Kuna uwezekano Royal Tour haikuleta faida

Kuna uwezekano Royal Tour haikuleta faida

Lakini Msigwa alisema Royotuaaaaa ilisha anza kulipa na watalii wana miminika kila leo…Sasa inekuwaje mama leo anapingana na msemaji wa serikali au hawakuwasiliana😂😂😂😂😂😂. Royooooooo tuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Unaongea kishabiki maandazi kwani hamsomi hata magazeti??


 
Akiongea Leo wakati akipokea Ripoti kuhusu utendaji wa Wizara ya mambo ya nje kwenye Ikulu ya Dar, Rais Samiah amedai kwamba suala la branding sio suluhisho, kwani tumefanya branding nyingi na kutumia makampuni ya ulaya lakini hakuna faida iliyopatikana na zaidi imeleta hasara kwa serikali.

Kwa kauli hiyo ya Rais, inaonekana Royal Tour haikuleta matokeo mazuri ndio maana Rais kalalamika. Rais ametaka serikali ijikite kwenye kufanya kazi kwa bidii, na ndipo nchi itafahamika kwa kazi zake na sio kutupa pesa kwenye mambo ya branding.
Siku ya nwisho kila goti litapigwa
 
Akiongea Leo wakati akipokea Ripoti kuhusu utendaji wa Wizara ya mambo ya nje kwenye Ikulu ya Dar, Rais Samiah amedai kwamba suala la branding sio suluhisho, kwani tumefanya branding nyingi na kutumia makampuni ya ulaya lakini hakuna faida iliyopatikana na zaidi imeleta hasara kwa serikali.

Kwa kauli hiyo ya Rais, inaonekana Royal Tour haikuleta matokeo mazuri ndio maana Rais kalalamika. Rais ametaka serikali ijikite kwenye kufanya kazi kwa bidii, na ndipo nchi itafahamika kwa kazi zake na sio kutupa pesa kwenye mambo ya branding.
Sasa kama watu wanaojitolea kufanya branding harafu Bodi ya Utalii inakuja na mambo ya kipumbavu eti Hadi upewe ruhusa sijui kibali unategemea nini?

Mwisho na la muhimu kabisa ni kwamba branding pekee haisaidii sana Kwa sababu sio mara Moja nimemsikia Rais alisema Watalii wakija hawafudi lakini badala ya kuwafuata hao hao wawape maoni na mrejesho wa wapi Kuna Changamoto warwkebishe Majitu Yao ya huko maofisini yapi yapo kama mizigo.

So inaweza kuwa haijaleta Tija sana lakini Bora kufahamu kosa kuliko kutofahamu.
 
Kuna muda huwa nahisi kiongozi wetu huwa haumizi kichwa kufikiri. Anachoambiwa ndio hichohicho, unfortunately maswahiba wake ni mafisi hivyo wanamshauri mambo ya ajabu ajabu.
 

Attachments

  • 66C091CB-456A-4740-8E29-FEC0DEE90369.jpeg
    66C091CB-456A-4740-8E29-FEC0DEE90369.jpeg
    35.5 KB · Views: 1
Sasa kama watu wanaojitolea kufanya branding harafu Bodi ya Utalii inakuja na mambo ya kipumbavu eti Hadi upewe ruhusa sijui kibali unategemea nini?

Mwisho na la muhimu kabisa ni kwamba branding pekee haisaidii sana Kwa sababu sio mara Moja nimemsikia Rais alisema Watalii wakija hawafudi lakini badala ya kuwafuata hao hao wawape maoni na mrejesho wa wapi Kuna Changamoto warwkebishe Majitu Yao ya huko maofisini yapi yapo kama mizigo.

So inaweza kuwa haijaleta Tija sana lakini Bora kufahamu kosa kuliko kutofahamu.
Kwenye hili naungana na wewe hivi bodi ya utalii ilikuwa inawashwa nini kwa mwijaku kuitangaza tanzania?
 
Wewe ulidhani ni faida gani.....Kuna nchi gani rais anafanya promo halafu utegemee maendeleo. Yaani uende kitalii na jopo la wasaidizi na walinzi wako Ikulu eti utegemee kuingiza nini
 
Kwenye hili naungana na wewe hivi bodi ya utalii ilikuwa inawashwa nini kwa mwijaku kuitangaza tanzania?
Majinga sana mawatu ya Serikalini huko,yanachangia sana kupoteza Kodi za Wananchi Kwa kutoa Ushauri wa kimbuzi mbuzi Kwa mamiradi yasiyo na Tija.
 
Akiongea Leo wakati akipokea Ripoti kuhusu utendaji wa Wizara ya mambo ya nje kwenye Ikulu ya Dar, Rais Samiah amedai kwamba suala la branding sio suluhisho, kwani tumefanya branding nyingi na kutumia makampuni ya ulaya lakini hakuna faida iliyopatikana na zaidi imeleta hasara kwa serikali.

Kwa kauli hiyo ya Rais, inaonekana Royal Tour haikuleta matokeo mazuri ndio maana Rais kalalamika. Rais ametaka serikali ijikite kwenye kufanya kazi kwa bidii, na ndipo nchi itafahamika kwa kazi zake na sio kutupa pesa kwenye mambo ya branding.
Hapo wanaume walimtanguliza wakapiga pesa
 
Tanzania 🇹🇿 Nakupenda kwa moyo wangu wote. Lakini kuna Mafisi yapo Chama tawala Yana kutafuna bila huruma. Bado Nitakupenda tu Tanzania 🇹🇿 wangu japo unatafunwa sana 😭😭😭
Mafisi yapo mpk Whitehouse mzee
 
Ukiona jambo lolote Rostam Azizi yupo mbele ujue ni dili tu hakuna lolote, Rostam na Royal Tour wapi na wapi? Rostam hana kampuni ya utalii lakini aliibukia kwenye dili akamtanguliza maza
 
Amejisahau tuu akajikuta anasema ukweli wake kutoka moyoni..! Na huo ndio ukweli

Hivi sasa hivi Msigwa na kundi lake wanajisikiaje? Siku kumi baada ya royotua walikuja na makala na mapicha ya magari ya watalii wakisema mama anaupiga mwingiiiii…..royotua imelipaaaaaaaaa

Sasa wameanza kunena kwa lugha wenyewe bila kulazimishwa…Rais kasema mwenyewe kuwa royotua ni hasara tupuuuuuuuu
Hahahahahahaha
Mi nilipoona tu Rostam yumo ndani nikajua hapa ni utapeli tupu, Rostam tangu lini akaingia kwenye utalii?
 
Back
Top Bottom