Lakini Msigwa alisema Royotuaaaaa ilisha anza kulipa na watalii wana miminika kila leo…Sasa inekuwaje mama leo anapingana na msemaji wa serikali au hawakuwasiliana😂😂😂😂😂😂. Royooooooo tuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kama Malengo ta Royal Tour yalikuwa ni for the good for our Country ni jambo jema sana.
Siku ya nwisho kila goti litapigwaAkiongea Leo wakati akipokea Ripoti kuhusu utendaji wa Wizara ya mambo ya nje kwenye Ikulu ya Dar, Rais Samiah amedai kwamba suala la branding sio suluhisho, kwani tumefanya branding nyingi na kutumia makampuni ya ulaya lakini hakuna faida iliyopatikana na zaidi imeleta hasara kwa serikali.
Kwa kauli hiyo ya Rais, inaonekana Royal Tour haikuleta matokeo mazuri ndio maana Rais kalalamika. Rais ametaka serikali ijikite kwenye kufanya kazi kwa bidii, na ndipo nchi itafahamika kwa kazi zake na sio kutupa pesa kwenye mambo ya branding.
Kwa hiyo wewe unabishana na boss wako?
Sasa kama watu wanaojitolea kufanya branding harafu Bodi ya Utalii inakuja na mambo ya kipumbavu eti Hadi upewe ruhusa sijui kibali unategemea nini?Akiongea Leo wakati akipokea Ripoti kuhusu utendaji wa Wizara ya mambo ya nje kwenye Ikulu ya Dar, Rais Samiah amedai kwamba suala la branding sio suluhisho, kwani tumefanya branding nyingi na kutumia makampuni ya ulaya lakini hakuna faida iliyopatikana na zaidi imeleta hasara kwa serikali.
Kwa kauli hiyo ya Rais, inaonekana Royal Tour haikuleta matokeo mazuri ndio maana Rais kalalamika. Rais ametaka serikali ijikite kwenye kufanya kazi kwa bidii, na ndipo nchi itafahamika kwa kazi zake na sio kutupa pesa kwenye mambo ya branding.
Kuna muda huwa nahisi kiongozi wetu huwa haumizi kichwa kufikiri. Anachoambiwa ndio hichohicho, unfortunately maswahiba wake ni mafisi hivyo wanamshauri mambo ya ajabu ajabu.
Tena wala siyo ya kuikalia kimya!Kwa kweli Kuna shida serikalini
sa100 si alisema hakuna mwenye mabavu sasa TEC wamekubaniaje?TEC wamenibana ngoja niwatulize kwanza
Kwenye hili naungana na wewe hivi bodi ya utalii ilikuwa inawashwa nini kwa mwijaku kuitangaza tanzania?Sasa kama watu wanaojitolea kufanya branding harafu Bodi ya Utalii inakuja na mambo ya kipumbavu eti Hadi upewe ruhusa sijui kibali unategemea nini?
Mwisho na la muhimu kabisa ni kwamba branding pekee haisaidii sana Kwa sababu sio mara Moja nimemsikia Rais alisema Watalii wakija hawafudi lakini badala ya kuwafuata hao hao wawape maoni na mrejesho wa wapi Kuna Changamoto warwkebishe Majitu Yao ya huko maofisini yapi yapo kama mizigo.
So inaweza kuwa haijaleta Tija sana lakini Bora kufahamu kosa kuliko kutofahamu.
Majinga sana mawatu ya Serikalini huko,yanachangia sana kupoteza Kodi za Wananchi Kwa kutoa Ushauri wa kimbuzi mbuzi Kwa mamiradi yasiyo na Tija.Kwenye hili naungana na wewe hivi bodi ya utalii ilikuwa inawashwa nini kwa mwijaku kuitangaza tanzania?
Hapo wanaume walimtanguliza wakapiga pesaAkiongea Leo wakati akipokea Ripoti kuhusu utendaji wa Wizara ya mambo ya nje kwenye Ikulu ya Dar, Rais Samiah amedai kwamba suala la branding sio suluhisho, kwani tumefanya branding nyingi na kutumia makampuni ya ulaya lakini hakuna faida iliyopatikana na zaidi imeleta hasara kwa serikali.
Kwa kauli hiyo ya Rais, inaonekana Royal Tour haikuleta matokeo mazuri ndio maana Rais kalalamika. Rais ametaka serikali ijikite kwenye kufanya kazi kwa bidii, na ndipo nchi itafahamika kwa kazi zake na sio kutupa pesa kwenye mambo ya branding.
Nani alaumiwe kati ya yeye na Waziri wa wizara husika?Kweli magang yanaendesha nchi. Hata Rais kadai Wizara ya mambo ya nje ipo vipande vipande. Kila mtu na lake.
Mafisi yapo mpk Whitehouse mzeeTanzania 🇹🇿 Nakupenda kwa moyo wangu wote. Lakini kuna Mafisi yapo Chama tawala Yana kutafuna bila huruma. Bado Nitakupenda tu Tanzania 🇹🇿 wangu japo unatafunwa sana 😭😭😭
Mi nilipoona tu Rostam yumo ndani nikajua hapa ni utapeli tupu, Rostam tangu lini akaingia kwenye utalii?Amejisahau tuu akajikuta anasema ukweli wake kutoka moyoni..! Na huo ndio ukweli
Hivi sasa hivi Msigwa na kundi lake wanajisikiaje? Siku kumi baada ya royotua walikuja na makala na mapicha ya magari ya watalii wakisema mama anaupiga mwingiiiii…..royotua imelipaaaaaaaaa
Sasa wameanza kunena kwa lugha wenyewe bila kulazimishwa…Rais kasema mwenyewe kuwa royotua ni hasara tupuuuuuuuu
Hahahahahahaha