Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mbona husikiki tena unaanza lini?Imenileta mimi, nimebeba bandari zenu zote kudadadeki nasema uongo ndugu zangu?
Lini walipigana Vita kama hii?Wewe mnafiki, kwani Hamas na Israel wameanza Leo?
Ulitegemea ailete faida wakati mama na kundi lake walikuwa wakitoa ushambaa na kutengeneza fursa za upigajiii?Akiongea Leo wakati akipokea Ripoti kuhusu utendaji wa Wizara ya mambo ya nje kwenye Ikulu ya Dar, Rais Samiah amedai kwamba suala la branding sio suluhisho, kwani tumefanya branding nyingi na kutumia makampuni ya ulaya lakini hakuna faida iliyopatikana na zaidi imeleta hasara kwa serikali.
Kwa kauli hiyo ya Rais, inaonekana Royal Tour haikuleta matokeo mazuri ndio maana Rais kalalamika. Rais ametaka serikali ijikite kwenye kufanya kazi kwa bidii, na ndipo nchi itafahamika kwa kazi zake na sio kutupa pesa kwenye mambo ya branding.
😂😂😂😂😂 Nchi ngumu sana hiiNaona Leo Rais kaweka mambo sawa.
Kumbe siyo VitaKuna vita gani?. Mmoja kapigwa ambush siku ya ibada na yeye kaamua kulipiza kisasi.
Brand ni steve nyerere na mwijaku!Akiongea Leo wakati akipokea Ripoti kuhusu utendaji wa Wizara ya mambo ya nje kwenye Ikulu ya Dar, Rais Samiah amedai kwamba suala la branding sio suluhisho, kwani tumefanya branding nyingi na kutumia makampuni ya ulaya lakini hakuna faida iliyopatikana na zaidi imeleta hasara kwa serikali.
Kwa kauli hiyo ya Rais, inaonekana Royal Tour haikuleta matokeo mazuri ndio maana Rais kalalamika. Rais ametaka serikali ijikite kwenye kufanya kazi kwa bidii, na ndipo nchi itafahamika kwa kazi zake na sio kutupa pesa kwenye mambo ya branding.
Hawa wanawapelekea watu chawa tuBrand ni steve nyerere na mwijaku!
King maza naye mwenzao na anawapendaWahuni ni wengi kama alivyosema Polepole. Wanamwingiza Kingi Mama ili wapige Muamala wa kutosha
Kwa akili zako unategemea mtalii aone tangazo Leo na kesho aje!?..unajua gharama wanazotumia?Akiongea Leo wakati akipokea Ripoti kuhusu utendaji wa Wizara ya mambo ya nje kwenye Ikulu ya Dar, Rais Samiah amedai kwamba suala la branding sio suluhisho, kwani tumefanya branding nyingi na kutumia makampuni ya ulaya lakini hakuna faida iliyopatikana na zaidi imeleta hasara kwa serikali.
Kwa kauli hiyo ya Rais, inaonekana Royal Tour haikuleta matokeo mazuri ndio maana Rais kalalamika. Rais ametaka serikali ijikite kwenye kufanya kazi kwa bidii, na ndipo nchi itafahamika kwa kazi zake na sio kutupa pesa kwenye mambo ya branding.