Huo ni ukweli kabisaAkiongea Leo wakati akipokea Ripoti kuhusu utendaji wa Wizara ya mambo ya nje kwenye Ikulu ya Dar, Rais Samiah amedai kwamba suala la branding sio suluhisho, kwani tumefanya branding nyingi na kutumia makampuni ya ulaya lakini hakuna faida iliyopatikana na zaidi imeleta hasara kwa serikali.
Kwa kauli hiyo ya Rais, inaonekana Royal Tour haikuleta matokeo mazuri ndio maana Rais kalalamika. Rais ametaka serikali ijikite kwenye kufanya kazi kwa bidii, na ndipo nchi itafahamika kwa kazi zake na sio kutupa pesa kwenye mambo ya branding.
Kwa hiyo wale wakina Msigwa waliokuwa wanasema oooh royotuaaa imelipaaaaaaaa Mama anaupiga mwingiiiiiii sasa amewakana hadharani au amejisahau kuwa aliwaunga mkonono aiseeeeKaongea kutoka moyoni mwake. Amedai kwamba tumewahi kupeleka tangazo CNN lakini hakuna tulichoambilia.
Hii nchi ngumu sana mkuu.Kwa hiyo wale wakina Msigwa waliokuwa wanasema oooh royotuaaa imelipaaaaaaaa Mama anaupiga mwingiiiiiii sasa amewakana hadharani au amejisahau kuwa aliwaunga mkonono aiseeee
Wengine kuelewa itahitaji elimu fulani na ndio maana Kuna muda huwa nasita kumlaumu huyu mama maana huenda kazidiwa nguvu na hayo ma gang!Kweli magang yanaendesha nchi. Hata Rais kadai Wizara ya mambo ya nje ipo vipande vipande. Kila mtu na lake.
Akiweza kukupa ujue mwisho wa dunia umekaribia....Hebu tupe Takwimu za Watalii kabla na baada ya Royal Tour.
Hahahahhah Mama leo kawa kana wote na ni wazi hata pale buj pale dubai tulilipa hela zetu sio bure hakika kila ulimi utasema….na bado lazima atasema tuuJamani si serikali ilisema Royal Tour tumefadhiliwa na sio pesa ya walipa kodi.
Lakini Mama kwa kinywa chake amekataa haya unayoyasema na kama yapo hayajasababishwa na royo tuaaaaaaaaa hahahahhaha msikilize Mama anasema hasara tupu kwikiwikwikwAkiweza kukupa ujue mwisho wa dunia umekaribia....
Kwa mara ya Kwanza tunafikisha watalii 3.8 milioni...
Wakati zamani hata 2.8 hatukuwahi fika...
Mijitu ipo humu kuongea vitu haina hata uelewa...navyo
Acha basi kusoma hizo Comments za Mijitu soma za Watu kama wewe.Akiweza kukupa ujue mwisho wa dunia umekaribia....
Kwa mara ya Kwanza tunafikisha watalii 3.8 milioni...
Wakati zamani hata 2.8 hatukuwahi fika...
Mijitu ipo humu kuongea vitu haina hata uelewa...navyo
Hakika, fumbo mfumbie mjinga mwerevu atang'amua. Alifikiri amesema fumbo kumbe amefumbua.Akiongea Leo wakati akipokea Ripoti kuhusu utendaji wa Wizara ya mambo ya nje kwenye Ikulu ya Dar, Rais Samiah amedai kwamba suala la branding sio suluhisho, kwani tumefanya branding nyingi na kutumia makampuni ya ulaya lakini hakuna faida iliyopatikana na zaidi imeleta hasara kwa serikali.
Kwa kauli hiyo ya Rais, inaonekana Royal Tour haikuleta matokeo mazuri ndio maana Rais kalalamika. Rais ametaka serikali ijikite kwenye kufanya kazi kwa bidii, na ndipo nchi itafahamika kwa kazi zake na sio kutupa pesa kwenye mambo ya branding.
Je hayo ni matokeo ya kupungua sana kwa maradhi ya Corona au ni Royal Tour?Akiweza kukupa ujue mwisho wa dunia umekaribia....
Kwa mara ya Kwanza tunafikisha watalii 3.8 milioni...
Wakati zamani hata 2.8 hatukuwahi fika...
Mijitu ipo humu kuongea vitu haina hata uelewa...navyo
Yupo sahihi, nchi hii itajengwa na raia wake.Akiongea Leo wakati akipokea Ripoti kuhusu utendaji wa Wizara ya mambo ya nje kwenye Ikulu ya Dar, Rais Samiah amedai kwamba suala la branding sio suluhisho, kwani tumefanya branding nyingi na kutumia makampuni ya ulaya lakini hakuna faida iliyopatikana na zaidi imeleta hasara kwa serikali.
Kwa kauli hiyo ya Rais, inaonekana Royal Tour haikuleta matokeo mazuri ndio maana Rais kalalamika. Rais ametaka serikali ijikite kwenye kufanya kazi kwa bidii, na ndipo nchi itafahamika kwa kazi zake na sio kutupa pesa kwenye mambo ya branding.
Vyovyote vile hizo takwimu haziwezi sema Royal tour imefeli...Je hayo ni matokeo ya kupungua sana kwa maradhi ya Corona au ni Royal Tour?
Jiheshimu...Nilishasema Tz wengi ni wajinga sababu ht kiongoz wetu ni mjinga mjinga tu
Mvua ndio mfichua siri za bati bovuKimeumana
Kama Malengo ta Royal Tour yalikuwa ni for the good for our Country ni jambo jema sana.Vyovyote vile hizo takwimu haziwezi sema Royal tour imefeli...
Yaani uweke rekodi mpya kabisa ya utalii halafu useme ulichofanya hakijafanikiwa?
Kama Malengo ta Royal Tour yalikuwa ni for the good for our Country ni jambo jema sana.
Lakini Msigwa alisema Royotuaaaaa ilisha anza kulipa na watalii wana miminika kila leo…Sasa inekuwaje mama leo anapingana na msemaji wa serikali au hawakuwasiliana😂😂😂😂😂😂. Royooooooo tuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaKwanini useme kama?
Rwanda walipofanya Royal tour malengo ilikuwa nini?
Unajua Rwanda wanapokea watalii kuliko Zanzibar now?