuwapa mahitaji unataka vifo vya njaa.
 
Kuna kitu watu wengi mnajidanganya. Mnasema ni bora kufa kwa corona kuliko kufa kwa njaa.

Wewe na wenzako wenye mindset kama yako mkae mkijua kwamba moja ya masharti ya mtu anayeumwa Covid 19 ni kurest.

Ukishaumwa hiyo corona kuendelea kufanya kazi zako itakuwa ni kukitafuta kifo chako kwa kasi.

Hapo ndipo tutakapopukutika kama kuku wenye kideli.
Kwanz unaijua njaa ww ?

Ukute umezaliwa familia za kupakiwa blue band kwenye mkate asubuh kisha unasubir yale magar ya njano

Kijana njaa,mafuriko vita haya ni zaid ya magonjwa
 
Mkuu Mshana Jr unaniangusha sana kwenye kuandika mada isiyokuwa na mashiko kama hii...

Hivi unadhan ni rahisi kiasi hicho?


Hili jambo ni gumu sana na wala haliihitaj mjadara kwa sasa..
Nchi iko kwenye khar nzur tu wala hakuna viashilia hatar vya kusema watu wajifungie ndani
 
I don't like the idea. Sio suluhisho, what if virus vikiwa vikali for Long time, why ebola ilikuwa hapo Congo na hatukuenda lockdown?



Corona is real but over hyped, overrated.
Njia za ueneaji ndiyo hatari, pia ina martality rate ya 3.5 hivyo don't undermine covid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanz unaijua njaa ww ?

Ukute umezaliwa familia za kupakiwa blue band kwenye mkate asubuh kisha unasubir yale magar ya njano

Kijana njaa,mafuriko vita haya ni zaid ya magonjwa
Kama umeshindwa kuelewa hata kidogo nilichoandika basi sina cha kukusaidia...
 
Naomba Mungu tusifikie huko kwenye Total Lock Down...

Hiyo kitu ni balaah sana kwa mustakabali wa uchumi na maisha yetu kwa ujumla...



Cc: mahondaw
UK,USA wao wametenga billions of £$ ku facilitate lockdown. Biashara zitapewa fungu kuzilinda. Banks zinasaidiwa zisogeze mbele malipo ya mikopo yote ikiwemo nyumba. Makampuni yatalipwa hela yasiachishe watu kazi. Wenye nyumba wenyewe wameambiwa hamna ruhusa kumtoa mtu atakaeshindwa kulipa Kodi kwa miezi sita. Sasa hapa kwetu tumeandaa fungu lipi?
Cc Mshana Jr
 
UK,USA wao wametenga billions of £$ ku facilitate lockdown. Biashara zitapewa fungu kuzilinda. Banks zinasaidiwa zisogeze mbele malipo ya mikopo yote ikiwemo nyumba. Wenye nyumba wenyewe wameambiwa hamna ruhusa kumtoa mtu atakaeshindwa kulipa Kodi kwa miezi sita. Sasa hapa kwetu tumeandaa fungu lipi?
Cc Mshana Jr

Kuna taarifa kwamba tumefanikiwa kupata mkopo wa elimu...

Tunaweza zielekezea kwenye janga la Covid19 kama kawaida yetu...



Cc: mahondaw
 
Mkuu hawa wenzetu ukifuatilia jendwali la maambukizi nao walianza na wagonjwa wachache tena zaidi ya sisi.

Hii hali sio ya kupuuziwa.... Hata ka lock down ka 3 weeks kanafaa kubaini hali.

Please revisit my additional comments kuhusu lockdown. Goodfay
Mkuu hawa wenzetu ukifuatilia jendwali la maambukizi nao walianza na wagonjwa wachache tena zaidi ya sisi.

Hii hali sio ya kupuuziwa.... Hata ka lock down ka 3 weeks kanafaa kubaini hali.

Mkuu maambukizi ya coronavirus yana fanana na chain reaction ya nuclear fission hisipo dhibitiwa na graphite modulator unapata meltdown, hapo nazumgumzia nuclear power reactors, lakini kama wamei design kama bom ambayo hawaweki modulator ya ku-absorb excess neutrons ndio hivyo tena unasubiria ka - booom!!

Sasa sisi hapa kwetu ni graphite modulator aina gani ambayo inaweza kudhibiti virus vya Corona? Bila shaka yoyote ni kutekeleza three weeks lockdown au kwa mwezi mzima, basi. Tufanye hivyo kabla hatujachelewa sana.
 
Mkopo wataanza kupewa kuanzia mwezi wa 6 mwaka 2021. Kama tutazisubiri hizo pesa tutakuwa tumeahazika nusu ya watanzania.
Kuna taarifa kwamba tumefanikiwa kupata mkopo wa elimu...

Tunaweza zielekezea kwenye janga la Covid19 kama kawaida yetu...



Cc: mahondaw
 
Kuna siku mtu atakuja kushituka familia yake yote imepukutika kwa sababu ya kauli hizi za viongozi...
Muhimu ni kuchukua hatua binafsi. Jilinde na linda afya yako. Serikali za Afrika haziwezi kulinda watu wake.
 
Uzi wako wa simba na yanga ulinidhibitishia nje ya ulozi unalzimisha tu
nikushauri tu hachana na ishu za siasa na kudandia kila kinachovuma
 
Kuna taarifa kwamba tumefanikiwa kupata mkopo wa elimu...

Tunaweza zielekezea kwenye janga la Covid19 kama kawaida yetu...



Cc: mahondaw
Huo mkopo ulichelewa kwa sababu kadhaa mojawapo ni kudhaniwa utafanyiwa mambo mengine. Hauwezi kutumika kupambana na Corona.
USA katoa $1m, yes one million dollars kaandika risala utafikiri katoa bajeti ya nchi nzima!
 
Mkopo wataanza kupewa kuanzia mwezi wa 6 mwaka 2021. Kama tutazisubiri hizo pesa tutakuwa tumeahazika nusu ya watanzania.

Basi kwenye kipindi hiki serikali ichukue hatua kwa:
  • Kupunguza kodi... Kwa maana ya PAYE, VAT, Coperate Tax, Income Tax na nyinginezo..
  • Miradi mikubwa isimame kwanza, na pesa zielekezwe kwenye kukabiliana na hili janga.
  • Pesa zilizonadiliwa kwa uchaguzi, zisitumike huko, badala yake zielekezwe kwenye kukabliana na Covid19


Cc: mahondaw
 
Mjomba Mshana mfano mzuri Pangani mahindi yanatoka Handeni ukifanya lock down watu hata baharini hawatoenda kuvua samaki.
Watu wamezoea kwenda dukani kununua unga robo mchana upite.

Mjomba nikienda kwenye kahawa nikiwapa taarifa hii wazee wa Kigombe, Madanga, Mwera na Sakura watasikitika Sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom