johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huo ndio Ukweli' mchungu 😄Unafurahia sana ugomvi wa majirani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndio Ukweli' mchungu 😄Unafurahia sana ugomvi wa majirani!
Ni huo ndio utakua uamuzi wa heshima kwake. Asingoje kuumbuka kwa kura.Kwa sasa tunamshauri Mhe. Mbowe apumzike. Amekitumikia Chama kwa uadilifu mkubwa.
Ndio hilo linajulikana.ni uhuru na haki ya kikatiba kwa mwananchi yeyote huru, kuamua kujiunga na chama chochote cha siasa kadiri apendavyo na kwa wakati muafaka wowote, bila mtu mwingine kupata mihemko wala makasiriko dhidi ya uamuzi huo huru 🐒
Yericko alishaenda CCM kitambo sana, sema kituo chake cha kazi ndiyo kilibaki CHADEMA. Hata huu mchezo walioucheza Mbowe na Lissu na Mbowe kuamua kumpisha Lissu, pamoja na malengo mengine mkakati ule ulilenga kuwatambua watu aia yaakina Yericko ambao wapo ndani ya Chama kwa malengo ya kazi ChafuMtu Kama huyo namtamani kwenye anga zangu yaani kiufupi lissu akishinda inabidi amuite yericko ikiwa bado hajakihama chama na kumwambia una machaguo mawili nikupige kwenzi mbele ya kamati ya chadema au ubebe virago mbele ya kamati uende unakojua wewe .
🤣🤣🤣Kwa sababu ni CCM mwenzake 😂😂
Aloo siasa hizi.....Yericko alishaenda CCM kitambo sana, sema kituo chake cha kazi ndiyo kilibaki CHADEMA. Hata huu mchezo walioucheza Mbowe na Lissu na Mbowe kuamua kumpisha Lissu, pamoja na malengo mengine mkakati ule ulilenga kuwatambua watu aia yaakina Yericko ambao wapo ndani ya Chama kwa malengo ya kazi Chafu
Ila visivyo na rangi ya mboga mboga msiingie navyo nawatakia kil la kheri.Tunawatakia safari njemaView attachment 3180034
gentleman,Ndio hilo linajulikana.
Tatizo lake ni lile la kutumia uhuru wake huo huku akiwa amejificha katika kimvuli cha chama kingine.gentleman,
kama ni hivyo,
kuna haja gani wengine kubabaika na kua na mchecheto wa haki na uhuru wa wengine hata kuandika uzi?🐒
Lakin jamaa yupo vizuri kwa propaganda 🤣🤣🤣Ccm hatumhitaji huyo,hana ushawishi wowote
bado ni uhuru wake tu,Tatizo lake ni lile la kutumia uhuru wake huo huku akiwa amejificha katika kimvuli cha chama kingine.
Ok sawa mkuu.bado ni uhuru wake tu,
hakuna haja ya kumuhisi au kumuharakisha aende unapomdhania ndiko anakoelekea 🐒
Yes... Time will tell mkuu.
Ni lichawa, wala halina maana yoyote.Hilo Tahira wacha liende tuuu