Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Kweli?Inategemea aliyewahi ni nani
Kama ni mchepuko basi mimba ni ya mchepuko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli?Inategemea aliyewahi ni nani
Kama ni mchepuko basi mimba ni ya mchepuko
Tupe mrejesho mkuu ilikuwaje?mkuu nna kisa kimoja hapa ni mambo ya aibu ila ndivyo ilivyo, yeye alikutana na mchepuko siku ya 12 akarudi kwa mchumba siku ya 15 baada ya wiki dalili za ujauzito kupima hakuona kitu. baada ya wiki 3 kupima ana mimba...
Itaendelea mkuuTupe mrejesho mkuu ilikuwaje?
Mbona Siku ya 11 ni Siku hatari? Kwan nyie hamjui kuhesabu Au?Nakumbuka imenitokea siku ya 11 mimba ilipatikana na si kwamba nilihesabu vibaya hapana nilikuwa makini sana,,mimba ilipatikana now mtoto anakuwa tu vizur na maisha yanendelea kama kwaida,,so hizi siku bwana wakati mwingine majanga kabisa
Sio Siku ya 10?Uwezekano ni mkubwa sana maana siku ya 11 n siku ya ovulation day yani yai ndy ndy linatoka kweny ovari co uwezekano n mkubwa tena uko mbioni kupata mtoto wa kike siku safi zinaishia siku ya 8
Siku ya 12 ndio mimba iliingia ni ya mchepukomkuu nna kisa kimoja hapa ni mambo ya aibu ila ndivyo ilivyo, yeye alikutana na mchepuko siku ya 12 akarudi kwa mchumba siku ya 15 baada ya wiki dalili za ujauzito kupima hakuona kitu. baada ya wiki 3 kupima ana mimba
Hajui mimba ni ya nani?, kama ya mchepuko ndo uchumba umeisha na hataki ndoa maana anahisi inaweza kuwa ya mchepuko ikawa aibu.
maisha ya dada zetu haya ni kazi sana
Mmmh nami naomba msaada wakuu maana dah mdogo wang anamzunguko wa siku 28 akameet Na boy wake siku ya 9 siku ya 22akawa anaskia tumbo linauma akajua mimba siku ya 23 akaanza bleed kias mpaka siku ya 27 Ila hapo Kati ya hiz siku kunasiku hakupata period kabisa alipo maliza hizo siku za mp Na hapo nikama aliingia p mara mbili ndani YA mwez mmoja.....sasa alipo fika week 4 baada ya ile p alienda pima mimba kama mara mbili kwa kutumia vipimo vya kujipima mwenyew hajaona kama anamimba Ila kinacho tushangaza saiv kamaliza mwez mzima hajaona period Na tumbo hasikii maumivu sana sasa sijui Ni uoga umefanya asione au nin msaada plzzAkitoka MTT wakiume mimba ya mume wake akitoka wa kike mimba yamchepuko
Mkuu acha uongo mbegu za kiume zinakaa masaa 72hrs kweli au umechanganyaPole sana maana najua mateso ya kuwaza icho kitu japokuwa siyo mlengwa wa moja kwa moja lkn km mwanaume mwenye akili timamu Ukifanya kitu km icho na hukawa bado hujawa tayari kukipokea lazima uathirike psychological. Mbegu za kiume zinaweza kudumu kwa masaa 72 tu. Km kuna vijamaa vilipenya na vikaweza ku survive within 72 hrs na vikaweza kuvunja kingo za yai basi sawa all the best. Lkn pia kumbuka unaweza kusex siku ya hatari na bado husishike mimba, next time Ukifanya kitu km icho na ukawa na shaka kuna dawa za kuhuwa manii zisiweze kurutubisha yai 3 days before unaweza kuzipata duka la dawa. Lala acha kuwaza usiku usiku.
Za kikeKati ya mbegu za kiume naza kike zipi zipi zinadum kwa siku nyingi?